Thursday, 29 August 2019

World Bank Youth Summit 2019 Competition for Young Social Entrepreneurs (Win funded trip to Youth Summit in Washington, DC)

World Bank Youth Summit 2019 Competition for Young Social Entrepreneurs (Win funded trip to Youth Summit in Washington, DC) Applications are open for the World Bank Youth Summit 2019 Competition. The Competition challenges young social entrepreneurs to submit innovative proposals for scalable enterprises that leverage smart technology to build sustainable and inclusive cities that will serve the needs of… Read More »

The post World Bank Youth Summit 2019 Competition for Young Social Entrepreneurs (Win funded trip to Youth Summit in Washington, DC) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Commonwealth Youth Awards 2020 for excellence in development work (Win cash prizes and trip to London)

Deadline: October 31, 2019 Nominations for the 2020 Commonwealth Youth Awards are now open. The Commonwealth Youth Awards for Excellence in Development Work 2020 will recognise the contribution of young people towards achieving the Sustainable Development Goals. The Commonwealth Youth Awards recognise the exemplary work undertaken by young people across the 53 member countries. The awards will see winners awarded a cash grant… Read More »

The post Commonwealth Youth Awards 2020 for excellence in development work (Win cash prizes and trip to London) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Commonwealth Master’s Scholarships 2020 for full-time Master’s study at a UK university (Fully Funded)

Commonwealth Master’s Scholarships 2020 for full-time Master’s study at a UK university (Fully Funded): commonwealth scholarship 2019/2020, commonwealth scholarship 2020, commonwealth masters scholarship 2019, commonwealth scholarship application portal, how to apply for commonwealth scholarship, how to apply for commonwealth scholarship 2019, commonwealth scholarships 2020, commonwealth phd scholarship 2019 Commonwealth Master’s Scholarships are for candidates from low and middle income… Read More »

The post Commonwealth Master’s Scholarships 2020 for full-time Master’s study at a UK university (Fully Funded) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Video Mpya ya Harmonize na Eddy Kenzo – Inabana

Video Mpya ya Harmonize na Eddy Kenzo – Inabana


Share:

Nafasi za Internships- (Mechanism Archives and Records Section)

Posting Title: INTERN – Mechanism Archives and Records Section, Arusha, I (Temporary Job Opening) Job Code Title: INTERN – INFORMATION MANAGEMENT Department/Office: International Residual Mechanism for Criminal Tribunals Duty Station: ARUSHA Posting Period: 28 August 2019 – 26 August 2020 Job Opening Number: 19-Documentation and Information -RMT-117032-J-Arusha (O) Staffing Exercise N/A Org. Setting and Reporting The International Residual… Read More »

The post Nafasi za Internships- (Mechanism Archives and Records Section) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Video Mpya ya Maua Sama – Niteke

Video Mpya  ya  Maua Sama – Niteke


Share:

TENDER: Provision of Transport Services to Tanzania Youth Alliance (TAYOA) under the Global Fund Project

INVITATION OF TENDERS Tanzania Youth Alliance (TAYOA) is locally registered non-profit organization dedicated to improving the health of youth and adult people in Tanzania, with a focus on HIV/AIDS prevention ,reproductive health, entrepreneurship and employ-ability. TAYOA is implementing Global Fund project on HIV Prevention Programs for Adolescent Girls and Young Women -in Morogoro and Dodoma Regions. The organization invites eligible suppliers… Read More »

The post TENDER: Provision of Transport Services to Tanzania Youth Alliance (TAYOA) under the Global Fund Project appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

AJIUA KWA KUNYWA SUMU BAADA YA KUMUUA MKEWE KISHA KUMLAZA KITANDANI KAGONGWA

Kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga,ACP Richard  Abwao
Na Kadama Malunde - Malunde1 blog
Mwanaume aitwaye Paschal Clement Mahona (32) mkazi wa Iponya kata ya Kagongwa wilaya ya Kahama amejiua kwa kunywa sumu baada ya kumuua mkewe Ashura Paschal (30) kwa kumnyonga shingo kisha kumlaza kitandani.


Kwa mujibu wa Kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga,ACP Richard  Abwao tukio hilo limetokea Agosti 28,2019 majira ya saa moja usiku.

"Ashura Paschal ambaye ni mkazi wa Iponya alikutwa akiwa ameuawa kwa kunyongwa shingo na kulazwa kitandani na mmewe aitwaye Paschal Clement Mahona mbaye naye baada ya kufanya mauaji hayo alijiua kwa kunywa sumu ambayo aina yake bado kujulikana na kukutwa chumbani akiwa amelala sakafuni, akitoa povu mdomoni",amesema Kamanda Abwao.

"Chanzo cha tukio hilo ni wivu wa kimapenzi kwani  kabla ya tukio hilo wanandoa hao walikuwa wakigombana huku mume akimtuhumu mkewe kukosa uaminifu katika ndoa yao",ameongeza Kamanda Abwao.

Share:

WAZIRI LUKUVI AOKOA ARDHI YA AJUZA NA KUAMURU ALIPWE FIDIA YA SH. MILIONI 500 NDANI YA MIEZI MITATU


Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi, ametoa miezi mitatu kwa wavamizi 110 waliovamia eneo la Ajuza Nasi Murio, mwenye umri wa miaka 98, lenye ukubwa wa hekari nane kumlipa kiasi cha sh. milioni 500 kama fidia.

Lukuvi ametoa agizo hilo Jijini Arusha leo Agosti 28, katika kata ya ya Sinoni ambapo amesema kila mtu atalipa fedha kulingana na ukubwa wa eneo alilopora.

Amesema serikali imewaonea huruma na kwamba watalipa shilingi 20,000 kwa kila mita moja za eneo.

Waziri amesema ili wavamizi hao waweze kurasimishwa na kuwa wamiliki halali watalazimika kulipa gharama za upimaji pamoja na gharama za kupata hati miliki pamoja na kodi ya ardhi.


Share:

73 Jobs at Tanzania Shipping Agencies Corporation (TASAC)

UNITED REPUBLIC OF TANZANIA  PRESIDENT’S OFFICE  PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT  Ref.No.EA.7/96/01/J/68 28th August, 2019  VACANCIES ANNOUNCEMENT  On behalf of Tanzania Shipping Agencies Corporation (TASAC); Public Service  Recruitment Secretariat invites dynamic and suitably qualified Tanzanians to fill 73 vacant posts.  1.0 TANZANIA SHIPPING AGENCIES CORPORATION (TASAC) Tanzania Shipping Agencies Corporation (TASAC) is a Public Institution established under the Tanzania Shipping… Read More »

The post 73 Jobs at Tanzania Shipping Agencies Corporation (TASAC) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

DKT.GWAJIMA ATAKA VIONGOZI WA VIJIJI KUHAMASISHA WANANCHI KUJIUNGA BIMA YA AFYA CHF ILIYOBORESHWA


Katibu Mkuu ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)anayeshughulikia Afya Dk.Doroth Gwajima,akizungumza na viongozi akiwataka wasaidie kuwahamasisha wananchi kujiunga na bima ya afya ya jamii ya CHF iliyoboreshwa alipotembelea Zahanati ya kijiji cha Chiboli wilayani Chamwino mkoani Dodoma kushuhudia utekelezaji wa kuandikisha Kaya katika mfumo huo.
Muuguzi wa Zahanati ya kijiji cha Chiboli ,Shija Makeja,akielezea jinsi wanavyoshirikiana na uongozi uliopo katika kuhamasisha wananchi kujiunga na bima ya afya ya jamii ya CHF iliyoboreshwa kushoto ni katibu Mkuu ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)anayeshughulikia Afya Dk.Doroth Gwajima,akimsikiliza.
Meneja mradi wa HPSS Tuimarishe afya, Ally Kebby Abdallah,akizungumzia Azma ya Serikali ni kutengeneza mfumo wa bima ya afya ya CHF iliyoboreshwa ni kuona mwananchi anatambuliwa lakini pesa anayochangia irudi kwenye kituo.
Katibu Mkuu ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)anayeshughulikia Afya Dk.Doroth Gwajima,akiangalia kibao kinachoonesha ratiba ya kazi katika Zahanati ya kijiji cha Chiboli wilayani Chamwino mkoani Dodoma alipotembelea kushuhudia utekelezaji wa kuandikisha Kaya katika mfumo wa bima ya afya ya CHF iliyoboreshwa.
Katibu Mkuu ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)anayeshughulikia Afya Dk.Doroth Gwajima,akiwahamasisha wananchi wa kijiji cha Chiboli wajiunge na bima ya afya ya CHF iliyoboreshwa ili wafurahie huduma bora alipotembelea Zahanati ya kijiji cha Chiboli wilayani Chamwino mkoani Dodoma kushuhudia utekelezaji wa kuandikisha Kaya katika mfumo wa bima ya afya ya CHF iliyoboreshwa.
Katibu Mkuu ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)anayeshughulikia Afya Dk.Doroth Gwajima,mkazi wa kijiji cha Chiboli anayetumia bima ya afya ya CHF iliyoboreshwa jinsi inavyookoa maisha ya familia yake pindi anapopata na tatizo
***
Serikali imewataka viongozi wa serikali za Mitaa a vijiji nchini kusaidia kuhamasisha wanachi kujiunga na bima ya afya ya jamii ya CHF iliyoboreshwa ili waondokane na adha pindi wanapokuwa hawana fedha za mkononi kulipia matibabu.

Haya yamebainishwa na katibu mkuu ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)anayeshughulikia Afya Dk.Doroth Gwajima alipotembelea Zahanati ya kijiji cha Chiboli wilayani Chamwino mkoani Dodoma kushuhudia utekelezaji wa kuandikisha Kaya katika mfumo huo.

Amesema suala la kuhamasisha wanachi kujiunga na bima ya afya ya jamii CHF iliyoboreshwa siyo jukumu la wataalam wa afya peke yao kwani wanaotakiwa kulisimamia ni viongozi wa vijiji ambao ndiyo waliokaribu na watu.

"Hili suala la watu kujiunga na bima hii ya afya ya jamii ya CHF iliyoboreshwa ni suala la kushirikishana hawa viongozi wa vijiji kama mwenyekiti wa kijiji na afisa mtendaji wa kijiji ndiyo wenye watu na wenye mikutano ya hadhara ambayo ajenda hii wataifikisha kwa njia rahisi"amesema Dk. Gwajima.

Pia Dk. Gwajima amesema kuwa kama viongozi wa serikali za vijiji watakuwa na ushirikiano na wataalamu wa vituo vya afya nchini wataweza kuibeba ajenga hiyo kwa kuifikisha kwa wanachi na kuweza kuziandikisha kaya zote nchini katika mfumo huo wa CHF iliyoboreshwa.

Kwa upande wake Muuguzi wa Zahanati hiyo Shija Makeja,amesema kuwa kupata mafanikio ya kuwa na idadi kubwa ya wanachama wa bima ya afya ya jamii CHF iliyoboreshwa kumetoka na kushirikiana kwa karibu na viongozi wa serikali ya kijiji.

Amesema kutokana na kuhudumia idadi kubwa ya watu wanaotumia CHF iliyoboreshwa wameweza kupata fedha za kujiendesha na kuondokana na changamoto za ukosefu wa madawa ambao awali ulikuwa kikwazo.

Nae Meneja mradi wa HPSS Tuimarishe afya, Ally Kebby, amesema kuwa azma ya serikali ni kutengeneza mfumo wa bima ambao mwanachi atatambuliwa na pesa anayochangia itarudi kwenye kituo.

Mradi wa HPSS Tuimarishe afya unafadhiriwa na shirika la maendeleo na ushirikiano la Uswisi kwa kushirikana na serikali ya Tanzania ambao umechangia katika kuunda mfumo wa kutendea kazi wa IMIS na kutoa mafunzo kwa waandikishaji waratibu na wasimazi wa CHF iliyoboreshwa nchini.

Share:

UJUMBE WA BENKI YA DUNIA WAKUTANA NA MTENDAJI MKUU-MAHAKAMA

Na Mary Gwera, Mahakama

Wataalamu kutoka Benki ya Dunia ‘World Bank’ wapo nchini kwa  lengo la kufanya tathmini ya maendeleo ya utekelezaji wa Mradi wa Maboresho ya Huduma za Mahakama unaofadhiliwa kwa fedha za mkopo kutoka Benki  hiyo.

Lengo la Ujumbe huo kutembelea Mahakama ni kusaidia kukwamua vikwazo mbalimbali ili kuongeza kasi na ufanisi wa utekelezaji wa Mradi ili kufikia malengo yaliyokusudiwa.

Aidha; Wataalam hao ambao watakuwepo nchini kwa muda wa siku saba (7), waliwasili nchini  Agosti 23, 2019 na tayari wametembelea baadhi ya Miradi ya ujenzi ya Majengo ya Mahakama Kuu Musoma-Mara, Mahakama ya Hakimu Mkazi Simiyu pamoja na kukagua maendeleo ya ufanyaji kazi ya Mahakama inayotembea ‘Mobile Court’ mkoani Mwanza.

Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Kitengo cha Maboresho cha Mahakama (JDU), Ujumbe huo pia tayari umekutana na baadhi ya Ofisi/Kurugenzi mfano Kurugenzi ya Ugavi na Ununuzi na vilevile Wajumbe hao watapatiwa taarifa za hatua  za utekelezaji wa malengo mbalimbali yaliyowekwa kwa kila Idara/Kitengo.

Hali kadhalika, Agosti 27, 2019, Ujumbe huo ulipata wasaa wa kukutana na Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Bw. Hussein Kattanga na kufanya mazungumzo kuhusiana na utekelezaji wa Mradi huo.

Baada ya kukamilika kwa ratiba ya ugeni huo, watatoa maoni/mapendekezo ya maeneo ya kuyafanyia kazi zaidi ili kuboresha utekelezaji wa mradi huo wa miaka mitano (2015/2016-2019/2020).


Share:

Teacher Assistant at International School of Tanganyika

Teacher  Assistant  IST Mission Challenging, inspiring and supporting all our students to fulfil their potential and improve the world IST Vision IST will be a global leader in the education of internationally-mobile young people. All students, regardless of their starting point, will think critically, achieve academically and develop the  wisdom to make good choices.  They will show curiosity… Read More »

The post Teacher Assistant at International School of Tanganyika appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Polisi Pwani Yakamata Magunia Tisa Ya Bangi

MWAMVUA MWINYI, PWANI
JESHI la Polisi mkoani Pwani linamshikilia dereva Francis Deogratias (30) mkazi wa Mwananyamala Jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kusafirisha bhangi magunia tisa kila moja likiwa na uzito wa kilo 50.

Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Kibaha kamanda wa polisi mkoani humo Wankyo Nyigesa alisema kuwa bhangi hiyo ilikutwa kwenye gari alilokuwa akiendesha mtuhumiwa.

Nyigesa alisema kuwa tukio hilo lilitokea Agosti 27 majira ya saa 3:30 usiku eneo la Maili Moja askari wakiwa doria walikamata gari hilo aina ya Toyota Prado yenye namba za usajili T855CYP rangi ya Silver likitokea mkoani Morogoro.

"Mtuhumiwa alikuwa na wenzake watatu ambao walikimbia na msako mkali unaendelea kuwatafuta ili waje wajibu tuhuma zitakazowakabili za kusafirisha bhangi," alisema Nyigesa.

Alisema kuwa watu wanaojishughulisha na uhalifu kwa sasa hawana nafasi na waangalie shughuli halali kwani hawatavumiliwa na hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao na wananchi watoe taarifa za uhalifu.


Share:

Job Opportunity at Compassion International, Program Support Specialist II

Job Opportunity at Compassion International, Program Support Specialist II   Program Support Specialist II Overview This intermediate specialist consults on, develops and implements holistic child development programs and interventions. The specialist generally provides highly competent knowledge in one or more holistic development sub specialties in this field and is helpful in others. At this career level, the incumbent… Read More »

The post Job Opportunity at Compassion International, Program Support Specialist II appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

TETESI ZA SOKA LEO ALHAMIS AGOSTI 29,2019


Meneja wa Manchester United Ole Gunnar Solskjaer yupo tayari kusubiri hadi msimu ujao w ajoto kushinikiza kiungo cha ushambilizi , huku mchezaji wa kiungo cha mbele wa Borussia Dortmund Jadon Sancho, mwenye umri wa miaka 19, akisalia kuwa mchezaji anayemlenga pakuu. (Evening Standard)

Barcelona na Paris St-Germain zimekubali malipo ya uhamisho wa mchezaji wa miaka 27 wa timu ya taifa ya Brazil Neymar, lakini majadiliano yanaendelea kuhusu makubaliano ya mkataba huo. PSG inataka mchezaji wa kiungo cha mbele wa Ufaransa Ousmane Dembele, mwenye umri wa miaka 22, kuwa sehemu ya mpangilio huo. (Mirror)

Hatahivyo, Ajenti wa Dembele anasema mchezaji huyo hatoondoka Nou Camp, hatua ambayo huenda ikachangia kupromoka kwa pendekezo la uhamisho wa Neymar kwenda Barcelona. (Daily Mail)

Mchezaji wa kiungo cha kati wa Chelsea raia wa Ufaransa Tiemoue Bakayoko, mwenye umri wa miaka 25, amekubali makubaliano ya kujiunga upya na Monaco kwa mkopo - huku kukipangiwa malipo ya £31.8m ka mkataba wa kudumu.(RMC Sport, kupitia Sun)
Mlinzi wa Arsenal Nacho Monreal, mwenye umri wa miaka 33, c huenda akarudi katika klabu alikotoka Uhispania kaba ya kufungwa dirisha la uhamisho Ulaya Jumatatu, huku Real Sociedad ikiwa na hamu kubwa ya kumsajili mchezaji huyo wa zamani wa Osasuna na Malaga. (Evening Standard)

Mshambuliaji wa Arsenal na timu ya taifa ya England Sam Greenwood, mwenye umri wa miaka 17, ametambuliwa na timu bingwa ya Italia AC Milan na Juventus kama mchezaji anayelengwa baada ya kuridhisha maajenti katika mshindano ya ubingwa wa Ulaya wa timu za wachezaji walio chini ya umri wamiaka 17 mapema msimu huu wa joto. (Sun)

Manchester United italipa kitita cha £300,000 cha malipo ya Alexis Sanchez ya £400,000 kwa wiki wakatimchezaji huyo wa kiiungo cha mbele wa Chile akiwa uhamishoni kwa mkopo huko Inter Milan. (Metro)Alexis Sanchez alijiunga na Manchester United mnamo Januari 2018

Mchezaji wa kiungo cha mbele wa RB Leipzig na anayelengwa na Liverpool, Timo Werner, mwenye umri wa miaka 23, bado hajakata tamaa ya uhamisho kwenda ng'ambo katika siku za usoni licha ya mchezaji huyo wa kiungo cha mbele wa timu ya taifa ya Ujerumani kusaini mktaba mpya katika klabu hiyo kwenye ligi ya Bundesliga. (Mirror)

Kipa wa Bournemouth Asmir Begovic, mwenye umri wa miaka 32, huenda akaondoka baada ya kuipoteza nafasi yake kwa mchezaji wamiaka 21 wa England Aaron Ramsdale. (Sun)

Mshambuliaji wa Reading Sam Baldock, mwenye umri wa miaka 30, anavutia vilabu kadhaa katika ligi ya Ujerumani Bundesliga 2, huku mlinzi mwenye miaka 19 wa timu ya taifa ya England Tom Holmes akitarajiwa kujiunga na KSV Roeselare huko Ubelgiji kwa mkopo. (Get Reading)

Mchezaji wa kiungo cha kati wa Stoke City Giannelli Imbula, mwenye miaka 26, anakaribia kuhamia kwa mkopo kwenda klabu katika ligi ya Serie A. (Sport Italia)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionChristian Eriksen

Tottenham hawana uhakika na nia ya Christian Eriksen kutokana na kuvunjika kwa mahusiano kati ya mwenyekiti wao Daniel Levy na wakala wa kiungo huyo mwenye miaka 27 raia wa Denmark. (Guardian)

Meneja wa zamani wa Tottenham Harry Redknapp anaamini Eriksen anatakiwa kuanza kwenye mechi za Spurs licha ya kutokujulikana kwa hatma yake ya mbeleni. (Talksport)

Mshambuliaji wa Inter Milan Romelu Lukaku, 26 aliondoka Manchester United kwa sababu alichoshwa na klabu hiyo , kwa mujibu wa kocha wa Belgium Roberto Martinez. (Mirror).

Kaka yake Paul Pogba, Mathias mwenye umri wa miaka 29 ambaye ni mshambuliaji wa klabu ya Deportivo Manchego, amesema mdogo wake anayechezea Manchester United itapendeza zaidi kama atahamia Real Madrid. (AS)
Mshambuliaji wa Everton Cenk Tosun anataka kubaki katika klabu hiyo licha ya kuwepo kwa tetesi kuwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 ana mpango wa kuhamia Eintracht Frankfurt. (Turkish Football)

Liverpool imesema kuwa haina mpango wa kumuuza mshambuliaji wake Bobby Duncan na imekataa kutumia mbinu za Fiorentina. (Liverpool Echo)

Mchezaji wa Brighton, Jurgen Locadia, 25 anaweza kusajiliwa kwa mkopo na Bundesliga side Hoffenheim. (Argus)

Olympiakos wako katika mazungumzo na klabu ya Leicester katika mpango mpya wa kumsajili mshambuliaji wa Foxes ambaye ni raia wa Algeria Rachid Ghezzal, 27. (Sky Sports)

Manchester City wapo katika mipango ya kumnasa mlinzi wa klabu ya Hearts Aaron Hickey kwa dau la paundi milioni 1.5 ili kumpata mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 17 ifikapo mwezi Januari. (Sun)

Kiungo wa klabu ya West Bromwich Albion, Rekeem Harper mwenye umri wa miaka 19 amepewa nafasi kubwa katika mipango ya kocha mkuu wa klabu hiyo Slaven Bilic katika msimu huu. (Express and Star)
Chanzo - BBC
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMIS AGOSTI 29,2019


















































































Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger