BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI
(NACTE)
TAARIFA KWA UMMA
UTEUZI WA WAOMBAJI WA UDAHILI WA KOZI ZA ASTASHAHADA (CHETI) NA STASHAHADA (DIPLOMA)
KWA AWAMU YA MACHI/APRILI, 2017 KWA MWAKA WA MASOMO 2016/20...
Habari wakuu,
Ile kamati iliyoundwa na Nape Nnauye ya masaa 24 inawasilishwa leo,
baada ya kuzungumza historia ya tatizo, msemaji anasema wamejaribu
juhudi zote za kumpata mkuu wa mkoa wa Dar ikiwemo kumpigia simu na
kumpelekea taarifa ofis...
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
Ministry of Health, Community Development,
Gender, Elderly and Children
VACANCIES
The
Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children
in Tanzania has announced 500 job opportunities to Doctors.
The qualified candidates who are willing to work in Kenya are invited to apply through an e mail address maombiyakazi@moh.go.tz...
Wajumbe
wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), leo wamefanya uchaguzi wa
kumchagua rais pamoja na wajumbe wa ngazi mbalimbali za uongozi wa chama
chao.
Uchaguzi
huo umefanyika mjini Arusha ambako wanachama wa TLS wamekutana
kutekeleza ratiba hiyo pamoja na kupanga mipango mbalimbali...
Watu
wawili wamenusurika kifo baada ya gari dogo aina ya taxi kuwagonga
wananchi waliokuwa katika mazoezi asubuhi ya leo Jumamosi Machi 18,2017
mjini Iringa huku mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza akinusurika.
Ajali hiyo imetokea nje ya lango la kamanda wa polisi mkoa dakika tatu tu baada...