Tuesday 31 October 2017

TANGAZO LA KAZI KUJITOLEA JESHI LA KUJENGA TAIFA-JKT OCTOBER 2017

...
Image may contain: 1 person
Jeshi la kujenga taifa JKT limetangaza nafasi ya kujiunga na
mafunzo ya jeshi hilo kwa kujitolea kwa mwaka 2017 ambapo vijana kutoka Tanzania bara na Visiwani wanaruhusiwa kuomba. Mkuu wa JKT Meja Jenerali Michael Isamuhyo amesena utaratibu wa vijana kuomba nafasi hizo unaratibiwa na wakuu wa mikoa na wilaya.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger