Monday, 3 October 2022

BENKI YA CRDB YAWASHUKURU WATEJA MAFANIKIO YA HUDUMA BORA KWA JAMII

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Godwin Gondwe (wa pili kulia) akimkabidhi zawadi mmoja wa wateja wa Benki ya CRDB, Dkt. Redempta Mbatia (kushoto) katika hafla ya ufunguzi rasmi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja yenye kauli mbiu "Sherehekea Huduma" iliyofanyika leo kwenye Tawi la Benki ya CRDB, Oysterbay,...
Share:

MUME WANGU KAZAA NJE YA NDOA, NIFANYE NINI?

...
Share:

MZEE AMUUA BINTI YAKE KWA KUMKATA KATA KWA SHOKA NA VISU KISA KACHELEWA KULETA MAJI

Mzee wa makamo kutoka wadi ya Mwingi magharibi, Kitui nchini Kenya kwa sasa anazuiliwa katika kituo cha polisi cha Migwani baada ya kumuua mwanawe. Inasemekana mshukiwa aliyejulikana kwa jina la Mwendwa, alitumia shoka kumuua mtoto wa miaka 14, Mumo Mwendwa ambaye mpaka kifo chake alikuwa ni...
Share:

WATU WATATU WAUAWA KOLANDOTO SHINYANGA, ALIYEANZA KUUA ACHOMWA MOTO

  Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga Janeth Magomi akizungumza na waandishi wa habari kuhusu tukio la mauaji Kolandoto Shinyanga. Na Halima Khoya, SHINYANGA Watu wawili ambao ni Nicholaus Leonard na Badmalta Melikiad, wameuawa kwa kupigwa na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali...
Share:

MASHIRIKA YANAYO LEA USHOGA YAONYWA

Mwenyekiti wa Bodi ya Mashirika yasiyokuwa ya kiserikali nchini Mwantumu Mahiza. Na Dotto Kwilasa,DODOMA MWENYEKITI wa Bodi ya Mashirika yasiyokuwa ya kiserikali nchini Mwantumu Mahiza, ameyataka mashirika yasiyo ya kiserikali ambayo yatajihusisha na kutetea ndoa za jinsia moja  kuacha...
Share:

TCU YAONGEZA MUDA WA UDAHILI WA SHAHADA YA KWANZA KATIKA TAASISI ZA ELIMU YA JUU NCHINI

...
Share:

NIC YAZINDUA MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA

Msajili wa Hazina Bw.Mgonya Benedicto akiwa pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) Dkt. Elirehema Doriye akizindua Mkataba wa Huduma kwa Mteja wakati wa Maadhimisho ya Kimataifa ya Wiki ya Huduma kwa wateja iliyofanyika leo Oktoba 3,2022 Jijini Dar es Salaam. Msajili wa Hazina...
Share:

JAMAA AJICHIMBIA KABURI , AWALIPA WATAKAOMLILIA NA ATAYEPIGIA SALUTI MAITI YAKE

Mwanaume ambaye amejichimbia kaburi akiwa hai amefunguka kuwa alichukuwa hatua hiyo ili kuwapa watu funzo. Afrimax iliangazia kwa kina ya mipango madhubiti ya mwanaume huyo ambayo tayari ameweka kwa ajili ya mazishi yake siku za usoni. Kando na kujichimbia kaburi, tayari amepata watu ambao watamlilia...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATATU OKTOBA 3,2022

Magazetini leo Jumatatu October 3 2022 ...
Share:

Sunday, 2 October 2022

DAKTARI MTANZANIA AFARIKI KWA EBOLA UGANDA

Daktari raia wa Tanzania, Dkt. Mohamed Ali Hafidh anayefanya kazi nchini Uganda aliyeambukizwa Ebola amefariki dunia, mhudumu wa kwanza wa afya aliyefariki kwa ugonjwa huo katika mlipuko wa hivi karibuni nchini humo, waziri wa afya wa Uganda amesema Jumamosi. “Nasikitika kutangaza kwamba tumempoteza...
Share:

MJUMBE WA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CCM RAIS DKT. MWINYI ASHIRIKI UCHAGUZI WA CCM WA VIONGOZI WA NGAZI YA WILAYA

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Mjini Kichama Ndg. Talib Ali Talib na Viongozi wengine alipowasili katika viwanja vya Afisi ya...
Share:

TANESCO DODOMA YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WATEJA KUHUSU UTARATIBU WA KUPATA HUDUMA ZA UMEME

Afisa Uhusiano Tanesco Mkoa Dodoma Sarah Libogoma ,akizungumza na wananchi wa Kata ya Nala Mtaa wa Seguchini Mkoani Dodoma wakati wa kampeni ya uelimishaji juu ya huduma za TANESCO zilizofika mitaa hiyo kupitia mradi wa umeme wa REA. WANANCHI wa Mtaa wa Seguchini wakimsikiliza Afisa Uhusiano...
Share:

WAZIRI DKT MABULA AWATAKA WAKURUGENZI HALMASHAURI KWENDA NA KASI YA RAIS SAMIA

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza wakati wa kuhitimisha Kikao kazi kilichowaunganisha wakurugenzi wa Halmashauri na watalaam wa Sekta ya Ardhi nchini kilichofanyika jijini Dodoma Oktoba 1, 2022. Kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Dkt Allan Kijazi na kulia...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger