
Spika wa Bunge, Job Ndugai leo Jumanne Juni Mosi, 2021 amemtoa katika ukumbi wa Bunge mbunge wa Momba (CCM), Condester Sichwale kutokana na kuvaa suruali iliyombana.
Kwa mujibu wa kanuni za Bunge, wabunge wanawake hawaruhusiwi kuvaa suruali za kubana.
Mara...