Friday 30 October 2015

Picha 10 kutoka ndani ya Ikulu Rais JK alivyomkaribisha Dk. Magufuli.

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Ni siku ambayo tayari historia imeandikwa kwenye vichwa vya Habari za Siasa Tanzania ambapo Dk. John Pombe Joseph Magufuli ametangazwa kuywa mshindi wa kiti cha Urais kwenye Uchaguzi mkuu uliofanyika October 25 2015.
unnamed ii
Rais JK na Dk. Magufuli ndani ya Ikulu baada ya matokeo ya Urais kutangazwa October 29 2015
Kwa maana hiyo Dk. Magufuli anakuwa Rais anayekuja kubadili nafasi ya Rais Jakaya Kikwete na kuwa Rais wa awamu ya tano Tanzania.
Dk. Magufuli amealikwa ndani ya Ikulu Dar es Salaam Tanzania na Rais Kikwete na kupongezwa kwa ushindi huo… hapa ninazo picha kutoka ndani ya Ikulu hiyo.
unnamed iii
Dk. John Magufuli.
unnamed iv
Rais JK, Mama Salma Kikwete kwa pamoja wakimpongeza Dk. John Magufuli.
unnamed ix unnamed v unnamed vi unnamed VII unnamed viii unnamed x unnamed XII
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger