Wednesday, 2 June 2021

RC Kafulila aanza kwa kuzichimbua fedha za madini ya ujenzi.

Samirah Yusuph Simiyu. Mkuu wa mkoa wa Simiyu David Kafulila ameagiza uhakiki wa kiasi cha madini ya ujenzi yanayotoka katika kila halmashauri za wilaya ya mkoa huo kwenda katika ujenzi wa barabara na miradi mingine. Agizo hilo amelitoa  Juni 1,2021 alipo kuwa katika ukaguzi wamradi wa ujenzi...
Share:

Madeni Ardhi Mkoa Wa Tabora Yafikia Bilioni 3.1 .

Na Lucas Raphael,Tabora Wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi mkoa waTabora kwa kushirikiana na kanda ya kati  inazidai Taasisi serikali na watu binafsi wakiwemo wananchi kiasi cha shilingi bilioni 3.1 kwa kipindi cha miaka 5 iliyopita Afisa mipango mwandamizi na mratibu wa kodi kanda...
Share:

Kampeni Mstaafu George Mkuchika Aaapishwa kuwa Waziri katika Ofisi ya Rais Ikulu, Kazi Maalum.

Rais Samia Suluhu Hassan amemuapisha Kampeni Mstaafu George Mkuchika kuwa Waziri katika Ofisi ya Rais Ikulu, Kazi Maalum. Kabla ya kuteuliwa kushika wadhifa huo, Kampteni Mstaafu Mkuchika alikuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, nafasi inayoshikiliwa...
Share:

Basi la Classic Lapata Ajali Shinyanga, Watatu Wafariki

Watu watatu wanahofiwa kufa katika ajali ya basi la Classic eneo la Buyubi Kata ya Didia mkoani Shinyanga, huku wengine 34 wakijeruhiwa baada ya basi hilo kuacha njia na kupinduka majira ya saa 10:00 alfajiri ya Juni 2, 2021, wakati likitokea Kampala Uganda kuelekea Dar es Salaam. Baadhi ya maeruhi...
Share:

AUDIO : Killy – Roho

 AUDIO :  Killy – Roho...
Share:

Relationship Manager ;Islamic Banking at NBC Bank

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content NBC is the oldest serving bank in Tanzania with over five decades of experience. We offer a range of retail, business, corporate and investment banking, wealth management products and services. Job Summary Growth of Islamic Business- Assets (loans), Liabilities (deposits) and revenue...
Share:

Field Interviewers (3 posts) at Ifakara Health Institute

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content Job Summary Position:                    Field Interviewers (3 posts) Reports To:               Project Leader Work Station:   ...
Share:

Intern at Ifakara Health Institute

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content Job Summary Position:                    Intern (1 post) Reports To:               Unit Leader – ICT       ...
Share:

RC MALIMA AWATAKA WAFUGAJI KUJIUNGA KWENYE VYAMA VYA USHIRIKA VYA UFUGAJI

MKUU wa Mkoa wa Tanga Adamu Malima akizungumza  wakati akizundua wiki ya unywaji maziwa iliyofanyika kwenye viwanja vya Tangamano mjini Tanga Msajili wa Bodi ya Maziwa Tanzania Dkt. George Msalya akizungumza wakati wa uzinduzi huo KAIMU Mkurugenzi wa Uzalishaji na Masoko...
Share:

Watumishi Wa Ofisi Ya Rais – Utumishi Wapatiwa Mafunzo Ya Namna Bora Ya Kutoa Huduma Kwa Umma

Veronica Mwafisi-Dodoma Watumishi watakaokuwa wakitoa huduma kupitia Kituo cha Huduma kwa Wateja (Call centre Customer Service) cha Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma wanashiriki mafunzo ya namna bora ya kutoa huduma kwa umma kupitia kituo hicho kinachotarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni. Akifungua...
Share:

TAX MANAGEMENT OFFICER II – 22 POST at TRA

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content POST TAX MANAGEMENT OFFICER II – 22 POST POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING BANKING, ECONOMICS AND FINANCIAL SERVICES TAXATION AND SOCIAL PROTECTION EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA) APPLICATION TIMELINE: 2021-06-01 2021-06-14 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES...
Share:

TAX INVESTIGATION OFFICER – II – 2 POST at TRA

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content POST TAX INVESTIGATION OFFICER – II – 2 POST POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING BANKING, ECONOMICS AND FINANCIAL SERVICES TAXATION AND SOCIAL PROTECTION EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA) APPLICATION TIMELINE: 2021-06-01 2021-06-14 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES...
Share:

BASI LA CLASSIC LAPATA AJALI BUYUBI - SHINYANGA

Watu watatu wanahofiwa kufariki dunia huku wengine wengine zaidi ya 30 wakijeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Clasic kupata ajali eneo la Buyubi kata ya Didia barabara ya Kahama - Tinde Halmashauri ya Shinyanga mkoani Shinyanga. Ajali hiyo imetokea usiku wa leo majira ya 10 alfajiri ambapo basi...
Share:

CUSTOMS OFFICER II – 6 POST at TRA

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content POST CUSTOMS OFFICER II – 6 POST POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING BANKING, ECONOMICS AND FINANCIAL SERVICES LEGAL TAXATION AND SOCIAL PROTECTION EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA) APPLICATION TIMELINE: 2021-06-01 2021-06-14 JOB SUMMARY n/a DUTIES AND RESPONSIBILITIES...
Share:

TAX MANAGEMENT ASSISTANT II – 8 POST at TRA

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content POST TAX MANAGEMENT ASSISTANT II – 8 POST POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING HR & ADMINISTRATION LEGAL TAXATION AND SOCIAL PROTECTION EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA) APPLICATION TIMELINE: 2021-06-01 2021-06-14 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To process...
Share:

Tangazo La Nafasi Za Masomo shule ya Lake Tanganyika

Uongozi wa shule ya Lake Tanganyika iliyopo Kigoma katika kijiji cha Mkigo inapenda kuwatangazia nafasi za masomo kwa kidato cha tano kwa tahasusi za HGK,HKLna HGK Pia shule inawatangazia nafasi za kuhamia kidato cha sita kwa tahasusi tajwa hapo juu,kidato cha tatu na kwanza  Shule inafanya...
Share:

NHIF TANGA YAENDELEA KUHAMASISHA WANANCHI KUJIUNGA NA MFUKO HUO

  MENEJA wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Ally Mwakababu kushoto akisisitiza jambo kwa Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Exaud Kigahe (MB) wakati alipotembelea Banda lao lililopo kwenye maonyesho ya Biashara ya 8 yanayoendelea kwenye viwanja vya Mwahako Jijini Tanga Meneja...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger