
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Godwin Gondwe (wa pili kulia) akimkabidhi zawadi mmoja wa wateja wa Benki ya CRDB, Dkt. Redempta Mbatia (kushoto) katika hafla ya ufunguzi rasmi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja yenye kauli mbiu "Sherehekea Huduma" iliyofanyika leo kwenye Tawi la Benki ya CRDB, Oysterbay,...