Monday, 26 August 2019
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani Kaamuru Wakandarasi wa Umeme Katavi Vijijini Wakamatwe
Mahakama Kuu yatupilia mbali Mapingamizi ya Serikali dhidi ya Tundu Lissu
Uamuzi huo umetolewa leo Jumatatu Agosti 26,2019 na Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam, Jaji Sirillius Matupa wakati akitoa uamuzi wa pingamizi la awali dhidi ya maombi ya Lissu lililowekwa na Serikali katika maombi yake ya kibali cha kufungua shauri ili kupigania ubunge wake.
Atiwa Mbaroni Kwa Kosa la Kumbaka Mtoto wa Miaka Mitatu
JESHI la polisi mkoani Pwani, linamshikilia Dismas Silyvester (35) kwa kosa la kumbaka mtoto mdogo mwenye miaka mitatu, huko Mlandizi A ,kata ya Mlandizi ,Kibaha .
Aidha Mariam Shomari (25) mkazi wa Msongola ,Mlandizi Kibaha ameibiwa mtoto wake mchanga wa miezi mitatu katika mazingira ya kutatanisha ambapo jeshi hilo linaendelea na msako ili kumpata mtoto huyo.
Akithibitisha kutokea kwa tukio la kwanza ,kamanda wa polisi mkoani hapa, Wankyo Nyigesa aliwaambia waandishi wa habari kwamba, Dismas alimuiba mtoto wa miaka mitatu na kwenda nae kichakani na kumfanyia unyama huo.
“Baada ya taarifa kutolewa kwa jeshi la polisi kwa kushirikiana na raia wema lilimkamata mtuhumiwa na mtoto mchanga huyo katika mashamba ya mbogamboga vichakani “alifafanua Wankyo.
Wankyo alieleza ,uchunguzi unaonyesha mtoto huyo ambae jina limehifadhiwa ,ameingiliwa kimwili.
Akielezea tukio jingine Wankyo alisema, agost 25 saa 7 mchana ,Msongola, Mariam Shomari aligundua kuibiwa mtoto wake mchanga Swaumu Sudi mwenye miezi mitatu.
“Mtoto huyo aliibiwa ndani akiwa chumbani alipokuwa amelala baada ya mama yake kutoka kwenda kuomba kibiriti kwa jirani umbali wa mita 200 na mwanamke ambae hajafahamika hadi sasa”
Inadaiwa mwizi huyo wa mtoto alitumia mbinu ya kuvizia mama wa mtoto kutoka na yeye kufika kwenye nyumba hiyo na kumwambia mtoto mdogo Fatima Sudi miaka mitatu aliyekuwa amebaki na mdogo wake kuwa ametumwa na mama yake kuja kumchukua mtoto huyo ili ampelekee na kufanikisha wizi huo.
Jeshi hilo linaendesha msako mkali wa kumtafuta mwizi wa mtoto ambapo ametoa wito kwa viongozi wa serikali za mitaa ,watendaji wa kata ,wenyeviti wa vitongoji na vijiji pamoja na jamii kutoa taarifa iwao watamtilia shaka mtu ambae anaonekana na mtoto asiye wake.
Vifo ajali ya lori la mafuta Morogoro vyafika 102
Amesema kati ya majeruhi hao saba wako chumba cha uangalizi maalum (ICU) huku wengine sita wakiwa katika wodi ya Sewahaji.
Tshisekedi atangaza baraza jipya la mawaziri Congo DR
Serikali ya kwanza ya rais Félix Tshisekedi imetangazwa leo Kinshasa, baada ya kusubiriwa kwa miezi saba.
Katika serkali hiyo mpya, wanawake wamepewa asilimia kumi na saba ya mawiziri na wanaume asilimia 83.
Mnamo Julai mwaka huu Rais wa DR Congo Felix Tshisekedi na mtangulizi wake Joseph Kabila walikubaliana kuunda serikali ya muungano.
Walikubali kuunda serikali itakayo kuwa na mawaziri 66.
Kama walivyo kubaliana, chama cha rais huyo wa zamani sasa kimepata wizara 43, na kile cha rais Félix Tshisekedi kimejinyakulia wizara 23.
Ambari Nyeupe Ni Suluhu ya Kurekebisha Maumbile ya Kiume YaliyoSinyaa kwa Kujichua
Kama wewe ni mwanaume ulie katika kundi hili, unaweza kujitibu tatizo lako kwa kutumia dawa asilia itokanayo na AMBARI NYEUPE.
Ambari nyeupe nyeupe ikichanganywa na dawa nyingine tatu za asili, hutumika kama tiba ya kurekebisha maumbile ya kiume yaliyo sinyaa.
Kwa mahitaji yako ya dawa hii, fika katika duka la kuuza dawa asilia la NEEMA HERBALIST & NUTRITIONAL FOODS CLINIC.
Tunapatikana UBUNGO jijini Dar Es Salaam, jirani na SHULE YA MSINGI UBUNGO NATIONAL HOUSING nyuma ya jengo la UBUNGO PLAZA.
Wasiliana nasi kwa SIMU NAMBA 0766 53 83 84 au 0693005189
Na kwa taarifa Zaidi kuhusu huduma zetu, tutembelee katika blogu yetu :
www.neemaherbalist.com
Junior Horticulture Value Chain / Private Sector Development Expert – Deutsche Gesellschaft für Internationale Zusammenarbeit (GIZ) GmbH
Junior Horticulture Value Chain / Private Sector Development Expert (m/f/d) in the Technical Assistance to Support the Implementation of Agriconnect on Sector Enablers and Business Environment for Tea, Coffee and Horticulture in Tanzania Job-ID: P1690V004 Location: Zanzibar City Assignment period: 02/03/2020 – 02/02/2024 Field: Rural Development Type of employment: full-time Application deadline: 09/22/2019 Job description The Deutsche Gesellschaft… Read More »
The post Junior Horticulture Value Chain / Private Sector Development Expert – Deutsche Gesellschaft für Internationale Zusammenarbeit (GIZ) GmbH appeared first on Udahiliportal.com.
Job Opportunity at VSO, Research, Monitoring and Evaluation Manager
Research, Monitoring and Evaluation Manager Type of role: Advocacy policy and research Location: Dar Es Salaam, Tanzania Salary: Competitive Contract type: Permanent Full Time: 35 hours per week Application Closing Date: 13 Sep 2019 Interview date: to be confirmed Start date: 14th of October 2019 VSO is the world’s leading independent international development organisation that works through volunteers… Read More »
The post Job Opportunity at VSO, Research, Monitoring and Evaluation Manager appeared first on Udahiliportal.com.
Watendaji wa Kata Nchi Nzima Waitwa Ikulu
Taarifa iliyotolewa Agosti 23, 2019 na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) na kusainiwa na katibu mkuu wake, Joseph Nyamhanga imeeleza mkutano huo utafanyika katika viwanja vya Ikulu saa 2:00 asubuhi.
Supply Chain Coordinator (Sourcing) – Dar es Salaam, save the children tanzania
TITLE: Supply Chain Coordinator (Sourcing) TEAM/PROGRAMME: Operations LOCATION: Dar es Salaam with frequent travel to the field GRADE: 3 POAST TYPE: National CHILD SAFEGUARDING: Level 2: either the post holder will have access to personal data about children and/or young people as part of their work; or the post holder will be working in a ‘regulated’ position (accountant,… Read More »
The post Supply Chain Coordinator (Sourcing) – Dar es Salaam, save the children tanzania appeared first on Udahiliportal.com.
Gender, Advocacy & Campaign Coordinator – Dar es Salaam – World Vision Tanzania, ENRICH project
Purpose of the position: To coordinate the development of ENRICH project Gender and Advocacy strategy and oversee the implementation of the strategy. The gender specialist will be responsible for facilitating training on gender equality and Advocacy for staff and partners and for monitoring gender equality and advocacy results. Observe mission and core values of World Vision and demonstrate… Read More »
The post Gender, Advocacy & Campaign Coordinator – Dar es Salaam – World Vision Tanzania, ENRICH project appeared first on Udahiliportal.com.
Business Development Executive, Personal Banking Sales – Dar es Salaam
Company: Standard Chartered Bank Location: Dar Es Salaam, Tanzania Career Level: Executive Industries: Banking, Insurance, Financial Services Description About Standard Chartered We are a leading international bank focused on helping people and companies prosper across Asia, Africa and the Middle East. To us, good performance is about much more than turning a profit. It’s about showing how you… Read More »
The post Business Development Executive, Personal Banking Sales – Dar es Salaam appeared first on Udahiliportal.com.
Media (Documentary) Consultant – Restless
MEDIA (DOCUMENTARY) CONSULTANT CLOSING DATE: 30th August (midnight) LOCATION: Tanzania VISA REQUIREMENTS: Must have the right to work in the UK START DATE: As soon as possible ABOUT RESTLESS DEVELOPMENT We know young people have the power to solve the challenges we face in our world, but they are being sidelined. We are the agency that works with… Read More »
The post Media (Documentary) Consultant – Restless appeared first on Udahiliportal.com.
Jobs at ILO, Finance and Administrative Assistant (G6) – ILO,
Finance and Administrative Assistant – G6(DC) Grade: G6 Publication date: 23 August 2019 Application deadline (midnight local time in Dar es Salaam, Tanzania): 23 September 2019 Vacancy no.: DC/DAR/GS/2019/04 Job ID: 1704 Department: RO-Africa Organization Unit: CO-Dar es Salaam Location: Tabora Contract type: Short Term The recruitment process for General Service positions is subject to local recruitment regulations… Read More »
The post Jobs at ILO, Finance and Administrative Assistant (G6) – ILO, appeared first on Udahiliportal.com.
TFF Yawaita Wanaoonesha Mpira Vibandani
Naibu Spika Dkt Tulia Akson Awasilisha Kwa Niaba Ya Spika Mambo 15 Yaliyofanywa Na Rais Magufuli
“Serikali pia imepambana na mafisadi na kuanzisha mahakama ya mafisadi na pia amepunguza matumizi yasiyo ya lazima serikalini kwa kusitisha safari za nje zisizokuwa na Tija,” alisema.
Alisema jambo jingine ni kusimamia taratibu za makusanyo serikalini na kuongeza pato la taifa kutoka asilimia 5.1 hadi kufikia asilimia 7.5, kuongeza kasi ya ujenzi wa Miundombinu, kufufua shirika la ndege na kusimamia vyema rasilimali za nchi.
“Serikali imeendelea na mpango wa kutoa elimu bila malipo kwa shule za msingi na sekondari na kuongeza bajeti ya kutoa mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya Juu,kuimarisha miundombinu ya Maji na kuwa mtetezi wa wananchi walioonewa hasa wanawake,” alisema
Alitaja jambo la 11 ni kuteua tume ya uhakiki wa mali za chama , kufanya mageuzi makubwa ili kuhakikisha kilimo kinawanufaisha wakulima, kugawa vitambulisho kwa wafanyabiashara ili kuondoa ushuru wenye kero pamoja na bajeti ya serikali kugusa maisha ya wananchi.











