Sunday, 3 July 2016

magazeti ya leo jumamosi july tarehe 2.7.2016

...
Share:

...
Share:

Friday, 1 July 2016

MAJINA YA WANAFUNZI(DIPLOMA NA CHETI) WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA CHUO KIKUU CHA MUCCOBS-MOCU 2016/2017

 >>>>Selected Applicants to Join Non-degree Programmes For Academic Year 2016/2017<<<&l...
Share:

Mtumishi wa umma atakayekwenda kusomea 'first degree' sasa kuchukua likizo isiyo na malipo

Mtumishi atakayekwenda kusomea FIRST DEGREE anatakiwa achukue LIKIZO ISIYO NA MALIPO na hastahili kulipwa chochote na Mwajiri wake ikiwa ni pamoja na kutolipwa Mshahara kwakuwa HAYUPO KAZINI. Hakuna malipo yoyote ya UHAMISHO kwa Mtumishi atakayehamishwa umbali usiozidi kilometa 10....
Share:

MPYA: Serikali imezuia Benki kupandisha viwango vya tozo katika miamala yake

Mamlaka ya mapato Tanzania 'TRA' imetoa ufafanuzi kuhusu kodi ya ongezeko la thamani kwenye huduma za kifedha kuwa marekebisho ya sheria ya mwaka 2014 yaliyopitishwa na bunge yanayolenga kutoza kodi la ongezeko la thamani kwa kiwango cha 18% kwenye ada ambazo benki inatoza wateja wake kwenye...
Share:

PICHA :Ajali Ya basi iliyotokea Mkoani Morogoro -imeua 11

Habari iliyoripotiwa hivi punde na kituo cha ITV ni kuhusu ajali ambayo imetokea eneo la Veta Dakawa mkoani Morogoro ikihusisha magari matatu ambayo ni lori la mafuta, kontena lililobeba mchele pamoja na basi. Taarifa hiyo inasema kuwa watu 11 wamefariki dunia na wengine ambao...
Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya July 1

...
Share:

NECTA: TANGAZO LA USAJILI ACSEE 2017

TANGAZO LA USAJILI ACSEE 2017 <<<BOFYA HAPA>>&g...
Share:

Waziri Mkuu: Serikali Itatoa Waraka Juu Ya Ukusanyaji Mapato Kupitia Mawakala

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Halmashauri zitaelekezwa kwa waraka ni vyanzo vipi vitahitaji kutumia wawakala wa ukusanyaji mapato kwani siyo kila chanzo cha mapato ya Halmashauri kitakusanywa kwa ufanisi kwa kutumia au kwa kutotumia mawakala. Waziri Mkuu ametoa agizo...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger