Advertisement
==
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Mpekuzi Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
Newer...
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amewapongeza raia wa Marekani kwa kumchagua Donald Trump kuwa rais mpya wa nchi hiyo.
Kwa mujibu wa Lowassa, Trump atakuwa rais mwenye kufanya uamuzi mgumu kwa kuwa ni shupavu na ana uwezo.
Trump
ambaye ni Rais Mteule wa Marekani, alichaguliwa...
Naibu
Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson amesema kuwa Tanzania mpya yenye
matokeo chanya kwa mwaka 2017 iwapo inawezekana iwapo kila mmoja wetu
atafanya kazi kwa bidii ili kuliletea taifa maendeleo.
Ameyasema
hayo wakati wa ibaada maalum ya mkesha wa kitaifa wa mwaka...
MFANYABIASHARA Robert Mwikwabe, maarufu kama Ndugu, anashikiliwa na
polisi kwa tuhuma za kumpiga risasi ya kichwani na kusababishia kifo
papo hapo mwanafunzi wa kidato cha tatu wa shule ya sekondari Sirari,
Masaite Mrimi(17).
Kutokana na tukio hilo, Mwikwabe ambaye pia ni mmliki Hoteli...
Mkazi
wa Temeke Mikoroshoni, Miradji Sanyero, jana alipatwa na mkasa wa
kutumbukia katika ‘chemba’ ya kupitishia maji taka yenye urefu zaidi ya
futi 12, iliyopo eneo la Bakhresa, Tazara, Barabara ya Mandela jijini
Dar es Salaam.
Alipatwa na mkasa huo akiwa katika harakati ya kujitafutia maisha,...
TAARIFA KWA UMMA
UONGOZI
wa Klabu ya Waandishi wa Habari mkoa wa Shinyanga (SPC),na baadhi ya
waandishi wa habari wilayani Kahama,wamekutana na mkuu wa wilaya ya
Kahama Fadhili Nkurlu ili kupata muafaka wa tatizo la kukamatwa na
kufikishwa mahakamani mwandishi wa habari wa...