Thursday 29 October 2015

DOWNLOAD HAPA JOINING INSTRUCTIONS ZA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA VYUO VYA AFYA CHETI NA DIPLOMA-NACTE 2015/2016

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Habari yenu wadau wa blog hii pendwa ya MAASWAYETU BLOG Leo tena tunaweletea Joining instructions za kozi mbalimbali certificates na diploma kwa mwaka wa masomo 2015/16

Tunajua wengi mnazisubiria hizi form kwa hamu sana na mnataka mjue gharama za mafunzo kwa chuo ulichochaguliwa.


Kama kawaida yetu tupo hapa kusaidia watu wote wanaohitaji hizi form za kujiunga na chuo husika.
Ili kujipatia joining instructions ya kozi ulichaguliwa unatakiwa kufanya yafuatayo;
1.Tuma Email address yako
2.Tuma gharama za kutumiwa joining hii Tsh.1000 kwa Mpesa
3.Ukishatumiwa kwenye email yako ,nenda staionary yoyote mpe email yako ata kuprintia kwa gharama ndogo zaidi,tofauti na ukienda kama ulivyo kwani gharama yake ni tsh.1500 hadi 2000.
4.Tafadhali tuma email yako na chuo ulichochaguliwa  kwenda namba 0768260834,then tutakutumia baada ya Mda si mrefu.
5.Maswayetu blog tuna joining za vyuo vipatavyo 42.
NOTE:TUMEFANYA HIVI KUTOKANA NA WATU WENGI KUTOKUWA NA UWEZO WA KUWA NA INTERNET,PIA KAMA UPO SIMIYU-MASWA UNAWEZA UKAPIGA HIYO NAMBA MOJA KWA MOJA KUJIPATIA JOINING YAKO MAPEMA IWEZEKANAVYO.,KWANI NITAKUPATIA KWA GHARAMA YA tsh.700 tu.

Pia faida kubwa ya kutumia huduma zetu,Utaweza kujibiwa Maswali mbalimbali yanayokutatiza.


BONYEZA HAPA KUPATA JOINING HIZO 2015/2016
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger