Wednesday 16 September 2020

Tanzania Yaondoa marufuku ya safari za ndege za Kenya kuingia Hapa Nchini

...
Tanzania imeondoa marufuku ya safari za ndege za Kenya kuingia kwenye anga lake iliyokuwa imeiweka  baada ya nchi ya Kenya kuondoa sharti la kuwaweka karantini siku 14 Watanzania wote wanaoingia nchini humo. 


Taarifa hii imetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa TCAA Hamza Johari.


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger