
Samirah Yusuph
Simiyu. Mkuu wa mkoa wa Simiyu David Kafulila ameagiza uhakiki wa kiasi cha madini ya ujenzi yanayotoka katika kila halmashauri za wilaya ya mkoa huo kwenda katika ujenzi wa barabara na miradi mingine.
Agizo hilo amelitoa Juni 1,2021 alipo kuwa katika ukaguzi wamradi wa ujenzi...