Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akimkabidhi baiskeli Salome Samwel.
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Wazee na watu wenye Ulemavu wapatao 210 kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu, wamekabidhiwa vifaa mbalimbali vya usaidizi na kadi za matibabu kutoka kampuni ya Barrick,...
Friday, 8 April 2022
DAWA HIZI UNAPENDA KUZITUMIA LAKINI ZINAWEZA KUWA HATARI KWA AFYA YAKO

Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani, dawa hizo zinapoteza ufanisi wake kwa kasi ya kushangaza
Kula vyakula vya kukaanga ama vilivyo na mafuta mengi kunaweza kusababisha kuumwa na tumbo au kuvimbiwa.
Baadhi ya wanapokabiliwa na tatizo kama hilo hukimbilia duka la dawa na kupata vidonge vya kujitibu...
Thursday, 7 April 2022
UTAFITI WAONESHA BINADAMU ANAPOTEZA 26 KILA MWAKA BILA KUFANYA KITU CHOCHOTE

Matumizi ya mitandao ya kijamii
Kusubirishwa kwenye simu kunapoteza muda
Foleni ya barabarani nayo inapoteza muda mwingi
***
JE umeshawahi kujiuliza kwa mwaka ni muda kiasi gani unaoupoteza kutokana na kutofanya chochote? Mathalani, mtu anakusubirisha tu sehemu halafu mwisho wa siku hatokei....
SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA AHUDHURIA MAZISHI YA SPIKA WA BUNGE LA UGANDA

Spika wa Bunge la Tanzania Dkt Tulia Ackson akiaga mwili wa Spika wa Bunge la Uganda Jacob Oulanyah
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, ameshiriki ibada ya kitaifa ya kuaga mwili wa aliyekuwa Spika wa Bunge la Uganda, Mhe. Jacob Oulanyah katika Viwanja vya...
PAKUA APP YA MALUNDE 1 BLOG UWE UNAPOKEA HABARI KWA URAHISI ZAIDI
Toleo Jipya Kabisa la App ya Malunde 1 blog, Kama unayo kwenye simu Pakua Upya mtu wangu... Bofya mara Moja <<Hapa>>
Toleo Jipya Kabisa la App ya Malunde 1 blog, Kama unayo kwenye simu Pakua Upya mtu wangu... Bofya mara Moja <<Hapa>>
Toleo Jipya Kabisa...
Wednesday, 6 April 2022
AANGUKA NA KUFARIKI KANISANI AKIHUBIRI KUHUSU WACHAWI
Tukio la kusikitisha limetokea katika Kanisa la Evangelical Winning All (ECWA) nchini Nigeria baada ya shemasi kuanguka ghafla na kufariki papo hapo akihubiri dhidi ya mauaji ya kiibada na dhabihu za kibinadamu.
Imeibuka kuwa kisa hicho kilitokea Jumapili, Aprili 3,2022 wakati shemasi huyo aliyetambulika...
KIJANA WA MIAKA 25 ATANGAZA KUFUNGA NDOA NA BIBI WA MIAKA 85
Kijana akiwa kwenye mahaba mazito na Bibi mpenzi wake
Mwanaume mchanga mwenye umri wa miaka 25, amewashangaza wengi baada ya kufichua mipango yake ya kufunga pingu za maisha na mpenzi wake wa miaka 85.
Wapenzi hao wanalandana sana wazimu na kuzama katika bahari ya mapenzi na sasa wanapanga kufanya...
BENKI YA CRDB KUCHOCHEA BIASHARA KATI YA TANZANIA, BURUNDI NA DRC

Waziri Mkuu wa Burundi, Alain Guillaume Bunyoni (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Burundi, Dk Jilly Maleko (wa tatu kulia), Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya CRDB, Dk Ally Laay (wa pili kulia), Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (watatu kushoto),...
TANZANIA, BURUNDI NA DRC ZAANZA MCHAKATO WA KUTAFUTA MSIMAMIZI UJENZI WA RELI YA KISASA UVINZA,MSONGATI NA GITEGA

Nchi za Tanzania Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) zimeanza mchakato wa kumtafuta mtaalamu atakayesimamia ujenzi wa reli ya kisasa kwa vipande vya Uvinza Msongati na Gitega.
Hii inakuja siku chache tangu nchi hizi zisaini makubaliano ya awali kuhusu kuanza mchakato wa kutafuta fedha...
Tuesday, 5 April 2022
BEI MPYA ZA MAFUTA KUANZA KUTUMIKA KESHO...IMEONGEZEKA

Mkurugenzi wa Petroli nchini Gerald Maganga akiongea na Waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu bei Kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli kuanzia Jumatano,2 Machi 2022 .
Na Dotto Kwilasa-Malunde 1 blog-DODOMA
MAMLAKA ya udhibiti wa huduma za nishati na maji (EWURA)imetangaza bei kikomo...
KAMA UNA MATATIZO NA MBEGU ZA KIUME ANZA KUFANYA HILI LEO

Sasa nina umri wa miaka arobaini na miwili na nilioa yapata miaka sita iliyopita na kwa wakati huo wote sikufanikiwa kupata mtoto yeyote. Imekuwa uchungu kwangu! Ndoa sio mchezo.
Tumekuwa na malumbano ya kila mara nyumbani mwetu huku bibi yangu akinifokea kwa kuwa sina uwezo wa kumpea mimba...
NDEGE KUBWA ZAIDI YA ABIRIA DUNIANI YAPASUA ANGA SAA TATU IKITUMIA MAFUTA YA KUPIKIA
Ndege ya Airbus A380, imekamilisha safari ya majaribio ya kutumia mafuta ya kupikia kusafiri.
Ndege hiyo ya majaribio ilikamilisha safari ya saa tatu kutoka Uwanja wa Ndege wa Blagnac huko Toulouse hadi makao makuu ya Airbus ya Ufaransa mnamo Machi 25.
Iliendeshwa na mafuta aina ya Sustainable...
MAMA AFARIKI BAADA YA POLISI KUMPOKONYA POCHI YAKE
Scolastica Marada enzi za uhai wake
**
Familia moja katika kaunti ya Trans Nzoia inaomboleza kufuatia kifo cha jamaa yao kilichotokea baada ya afisa wa polisi kuripotiwa kumpokonya pochi lake lililokuwa na KSh 30,000 sawa na shilingi Laki sita za Tanzania.
Scolastica Marada, mama wa watoto watano,...