Hatimaye serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza majina ya walimu walioajiriwa mwaka 2016/2017.
MASWAYETU BLOG tumejipanga na tumewawekea majina hayo bila taabu yoyote. ...
Wednesday, 12 April 2017
Tuesday, 11 April 2017
VIDEO:BAADHI YA WANANCHI WALIOPO MASWA MJINI WAKILALAMIKA KUHUSU TATIZO LA MAJI

Wananchi waliopo mjini Maswa ni kati ya watu wanaosumbuka zaidi kwa swala hili la maji.
&nbs...
TAARIFA MUHIMU KUHUSU SIFA ZA KUJIUNGA NA VYUO VYA AFYA MWAKA WA MASOMO 2017/2018
Habari zenu wadau,
Kama kawaida yetu MASWAYETU BLOG TEAM tupo kukupa kitu roho inapenda ,na tunakuomba sana samahani kwa kutokuwa hewani kwa siku kadhaa.
Nipende kukuahidi kwamba,Tumerejea kwa kasi ya ajabu kabisa,kama unaswali unaweza kutu contact na utajibiwa bila shida.
Leo tumekuletea...
JINSI SIMBA ILIVYOPATA USHINDI WA KIHISTORIA DHIDI YA MBAO UWANJA WA CCM KIRUMBA MWANZA
Simba
wamepata ushindi wa kihistoria dhidi ya Mbao FC mechi ya ligi kuu
Tanzania bara iliyochezwa kwenye uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza.
Mbao
FC walianza kwa kutangulia kupata magoli mawili kipindi cha kwanza na
kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kuibuka na pointi tatu katika mchezo
huo....