Monday, 2 January 2017

MAGAZETI YA LEO JUMATATU JANUARY TAREHE 2.1.2017

Advertisement == Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Mpekuzi Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana ) Newer...
Share:

LOWASA APONGEZA USHINDI WA TRUMP

WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amewapongeza raia wa Marekani kwa kumchagua Donald Trump kuwa rais mpya wa nchi hiyo. Kwa mujibu wa Lowassa, Trump atakuwa rais mwenye kufanya uamuzi mgumu kwa kuwa ni shupavu na ana uwezo. Trump ambaye ni Rais Mteule wa Marekani, alichaguliwa...
Share:

Tulia: Tanzania mpya inawezekana

Naibu Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson amesema kuwa Tanzania mpya yenye matokeo chanya kwa mwaka 2017 iwapo inawezekana  iwapo kila mmoja wetu atafanya kazi kwa bidii ili kuliletea taifa maendeleo. Ameyasema hayo wakati wa ibaada maalum  ya mkesha wa kitaifa wa mwaka...
Share:

Sunday, 1 January 2017

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI JANUARY TAREHE 1.1.2017

...
Share:

MWANAFUNZI AUAWA KWA KUPIGWA RISASI NA MFANYABIASHARA TARIME

MFANYABIASHARA Robert Mwikwabe, maarufu kama Ndugu, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumpiga risasi ya kichwani na kusababishia kifo papo hapo mwanafunzi wa kidato cha tatu wa shule ya sekondari Sirari, Masaite Mrimi(17). Kutokana na tukio hilo, Mwikwabe ambaye pia ni mmliki Hoteli...
Share:

ATUMBUKIA GHAFLA KWENYE CHEMBA YA MAJI TAKA YENYE UREFU WA FUTI 12 DAR

Mkazi wa Temeke Mikoroshoni, Miradji Sanyero, jana alipatwa na mkasa wa kutumbukia katika ‘chemba’ ya kupitishia maji taka yenye urefu zaidi ya futi 12, iliyopo eneo la Bakhresa, Tazara, Barabara ya Mandela jijini Dar es Salaam. Alipatwa na mkasa huo akiwa katika harakati ya kujitafutia maisha,...
Share:

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MWANDISHI WA HABARI KUFIKISHWA MAHAKAMANI KWA AGIZO LA DC KAHAMA

  TAARIFA KWA UMMA UONGOZI wa Klabu ya Waandishi wa Habari mkoa wa Shinyanga (SPC),na baadhi ya waandishi wa habari wilayani Kahama,wamekutana na mkuu wa wilaya ya Kahama Fadhili Nkurlu ili kupata muafaka wa tatizo la kukamatwa na kufikishwa mahakamani mwandishi wa habari wa...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger