Friday, 24 March 2023
WAZIRI MABULA ATAJA MAGEUZI MAKUBWA YA TEHAMA KUONGEZA UKUSANYAJI KODI YA PANGO LA ARDHI
WATUMISHI WAKUMBUSHWA KUHUSU HAKI NA WAJIBU

Mwenyekiti wa TUGHE wa Tawi la Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bi. Laurencia Masigo akizungumza wakati wa mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara hiyo uliofanyika leo Machi 24, 2023 jijini Dodoma.
Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa TUGHE Mkoa wa Dodoma, Bw. Samwel Nyungwa akizungumza wakati wa mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari uliofanyika leo Machi 24, 2023 jijini

SEKRETARIETI YA MAADILI YA VIONGOZI YAAGIZWA KUCHUNGUZWA BAADHI YA VIONGOZI WANAOJIHUSISHA NA VITENDO VYA MGONGANO WA MASLAHI




ACHOMWA MKUKI AKIFUKUZA MIFUGO SHAMBANI
MAANDALIZI TAMASHA LA PASAKA YANOGA, WAIMBAJI MAARUFU WAENDELEA KUTAMBULISHWA
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion inayoandaa tamasha la Pasaka kila mwaka Alex Msama (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam kuhusu maandalizi ya tamasha la Pasaka linalotarajiwa kufanyika bure bila kiingilio April 9, 2023 katika Viwanja vya Leders Club Jijini Dar es salaam.
Mwimbaji mahiri wa Nyimbo za Injili Christopher Mwahangila (pichani kushoto) akiimba moja ya wimbo wake mbele ya waandishi wa habari kuonesha namna alivyojiandaa kutumbuiza kwenye Tamasha la pasaka linalotarajiwa kufanyika bure katika viwanja vya Leaders Club Kinondoni,Jijini Dar,kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion inayoandaa tamasha hilo kila mwaka Alex Msama, akifurahi jambo.Thursday, 23 March 2023
DREAM CATCHER INAIFANYA NDOTO YAKO KUWA HALISI!
Kila binadamu jambo la kuota ndoto ni kitu cha kawaida, wengi wetu tunaota ndoto za mapenzi, kumiliki mali au zingine za kutisha, hata mie gwiji wa kasino ya mtandaoni huwa naota ndoto ya kupiga mpunga mrefu kutoka michezo mingi ya kasino.
Inakuaje pale ambapo ndoto unayoota inageuka na kuwa kweli! Hapo ndio utajua hujui au mjanja utakua wewe, pale Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet unaweza kugeuza ndoto yako na kuwa kweli kupitia mchezo wa Dream Catcher ikiwa na maana ya kamata ndoto yako.
Beti na Meridianbet mechi za ligi zote, odds ni kubwa sana, usikose pia Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet yenye michezo rahisi ya sloti kama Poker, Aviator, Roulette.
Dream Catcher ndani ya Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet!
Dream Catcher ni jina la mchezo mmoja bora, wa moja kwa moja unahusisha gurudumu la pesa, maarufu kama Money Wheel. Gurudumu hili linahusisha ndoto yako ya kunasa ushindi mkubwa. Mchezo huu unalenga zaidi kufurahisha wachezaji na kuwapa fursa ya kuondoka na ushindi.
Mchezo huu wa kuvutia sana unaoonekana umeundwa kwa kutumia gurudumu la bespoke likiwekwa vyema kwa usahihi kabisa na kuchezeshwa kwa umakini kukupa nafasi ya kufukuzia mchongo wako wa ushindi na Kasino ya Mtandaoni Meridianbet.
Ukiwa na meridianbet unaweza kubashiri mubashara, tembelea maduka ya meridianbet uweze kucheza michezo ya sloti na kasino ya mtandaoni.
Muhudumu wa moja kwa moja, unayemuona LIVE akichezesha mchezo wako pendwa, atakuvutia kwa utanashati, na namna anavyokurahisishia mchezo wako. Utafurahia sauti nzuri zikisindikiza safari yako ya kufukuzia ndoto ya ushindi. Hili huwawezesha wachezaji kufurahia mchezo wakiwa wanaona kila kitu kwenye skrini. Inafaa kujaribu.
Muhudumu huzungusha gurudumu na kuwashirikisha na wachezaji. Wachezaji huweka dau kwenye nambari wanayofikiri gurudumu itasimama ikiwa ni: 1, 2, 5, 10, 20 au 40. Mchezaji akiweka bashiri kwenye nambari sahihi atashinda malipo yanayolingana (k.m. 1 hadi 1, 2 hadi 1, 5). hadi 1, na kadhalika).
Sehemu za vizidishi 2x au 7x za bonasi hutoa uwezekano wa malipo ya ukubwa wa juu. Bila kusahau unaweza kucheza michezo mwingine mingi kwenye casino ya Meridianbet na kufukuzia Casino Jackpots na bonasi kibao kwenye ubashiri wa kawaida. Ingia windoni kuifukuzia ndoto ya ushindi sasa! Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet Kasino ya mtandaoni, sloti, Poker, Aviator na Roulette- Chagua Tukupe.











Baadhi ya picha kutoka Manispaa ya Ubungo wakati TMDA ikiwa kwenye utaratibu wake wa kutoa elimu kwa umma juu ya matumizi sahihi ya dawa na vifaa tiba, madhara yanayoweza kutokea na namna ya kutoa taarifa juu ya madhara hayo.























