Tuesday 29 September 2020

Rais Magufuli ateua Mkurugenzi mpya wa TAWIRI

...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Eblate Ernest Mjingo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori (TAWIRI).

Kabla ya uteuzi huo, Dkt. Mjingo alikuwa Mkuu wa Kitengo cha Tiba ya Wanyamapori na Huduma za Maabara wa TAWIRI, na anachukua nafasi iliyoachwa na Dkt. Simon Mduma ambaye amestaafu.

Uteuzi wa Dkt. Mjingo unaanza leo tarehe 29 Septemba, 2020.


 


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger