Wednesday, 9 August 2023

JAMII NAMBA KUCHOCHEA UCHUMI WA KIDIJITALI ZANZIBAR

Mkurugenzi wa Idara ya Uendelezaji Mifumo na Huduma za TEHAMA (DISDS) Bw, Mohammed Mashaka wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, akizungumza wakati wa kikao kazi cha kutoa uelewa kwa wadau wa Zanzibar kuhusu Mradi wa Huduma Pamoja na uanzishwaji wa Mfumo wa Utambuzi wa Kidijitali...
Share:

WAKULIMA WAIMWAGIA SIFA BENKI YA CRDB MBELE YA RAIS SAMIA

Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akipata maelezo mafupi kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Kilimo Biashara wa Benki ya CRDB, Ndugu Maregesi Shaaban alipotembelea Banda la Benki ya CRDB katika kilele cha maadhimisho ya Nanenane yaliyofanyika kitaifa Jijini Mbeya. Wakishuhudia...
Share:

Tuesday, 8 August 2023

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATANO AUGOST 9,2023

...
Share:

BASI LA AL -SAEDY LAPINDUKA TABORA

Basi la Al-Saedy limepinduka alfajiri leo Jumatatu Agosti 7, 2023 katika Wilaya ya Uyui mkoani Tabora huku abiria wakipata majeraha akiwemo mmoja aliyevunjika mkono. Basi hilo lilikuwa likielekea Dar es salaam kutoka Tabora ambalo liliondoka saa kumi na mbili asubuhi leo. Soma zaidi <HAPA> CHANZO...
Share:

MWAROBAINI WA KUTOKOMEZA AJALI ZA BODABODA WILAYA YA CHAMWINO WAPATIKANA

Na Okuly Julius-Dodoma KATIKA kukabilia na ongezeko la ajali za barabarani nchini Chuo cha Udereva cha WIDE kwa kushirikiana na Serikali ya wilaya ya Chamwino wameanzisha programu ya mafunzo maalum kwa madereva pikipiki zaidi ya 600. Akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo hayo Mkuu wa Chuo...
Share:

NSSF INAWATAKIA HERI YA SIKUKUU YA NANENANE

 ...
Share:

Monday, 7 August 2023

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMANNE AGOSTI 8,2023

...
Share:

MFUMO WA REEFER CONTAINERS KUNUFAISHA WAKULIMA

Kukamilika kwa Mfumo wa Makasha yanayotumia Umeme kwa ajili ya kuhifadhi bidhaa ambazo zinaweza kuharibika kutokana na Joto kutawezesha wakulima mbalimbali wanaotaka kusafirisha bidhaa hizo kwenda nje ya nchi kupitia Bandari ya Tanga Kusafirisha bidhaa hizo bila kuharibika. Hayo yamesemwa na...
Share:

WAFUGAJI WA KUKU WATAKIWA KUJIFUNZA MBINU MPYA ZA UFUGAJI

  Na Dotto Kwilasa, Dodoma Mwenyekiti wa Halmashauri ya Bahi na Mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM- Taifa Donard Megitii amewataka Wafugaji wa kuku nchini kuongeza uzalishaji wenye tija Kwa kujifunza mbinu mpya kupitia Maonesho ya wakulima yanayoendelea . Megitii ameeleza hayo Jijini Dodoma...
Share:

DAWA ITAKAYOKUSAIDIA KUSHINDA MIGOGORO YA ARDHI!

Hakuna jambo ambalo limekuwa likiwapa watu wakati mgumu kama migogoro ya ardhi, kuna jamii hasa za wafugaji na wakulima zimekuwa zikifikia hatua ya kupigana kutokana na ardhi. Jina langu ni Gabriel kutokea Meru, kuna ndugu yetu aliwahi kuleta ugomvi na familia yetu kisa ardhi ambayo alikuwa anadai...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger