Sunday Alamba—APFILE- In this Monday, May 5, 2014 file
photo, women attend a demonstration in Lagos calling on the government
to rescue kidnapped school girls of a government secondary school in
Chibok, Nigeria. A school mate says she cried with joy when she saw a
Boko Haram video appearing to show some of Nigeria's kidnapped Chibok
girls, with images of tearful parents recognizing their daughters, who
have not been heard from since the mass abduction by the Islamic
extremist group Boko Haram two years ago. (AP Photo/ Sunday Alamba,
File)
The embrace of the first captive returned shows that the girls could be reintegrated into society when they are rescued
Just two days after a vigilante group found one of the missing schoolgirls that had been kidnapped
more than two years ago by the militant group Boko Haram from a
government school in Chibok, Nigeria, a Nigerian military spokesman announced
on May 19 that a second schoolgirl had been rescued in a military
operation against the terror group. The recovery of the two young women
is a victory for the global #BringBackOurGirls campaign, and the first real sign that an agonizing chapter in Nigeria’s ongoing fight with Islamist militancy may yet come to an end. For parents of the remaining girls whose whereabouts are unknown, it
is reason to start hoping again. “Well, you know, it just shows that God
is working miracles, even when we start to lose faith,”Reverend Enoch
Mark, the father and adoptive father of two of the missing women, tells
TIME by telephone. “I expect to hear from my girls again.” Nigerian army spokesman Sani Usman said in an emailed statement that
Serah Luka had been among 97 women and children rescued by the military
following clashes with Boko Haram in the country’s northeast. “We are
glad to state that among those rescued is a girl believed to be one of
the Chibok Government Secondary School girls that were abducted,” Usman
said in the statement, which was obtained by Reuters.
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
1. This Invitation for Bids follows the General Procurement Notice (GPN)
for this project that appeared in UNDB online with reference number
AfDB34-01/15 of 20th January 2015, and on the African Development Bank Group’s Internet Website.
2. The United Republic of Tanzania has received Financing from the
African Development Bank in various currencies towards the cost of
Support to Technical Vocational Education and Training and Teachers
Education (STVET-TE). It is intended that part of the proceeds of this
loan will be applied to eligible payments under the contract for supply
of chemicals and Apparati for 7 zonal teachers college centers
3. The Permanent Secretary, Ministry of Education, Science, Technology
and Vocational Training (MESTV) now invites sealed bids from eligible
bidders for the supply of Chemicals and Apparati to 7 zonal teachers
college centers in seven (7) packages as follows;
All of items in the above 7 packages will be supplied under one
contract. Eligible bidders will be required to quote for all packages
and all items in each package. Bidders not quoting for all packages and
all quantities in each package their bids will be considered
non-responsive and rejected for evaluation.
4. Interested
eligible bidders may obtain further information from and inspect the
bidding documents at the office of Secretary, Ministerial Tender Board,
Ministry of Education, Science, Technology and Vocational Training,
7Magogoni Street, Old UTS Building, Room No. 7, P.O. Box 9121, 11479Dar
Es Salaam, TANZANIA Tel:+255-22-2120403 / +255-22-2120417 from 08.00 to 15.00 hours, Mondays to Fridays inclusive, except on public holidays.
5. A complete set of bidding documents may be purchased by interested
bidders on the submission of a written application to the above address
and upon payment of a non-refundable fee of TZS. 100,000.00 (Tanzania
shillings one hundred thousand only)
6. The provisions in the
Instructions to Bidders and in the General Conditions of Contract are
the provisions of the African Development Bank Standard Bidding
Document: Procurement of Goods.
7. Bids must be delivered to the above office on or before 10.30HRS on Thursday 30th
June 2016 and must be accompanied by a bid security in the amount of
Tanzania Shilling 8,500,000.00 or any other convertible equivalent
currency.
8. Bids will be opened in the presence of bidders’ representatives who choose to attend at 10.45HRS on Thursday 30th
June 2016 at the offices of Ministry of Education, Science, Technology
and Vocational Training, 7Magogoni Street, Main Building, First Floor,
Conference Room.
Permanent Secretary Ministry of Education, Science, Technology and Vocational Training, 7 Magogoni Street, P.O. Box 9121, 11479 DAR-ES-SALAAM
Android: Google's keyboard is a pretty great default, but it still lacks
some features of third-party offerings, like themes. If you're running the Android N preview, that changes with the latest update.
Google
Keyboard 5.1-which can technically be installed on versions of Android
as old as Jelly Bean-contains a couple exclusive new feature for those
on the latest Android N preview. Most notably, you can now pick from a
variety of themes, including different color schemes for the keyboard,
or selecting a custom background image. 5.1 also comes with a new set of
emoji from the Unicode 9 update. Unfortunately, neither of these
features work on older devices yet, but it's a nice glimpse into what's
coming for everyone else.
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Since human body is 50-65% water, you would probably understand why it
is so important you stay hydrated. And if had early morning, water
therapy can work wonders for your body.
Here are 5 reasons why you should be having water first thing after you wake up every morning.
You need to rehydrate
No matter how long you slept last night your body has dehydrated by
now. So your energy tank needs to fill every morning. Days should begin
with at least 300 ml of water. Before you grab the cuppa, which would
dehydrate your body, its better to refresh your thirsty body first thing
in the morning.
Flush your toxins out
Water not only nourishes your cells for better functioning, it also
flushes your toxins out. While you are sleeping, your body repairs
itself, boosts up and keep the toxins in away. Once you drink the water,
the toxins would flow out of your body gradually. And then with
breakfast, the same regime of absorbing nutrients will begin.
Metabolism fastens up
Do you know that your weight loss can get a boost if you drink water
every morning? Every time your alarm clock rings and you shut it out
with utter disgust, don't forget to grab the bottle next to you. This
morning water kick starts your metabolism & has been proven to
increase your calorie burning potential throughout the day.
Also, water fills up and curbs your appetite, so you can choose your breakfast carefully.
Boost for brain
Did you know brain works on water? Yes our brain is almost 70% of
water. If you don't water your brain every morning on time, it won't be
able to work optimally.
Cures constipation
The prime reason behind constipation is lack of water. If you begin
your day with water, it would work as a magic cure for you. Water
normalizes the bowel movement and relieves you of any irritation. And
once your constipation is cured, your acne and other skin problems would
also get resolved soon.
If you’ve followed Google’s announcements at I/O 2016,
one stand-out from the keynote was the mention of a Tensor Processing
Unit, or TPU (not to be confused with thermoplastic urethane). I was
hoping to learn more about this TPU, however Google is currently holding
any architectural details close to their chest.
More will come later this year, but for now what we know is that this
is an actual processor with an ISA of some kind. What exactly that ISA
entails isn't something Google is disclosing at this time - and I'm
curious as to whether it's even Turing complete - though in their blog
post on the TPU, Google did mention that it uses "reduced computational
precision." It’s a fair bet that unlike GPUs there is no ISA-level
support for 64 bit data types, and given the workload it’s likely that
we’re looking at 16 bit floats or fixed point values, or possibly even 8
bits.
Reaching even further, it’s possible that instructions are statically
scheduled in the TPU, although this was based on a rather general
comment about how static scheduling is more power efficient than dynamic
scheduling, which is not really a revelation in any shape or form. I
wouldn’t be entirely surprised if the TPU actually looks an awful lot
like a VLIW DSP with support for massive levels of SIMD and some twist
to make it easier to program for, especially given recent research papers and industry discussions
regarding the power efficiency and potential for DSPs in machine
learning applications. Of course, this is also just idle speculation, so
it’s entirely possible that I’m completely off the mark here, but it’ll
definitely be interesting to see exactly what architecture Google has
decided is most suited towards machine learning applications.
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
JUMLA ya wadaiwa wapya 21,721 wa mikopo ya elimu ya juu wamejitokeza kwa
lengo la kuanza kulipa madeni yao kufuatia agizo la siku 60
lililotolewa na Bodi ya Mikopo ya elimu ya juu (HESLB).
Robert Kibona Mkurungezi wa urejeshaji mikopo kutoka Bodi ya
Mikopo ya wanafunzi wa wa elimu ya juu(HESLB) ameyasema hayo wakati
akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuhusu
tathmini ya agizo la machi 14 lililotolewa na bodi hiyo kwa wanufaika
wa mikopo na waajiri ili kutimiza wajibu wao kisheria .
Amesema
jumla ya shilingi 151.5 Bilioni, zinatarajiwa kurejeshwa na wadaiwa hao
ambao walikopeshwa ili kuwawezesha kupata elimu yao ya juu katika vyuo
mbalimbali ndani na nje ya nchi kuanzia mwaka 1994.
Kibona
amesema lengo la agizo hilo lilikuwa ni kuhakikisha madeni yote
yaliyoiva yanakusanywa ili kuongeza uwezo wa kukopesha watanzania wengi
zaidi na agizo hilo limeshafikia kikomo Mei 13 mwaka huu.
Amesema
kati ya wadaiwa waliopatikana, wadaiwa 19,528 walipatikana baada ya
Bodi kuchambua taarifa za waajiriwa zilizowasilishwa na waajiri na
wadaiwa wengine wapatao 2,007 walijitokeza kwa hiari.
“Waajiriwa
wana wajibu wa kisheria wa kuwasilisha taarifa za waajiriwa wao, baadhi
yao walifanya hivyo katika siku hizo sitini na tukawabaini wadaiwa
hao,tunawapongeza waajiri kwa ushirikiano walioutoa na wanufaika wote
waliojitokeza kwa hiari”alisema Kibona.
Aidha kibona aliongeza
kuwa Bodi imeongeza siku 30 za ziada kuanzia Mei 20 mwaka huu kwa
wadaiwa waliobaki kujitokeza na uamuzi huo umetokana na tathimini
iliyoonyesha kuwa kuna idadi kubwa ya waajiri na wanufaika wanaoendelea
kujitokeza.
Kwa upande wake Cosmas Mwaisobwa, Mkurungenzi
Msaidizi Habari, Elimu na Mawasiliano wa Bodi ya Mikopo amesema kuwa
kiwango cha ukusanyaji wa madeni hivi sasa umefikia shilingi 8 bilioni
ifikapo Juni mwaka huu.
Katika kipindi cha mwaka 1994/1995 hadi
sasa, kiasi cha shilingi 2.44 Trilioni kimetolewa kwa wanufaika 378,504
wakiwemo wanafunzi wanaoendelea na masomo yao hivi sasa ambao kwa sasa
hawana wajibu wa kulipa hadi pale watakapomaliza au kusitisha masomo.
Siku chache baada ya Kituo cha Sheria na
Msaada wa Haki za Binadamu (LHRC) kuhimiza na kutoa rai kwa Watanzania
kufanya matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii, mwitikio bado umekuwa
mdogo baada ya Jeshi la Polisi Mkoani Arusha kumshikilia Mwanafunzi wa
Mwaka wa Tatu wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru, Harold Mmbando
(23) mkazi wa Arusha kwa kosa la kutoa taarifa za uchochezi dhidi ya
Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein na Mkuu wa Majeshi Tanzania Davis
Mwamunyange.
Kijana huyo kupitia Mtandao wa Kijamii
wa Facebook alisambaza ujumbe wenye maneno makali juu ya viongozi hao na
kutoa taarifa za uchochezi akimtaka Mkuu wa Majeshi kupindua nchi
kutokana na viongozi wote wa juu kuwa nje ya nchi huku kukisalia pasipo
kiongozi wa kukaimu nafasi hiyo.
“Mwamunyange pindua nchi haiwezekani wote wawe nje halafu hakuna aliyepewa mamlaka ya kukalia kile kiti” hayo
ni maneno yake mtuhumiwa yaliyonukuliwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa
Arusha Charles Mkumbo na kuongeza kuwa mtuhumiwa alitoa maneno makali
pia kwa Dk. Shein kwa kusema “Dk.
Shein akiuawa kama Karume sitashangaa wala kustuka naomba Mungu mauaji
ya kisiasa yaliyotokea Zanzibar yawe kwa viongozi wa kisasa hasa
watawala na sio wananchi wa kawaida”.
Mkumbo
amesema mtuhumiwa huyo atafikishwa mahakamani pindi upelelezi
utakapokamilika, huku akitoa rai kwa watu wote wanaotumia mitandao ya
kijamii kutumia pasipo kukiuka sheria na taratibu za kisheria .
Hili sio kosa la kwanza kuripotiwa juu
ya matumizi mabaya ya Mitandao ya Kijamii kwani Isaac Abakuk (40) mkazi
wa Olasiti jijini Arusha pia alipandishwa kizimbani Mahakama Kuu Kanda
ya Arusha baada ya kumtukana Rais Dk. Magufuli katika ukurasa wake wa
Facebook ambapo ushahidi umekamilika na kesi yake itaanza kusiklizwa
mfululizo kuanzia June 5 mwaka huu.
Hatimaye
mtangazaji wa Clouds Fm, Gardner G. Habash amemjibu aliyekuwa mkewe,
Lady Jay Dee, aliyemtaka aombe radhi ndani ya siku saba kwa kauli
aliyoitoa iliyodaiwa kuwa imelenga kumdhalilisha. Katika majibu yake
amekana madai hayo.
Siku
chache zilizopita, Gardner alionekana katika kipande cha Video
akisherehesha tukio la kumsaka mrimbwende wa chuo cha Tanzania Institute
of Accountancy (TIA) jijini Dar es Salaam, ambapo alisema kuwa “yule binti sina tatizo naye, nimeshamkojoza kwa miaka kama 15 hivi…”, kisha wimbo wa ‘Ndindindi’ wa Jay Dee ukachezwa na DJ.
Kama
ilivyokuwa kwa Lady Jay Dee aliyetoa siku saba za kuombwa radhi kupitia
kwa mwanasheria wake Amani Tenga, Gardner amejibu kupitia mwanasheria
wake Stephen Axwesso.
Katika
barua yake kwa mwanasheria wa Lady Jay Dee, mwanasheria huyo wa Gardner
amekiri kuwa ni kweli mteja wake alizungumza maneno hayo alipokuwa
katika shughuli iliyotajwa, lakini alidai kuwa hakuna sehemu aliyomtaja
mkewe huyo wa zamani.
Alisema
kuwa madai ya upande wa Lady Jay Dee hayana mashiko na alimshauri
mwanasheria huyo kupitia upya sheria inayozungumzia wanandoa
waliotalakiana ili aweze kumshauri vizuri mteja wake kuhusu suala hilo.
Nakala ya barua hiyo pia imetumwa Clouds Media Group na kwa Rais wa Wanafunzi wa Chuo cha TIA.
Watu
wasiojulikana wakiwa na pikipiki aina ya Boxer,usiku wakuamkia leo
wamemuuwa kwa kumpiga risasi kadhaa katika sehemu mbalimbali za mwili
wake Askari wa Jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani, Ally
Kinyogoli nyumbani kwake Mwandege, Mkuranga mkoani Pwani.
Baada ya kumuua, watu hao walitokomea kusikojulikana bila kuchukua kitu chochote
Kinyogoli alijizolea umaarufu katika kipindi cha redio One kila siku
asubuhi alipokua akitoa taarifa za hali za barabarani zikiwemo njia
zenye foleni kwa wakazi wa jijini.
Baada ya kuipata stori yaMbunge Viti Maalum CCM Agness Marwa ambayeni
mmoja kati ya Wabunge walioweza kuingia kwenye headline kwenye mitandao
mbalimbali nchini haswa baada ya tukio lake la kuchangia hotuba ya
Wizara ya Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo katika Bunge la 11. Na ni
baada ya kutoa kauli ya kutotaka Bunge kurushwa Live.
Nakukutanisha na hii Part Two ya mahojiano yake aliyofanya huku ishu kubwa ikiwa ni CV yake inayosambaa kwenye mitandao….
Msemaji Mkuu Wa Kambi Rasmi Ya Upinzani Bungeni Na Waziri Kivuli Wa Mambo Ya Ndani Ya Nchi, Godbless Jonathan Lema (Mb).
HOTUBA YA MSEMAJI MKUU WA
KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KATIKA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI,
MHE. GODBLESS JONATHAN LEMA (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAONI YA KAMBI
YA UPINZANI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA
HIYO, KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017
Inatolewa chini ya Kanuni ya 99 (9) ya Kanuni za Kudumu za Bunge, toleo la Aprili, 2016.
______________________
1.0 UTANGULIZI
Mheshimiwa Spika, Kwa dhati namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kunijalia
afya njema , nawashukuru pia Mke wangu Neema, Watoto wangu Allbless,
Brilliant, Terrence na Precious Mawazo, pamoja na Wazazi wangu kwani
wamekuwa msaada mkubwa sana kwangu katika shughuli zangu zote kwa maombi
na sala . Kwani kufanya kazi ya Siasa za Mabadiliko Tanzania ni kazi
ngumu na iliyojaa mateso, vitisho na hata kifo, lakini kwa ajili ya siku
zao njema za baadae, ninapaswa kuendelea na kuvumilia katika kazi hii
na wajibu huu muhimu ili kutafuta mwanga mpya wa Taifa letu katika siku
za usoni.
Mheshimiwa Spika, Namshukuru Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Mhe.
Freeman Aikael Mbowe kwa busara, ujasiri na maamuzi yake katika kuamua
mambo yenye mwelekeo chanya katika Chama chetu na Nchi yetu.
Mheshimiwa Spika, Nawapongeza pia wale wote waliojiunga na Chama chetu
na Ushirika wetu wa Ukawa katika mwaka ule wa Uchaguzi hasa katika hatua
za mwisho, nampongeza Mhe. Edward Ngoyai Lowassa na mke wake Mama
Regina Lowassa ambaye ni mfano wa kuigwa, Mhe. Fredrick Tulaway Sumaye
ambaye kwa sasa ni Mjumbe wa Kamati kuu wa CHADEMA na Mzee Kingunge
Ngombale Mwiru na wengine wengi kwa ujasiri na maamuzi mazito
waliyofikia.
Mheshimiwa Spika, nina washukuru wananchi wa jimbo la Arusha Mjini kwa
imani yao kubwa kwa Chama chetu na kwangu kwa kuweza kutupa madiwani 24
kati ya 25 na kufanikisha kuongoza Halmashauri ya Jiji la Arusha.
2.0 HALI YA USALAMA NA AMANI YA NCHI YETU
2.1 MAADILI YA FAMILIA
Mheshimiwa Spika, Taifa lolote Duniani msingi wake ni familia , hivyo
njia sahihi ya Taifa kuwa na usalama wa kweli katika Jamii ni muhimu
Serikali ikajua kuwa Jamii ni Familia, kuongelea hali ya usalama na
amani ya Nchi yetu bila kuongelea maadili ya familia zetu ni kupotosha
fikra zetu.
Mheshimiwa Spika, ukweli ni kwamba familia yenye maadili, wajibu na
inayomcha Mungu ni jamii bora itakayozalisha Raia wema wenye wajibu na
tija kwa Taifa, hatuwezi kuwa na Nchi yenye nidhamu na ustawi pasipo
kuwa na familia zenye wajibu katika malezi .
Mheshimiwa Spika, Wazazi wengi leo tukiwemo Waheshimiwa Wabunge na Jamii
ya kada mbali mbali tunafikiri kuwa tumekosa nafasi ya kukaa na familia
zetu, na hivyo tumeamua ku- out source malezi ya Watoto wetu na familia
zetu, hivyo watoto wengi wanao kuwa katika karne hii, ni watoto
wanaolelewa ama na wasaidizi wa shughuli zetu majumbani, mitandao ya
jamii, Shule, na makundi mengine tusiyoyajua, ambayo hayajui mila,
utamaduni, desturi na maadili ya Jamii zetu.
Mheshimiwa Spika, hii ni hatari kwa usalama wa Taifa, unapokuwa na Taifa
lenye familia ambazo hazina malezi mazuri ni ukweli usiopingika kuwa,
ni lazima utegemee kizazi kisichokuwa na mwelekeo wa kimaadili. Hivyo ni
muhimu Wazazi na Taifa likajua wajibu wa usalama na amani ya Nchi
unaanzia kwenye malezi bora katika ngazi ya familia .
3.0 AMANI NI TUNDA LA HAKI.
Mheshimiwa Spika, hali ya Amani katika Nchi yetu iko katika mashaka
makubwa na kwa bahati mbaya Serikali inaufahamu ukweli ila kwa sababu
inazozijua yenyewe imeamua kupuuza ukweli huo wa kushindwa kutofautisha
kati ya amani na utulivu katika nchi yetu.
Mheshimiwa Spika , Taifa hili lina utulivu unaosabishwa na hofu
inayojengwa kwa mabavu na silaha na sio amani, kuna mateso makubwa
wanayoyapata wananchi wa Taifa hili kila siku, umasikini, njaa,
ukandamizwaji, ubaguzi, uonevu, udhalilishwaji na mateso ya jinsi mbali
mbali kutokana na kukosa uongozi unaojali maisha ya Watu.
Mheshimiwa Spika, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni baada ya uchambuzi na
tathimini ya “Hali ya Usalama na Amani ya Nchi yetu” kabla wakati na
baada ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2015,
tumebaini kuwa nadharia na mwenendo wa demokrasia ya vyama vingi hapa
nchini iliwekwa kando, na badala yake sura nzima ya uchaguzi mkuu wa
Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2015, uligeuka kuwa “Military Operation”
yaani “Operesheni ya Kijeshi” kwa kisingizio cha kulinda amani.
Mheshimiwa Spika, tarehe 25 Oktoba 2015 siku ambayo wananchi walipiga
kura, Katika Jengo la Mlimani City, CCM na timu yao ya Kampeni ya Rais
John Pombe Magufuli walifanya zoezi la kuhesabu kura za mawakala wao
kutoka vituo mbalimbali nchini yaani “Parallel Voter Tabulation” bila
kubughudhiwa na Jeshi la Polisi, wakati huo huo UKAWA wakifanya zoezi
kama hilo la “Parallel Voter Tabulation” katika vituo vitatu vya ICT
ndani ya Jiji la Dar es Salaam, na vituo vyote hivyo kuvamiwa na Jeshi
la Polisi ambalo lilizuia zoezi hilo kufanyika, kuvunja na kuharibu
baadhi ya vifaa vilivyotumika kama vile laptop, kuwanyanganya simu na
laptops vijana zaidi ya 160 waliokuwa wanajitolea kufanya zoezi hilo,
kuwasweka rumande kwa muda wa siku tatu mfululizo bila kuwafungulia
mashitaka, kuwatishia kuwa wanatuhumiwa kwa makosa ya kufanya biashara
haramu ya kusafirisha binadamu (human trafficking) na kuwafungulia
mashitaka ambayo hayana msingi.
Mheshimiwa Spika, mnyonge anayelia moyoni kwa huzuni ya kuonewa ni
hatari kwa usalama wa Nchi na Dunia , vikundi vingi vya uhalifu Duniani
kwa asilimia kubwa vimesababishwa na utawala wa kibabe, uonevu na
ukandamizwaji usiovumilika na huko ndiko tunakoelekea kama Taifa.
Mheshimiwa Spika , matendo mabaya haya yaliofanyika wakati wa uchaguzi
mkuu uliopita Zanzibar na Tanzania bara ni ishara ya watawala kuelekeza
Nchi yetu katika mapigano ya sisi kwa sisi katika siku za usoni .
Mheshimiwa Spika, unapokuwa na Jamii inayoamini kuwa mfumo wa demokrasia
hauwezi kuwapa wananchi viongozi wanaowataka , maana yake ni dhahiri
kwamba unaanza kuifundisha jamii hiyo kufikiri njia mbadala ya mabadilko
katika Nchi .
Mheshimiwa Spika , kuwa na Tume ya Uchaguzi inayotiliwa mashaka na Jamii
ni hatari kwa usalama wa Nchi yetu. Ni muhimu sasa kama Taifa
kutafakari uwepo wa katiba ya wananchi na Tume Huru ya Uchaguzi
itakayorudisha imani ya Wananchi katika Uchaguzi wa Kidemokrasia.
Mheshimiwa Spika , Mungu adhihakiwi apandacho Mtu ndicho avunacho,
utulivu mnaouona Zanzibar na kwingine kokote kule kuliko na ukandamizaji
ni nafsi zinazojadili mwelekeo mpya wa maisha yao katika utawala wa
Nchi yao.
Mheshimiwa Spika , Zanzibar mmeshinda uchaguzi kwa hila na sio kwa haki,
wekeni kumbu kumbu maneno ya Kambi Rasmi ya Upinzani leo kuwa, ipo siku
Zanzibar itakuwa ni sehemu ngumu ya kuishi Binadamu kama hamtachukua
hatua sasa ya kurekebisha mlichokifanya Zanzibar na Tanzania Bara katika
uchaguzi uliopita .
Mheshimiwa Spika , kwani tunajiuliza maswali mengi , je tutarudi tena
kwenye uchaguzi wa mwaka 2020 kwa njia ya demokrasia ? au tutafakari
njia nyingine mbadala, kwani demokrasia katika Taifa hili imethibitisha
kuwa tunaweza kushinda uchaguzi lakini tukaporwa matokeo na tusitangazwe
kuwa washindi.
4.0 MAUAJI YA VIONGOZI WA KISIASA.
Mheshimiwa Spika , Viongozi wa kisiasa hasa wale wa Upinzani wamekuwa
wakiishi kwa kubaguliwa na kwa mateso makubwa sana hata wengine kuuwawa
kwa sababu ya kazi na wajibu wao katika siasa na jamii.
Mheshimiwa Spika , nikianza kueleza wale wote waliopatwa na madhara ya
vipigo , kusingiziwa kesi , na wengine kuuwawa , ninaamini kwamba hotuba
hii haitoshi isipokuwa labda tuandike vitabu.
Mheshimiwa Spika ,Rafiki na ndugu yetu mpendwa Alphonce Chemu Mawazo,
Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita aliuawa kinyama kule Katoro- Busanda
– Geita , mchana , hadharani , tena karibu na kituo cha Polisi.
Mheshimiwa Spika, sisi tulilia sana na kuhudhunika sana hata mpaka leo,
na tulipohitaji kumzika kwa heshima anayositahili kama rafiki na
Kiongozi wetu hatukuruhusiwa na Polisi , tulipigwa sana mabomu na
wengine kama Mwenyekiti wetu wa Vijana Taifa Patrobas Katambi walipewa
kesi ya kushambulia jambo ambalo ni la kutunga na uzushi.
Mheshimiwa Spika , Mwili wa Marehemu Alphonce Mawazo ulizuiwa kuagwa kwa
ubabe na Jeshi la Polisi bila sababu za msingi mpaka Mahakama ilipotoa
haki ya mwili kuagwa kule jijini kwao Busanda Geita.
Mheshimiwa Spika, Marehemu Mawazo ameacha Binti yake mzuri na mwenye
akili nyingi Precious akiwa darasa la nne, Baba yake ameuwawa si kwa
sababu alikuwa mwizi , bali aliamini katika siasa tofauti na demokrasia
kwa maslahi ya Taifa.
Mheshimiwa Spika, wakati mioyo yetu ikilia ndani kwa huzuni, kwa
dhuluma, uonevu, ukandamizwaji, vipigo hata vifo vya marafiki zetu na
ndugu zetu katika kazi zetu za siasa tunazofanya, nyie mnaona mambo haya
ni ya kawaida.
Mheshimiwa Spika, hii ni hatari kwa usalama wa Taifa, kwani subira na
uvumilivu vitakapoishiwa nguvu, kuna dalili ya mauaji ya ulipizaji
visasi kuanza na itakapofika hapo usalama na amani ya Taifa letu utakuwa
mashakani sana.
Mheshimiwa Spika, Kama Rais Magufuli anaweza kuanzisha Mahakama ya
Mafisadi ambao wapo hai, Kambi ya Upinzani Bungeni inaitaka Serikali
kutoa majawabu kwa nini mpaka dakika hii bado tume ya kimahakama ya
kuchunguza vifo tata (Judicial Commission of Inquiry) haijawahi kuundwa,
ili kutoa haki kwa Watanzania. Japo kuwa ilikuwa ni ahadi ya Waziri
Mkuu katika katika Serikali ya awamu ya nne.
5.0 MIKATABA TATA YA JESHI LA POLISI.
5.1 Mkataba tata wa Lugumi na Jeshi la Polisi.
Mheshimiwa Spika, Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali , ilihoji
utekelezaji wa mkataba wenye utata wa vifaa vya Mfumo wa Alama za Vidole
(AFIS) ulioingiwa kati ya Jeshi la Polisi Tanzania na Kampuni ya Lugumi
Enterprises.
Mheshimiwa Spika, kumetokea majibishano na malumbano mengi kwenye vyombo
vya habari na miongoni mwa wabunge wa Bunge lako tukufu, hasa pale
walipoanza kuhoji utekelezaji wa mkataba huo hasa kuhoji juu endapo
vifaa hivyo vinafanya kazi.
Mheshimiwa Spika, Kufuatia majibishano na malumbano yaliyojaa utata
ambao lazima upatiwe majibu yasiyo na shaka yoyote, hivyo basi, Kambi
Rasmi ya Upinzani Bungeni, inaitaka Serikali kutoa majibu ya moja kwa
moja bila kupepesa macho. Tunataka Maswali yafuatayo yajibiwe hapa
bungeni;
Mheshimiwa Spika,
Kwa kuwa mikataba ya serikali kwa mujibu wa sheria lazima ufuate sheria
za manunuzi na kuthibitishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) Je,
Utaratibu huu ulifuatwa?
Je Mkataba huu wa LUGUMI ENTERPRISES na JESHI LA POLISI umetekelezwa ama
haukutelezwa, na kama ulitekelezwa ni kwa kiwango gani, na ikiwa
kulikua na tatizo la utekelezaji, Je, Jeshi la Polisi lilichukua hatua
zipi?
Je, ni kampuni ngapi ambazo zinahusika na hatua za utekelezaji wa
Mkataba kati ya Lugumi Enterprises na Jeshi la Polisi, kwa kuwa kampuni
ya INFOSYS ambayo mmoja wa wamiliki wake ni Waziri wa Mambo ya ndani ya
Nchi, Mhe. Charles Kitwanga inatajwa kufunga vifaa hivyo (AFIS).
Ni kwanini C.A.G katika ukaguzi wake hakuhoji kuhusu uhalali na
ulinganishi wa thamani ya pesa ya manunuzi na faida ya vifaa hivyo?
Kampuni ya INFOSYS (inayomilikiwa na Mhe. Kitwanga) imedai kulipwa na
Jeshi la Polisi, takribani Dolla za Marekani 74,000, Je fedha hizi
Kampuni ya Mhe. Kitwanga ililipwa kwa kazi ipi iliyofanya na Jeshi la
Polisi?
Ni kwanini mpaka sasa , Rais Magufili hajachukua hatua dhidi Said
Lugumi, na aliyekuwa IGP Said Mwema / Emmanuel Nchimbi aliyekuwa Waziri
wa Mambo ya Ndani na kuwasimamisha kazi wale wote ambao bado wako kazini
juu ya mkataba tata wa Lugumi ?
Tunamtaka Rais , kutengua mara moja uteuzi wa aliyekuwa Waziri wa Mambo
ya Ndani Mathias Chikawe na kumrudisha nchini mara moja , kwani
alihudumu kama Waziri wa Mambo ya Ndani na ni imani ya Kambi rasmi kuwa
alijua mambo yote yanayoendelea ya mkataba wa Lugumi
Mheshimiwa Spika , Ni imani ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kuwa
Mhe.Waziri Charles Kitwanga, anazo taarifa za Mkataba huu na utekelezaji
wake aidha kutoka kwenye Kampuni yake ambaye yeye ni Share holder (
Mbia ) ambayo ilifunga vifaa hivi au anazo taarifa ya utekelezaji wa
Mkataba huu kutoka Jeshi la Polisi ambalo liko chini yake kwa kiwango
chote kuhusu mambo yote ya Mkataba huu.
Mheshimiwa Spika, Inspekta Jenerali wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) ,
alinukuliwa na vyombo vya habari pale alipoulizwa kuhusu sakata la
Lugumi na Mikataba yake na Jeshi la Polisi kutotekelezwa, alijibu majibu
mafupi Katika gazeti la Raia Mwema la tarehe 27/04/2016 namnukuu “siyo
kweli, watu wana ugomvi wao kibiashara, lakini nakueleza wazi kwamba,
tembelea vituo vyote tulivyokubaliana, utakuta mashine zipo. Inawezekana
zingine hazifanyi kazi kwa sababu ya kukosekana kwa internet” Mwisho wa
kunukuu.
Mheshimiwa Spika, kulingana na maswali ambayo tumeuliza hapo juu na
uchambuzi wetu, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni inashauri kama
ifuatavyo;
Mheshimiwa Spika,
Kwa vile Waziri wa Mambo ya Ndani anahusika kwa karibu katika Mkataba
huu kupitia Kampuni yake ya INFOSYS na vile vile Jeshi la Polisi liko
chini yake , je ? haoni kuwa ni busara kwa yeye kujiuzulu ili kutoa
nafasi ya Uchunguzi kuepusha mgongano wa maslahi ndani ya Jeshi la
Polisi na kwenye Kampuni ambayo yeye ni mmoja wa wamiliki ?
Mheshimiwa Spika,
kwa vile inaonekana kupitia vyombo vya habari na kauli za viongozi mbali
mbali kuwa upo uwezekano wa Polisi kuwa wametapeliwa na vifaa hivyo
havijafungwa, Kambi ya Upinzani Bungeni inautaka uongozi wote wa juu wa
Jeshi la Polisi kujiuzulu mara moja, kwani kama wao wameshindwa kujua
ukweli wa vifaa vilivyofungwa kwenye vituo vyao vya Polisi ama vipo au
havipo, watawezaje kuchunga na kulinda mali na usalama wa raia wengine?
Mheshimiwa Spika,
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, inataka majibu yote yanayohusu Mkataba
wa Lugumi na Jeshi la Polisi kuhusu utekelezaji wake uwekwe wazi hapa
bungeni na wizara husika.
5.2 Sakata la Kuuzwa kwa ardhi ya Polisi Oysterbay
Mheshimiwa Spika, Sakata la Kuuzwa kwa ardhi ya Polisi Oysterbay
limeleta mashaka makubwa ndani ya jamii na baadhi ya askari wa Jeshi la
Polisi, pamoja na Rais Magufuli kutilia mashaka jambo hili.
Mheshimiwa Spika, Kwa vile kuna ukakasi na mashaka ya rushwa, tunaliomba
bunge liazimie na kuitaka Serikali kuleta mara moja mkataba huu na
mingine yote yenye sura kama hii ndani ya Bunge lako tukufu, ili ipitiwe
na kufanyiwa tathimini endapo mikataba hiyo ilifuata utaratibu na ina
tija kwa Taifa na hii iwe ni kwa mikataba yote iliyofanyika wakati wa
Serikali ya awamu ya nne ya Mh Jakaya Kikwete , pamoja na ule wa ununuzi
wa boti
( Mv Dar es salaam ) uliofanywa wakati Rais wa sasa Mh Dr Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi.
Mheshimiwa Spika samba samba na hilo Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni
inaitaka pia Serikali kuleta mikataba ya uuzwaji wa Nyumba za Serikali
kazi ambayo aliisimamia Rais Magufuli mwenyewe wakati huo .
Mheshimiwa Spika , kwa vile Rais wa sasa alihusika kuuza nyumba za
Serikali ni imani yetu kuwa Kambi rasmi ya Upinzani itapata ushirikiano
wa kutosha juu ya utata wa mikataba hii tete ya uuzaji wa nyumba hizi.
6.0 RUSHWA, SURA YA SERIKALI NA BUNGE TISHIO LA HALI YA USALAMA.
6.1 Rushwa na Bunge kutumika kuwalinda wahalifu nchini
Mheshimiwa Spika , Mh Andrew Chenge (MB) ametuhumiwa na imethibitika
hapa Bungeni na katika taasisi za Uchunguzi za Kimataifa (SFO) kuwa
alihusika kwa karibu na kwa ufanisi katika sakata la kashfa ya ununuzi
wa rada ya Taifa.
Mheshimiwa Spika , Mwandishi Andrew Feinstein , Colonel .U.S. Army
(retired) katika Kitabu chake “ THE SHADOW WORLD – Inside the Global
Arms Trade, katika ukurasa wa 188-196, amefanya uchambuzi wa kina jinsi
Andrew Chenge alivyofanikiwa kukwapua fedha za Wananchi kiasi cha pesa
za Kimarekani dolari 1.2 milioni kupitia Kampuni yake ya Franton
Investment Ltd Jersey na Kampuni hii ya Andrew Chenge ikampa aliyekuwa
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Dr. Idrissa Rashid pesa za Kimarekani
dolari $600,000 kupitia Kampuni ya Gavana huyu inayojulikana kwa jina la
Langley Investment Ltd.
Mheshimiwa Spika, Lakini kwenye utawala huu wa utumbuaji majipu, Andrew
Chenge ni Mkiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mkiti wa
Kamati ya sheria ndogo, jambo hili lina sura ya dharau na fedhea kwa
Bunge lako tukufu na kwa jamii.
Mheshimiwa Spika, Wako wengi wenye sura hizi za Mh Chenge na wengine ni
Mawaziri ambao wamekuwa na kashfa mbali mbali kwenye Serikali iliyopita
lakini wameonekana kwenye madaraka tena katika Serikali hii ya awamu ya
tano inayoongozwa na Rais aneyeamini katika utumbuaji majipu , wakati
kuna majipu mengine asiyoweza kuyatumbua ndani ya baraza la Mawaziri.
Mheshimiwa Spika , Taifa linapokuwa na huzuni juu ya utawala unaopuuza
na kudharau Wananchi , kwa vyovyote vile hali ya amani na usalama
inakuwa mashakani na kuwatia moyo watumishi wengine wa Umma katika
masuala yanayohusu ufisadi, rushwa na ubadhirifu kwamba sio mambo
mabaya. Ndio maana imekuwa ni vigumu kukemea rushwa katika ngazi
mbalimbali za utawala wa nchi hii ikiwemo Jeshi la Polisi.
6.2 Kuingiliwa kwa Uhuru wa Bunge na Mhimili wa Dola
Mheshimiwa Spika , tishio lingine la hali ya usalama Nchini ni Serikali
kuingilia Uhuru wa Bunge , ni ajabu kubwa kwamba chombo kinachopanga
matumizi ya fedha za Serikali ni Bunge , lakini kwa wakati huu tumeona
Serikali ikiondoa matangazo ya moja kwa moja ya Bunge kwa kisingizio cha
kubana matumizi , kazi ambayo hata hivyo kama ingekuwa ni hoja basi
jambo hilo lingefanywa na Bunge na sio Serikali.
Mheshimiwa Spika, Wananchi kupata habari na kujua wanachojadili wabunge
wao ni hitaji la lazima la Kikatiba na sio hisani ya Serikali, malumbano
yetu dhidi ya hoja mbali mbali ndani ya Bunge yalikuwa ni muhimu kwa
ustawi wa usalama wa Nchi yetu.
Mheshimiwa Spika, Wananchi , walipotuona kupitia vyombo vya habari mbali
mbali , tukilumbana juu ya maisha na maendeleo yao , jambo hili
lilikuwa linasidia kupunguza tension na uchungu kwa jamii kwani walikuwa
wanashuhudia tukipigana na kulumbana juu ya ustawi wa maisha yao ,
walipata matumaini waliposikia majibu ya Serikali hata kama yalikuwa ni
uongo.
Mheshimiwa Spika , Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni inasikitishwa na
jinsi Bunge letu linavyoendelea kukosa nguvu na kuingiliwa na mihimili
mingine ya dola kwa kuelekezwa ni kipi cha kufanywa na kipi si cha
kufanywa. Ni wazi sasa bila chenga kuwa Bunge hili limeingiliwa na dola
na sasa ni Bunge kibogoyo jambo linalohatarisha usalama na amani ya
nchi, kwa kuwa Dola sasa inaweza kufanya chochote na isionekane kukemewa
na Bunge ambalo kazi yake ni kuisimamia Serikali, badala yake sasa hivi
Serikali ndio inalisimamia Bunge.
Mheshimiwa Spika , kisingizio cha gharama kubwa za kurusha matangazo ni
uongo mkubwa ambao hata shetani anaushangaa, kwani hata vyombo vingine
vya habari vilivyokuwa vinarusha matangazo ya “live” kwa gharama zao
navyo vimezuiwa sio na Serikali bali na uongozi wa Bunge uliodhibitiwa
na Serikali ya Dkt. Magufuli.
6.3 Tabia ya Rais Magufuli na Usalama wa Nchi.
Mheshimiwa Spika, wakati Taifa letu linapita kwenye changamoto nyingi
Kama vile ukosefu wa sukari, umeme, umasikini, mizigo kupungua bandarini
, madini ya Tanzanite kuanguka bei na ubadhirifu uliokithiri katika
mfumo wa utawala. Rais mwenyewe ameonekana kufuatilia na kufanyia kazi
habari za kwenye mitandao ya kijamii.
Kwa tabia hii ya Rais Magufuli, kama Taifa tunahitaji maombi haraka,
kwani Rais ataumiza watu wengi sana kwa kufuatilia maneno ya mitaani kwa
njia mbali mbali , kwani kwa madaraka aliyonayo Rais bila shaka
ataumiza watu wengi. Mfano, Sakata la Mke wa Waziri Mahiga na Trafiki
barabarani. Ni jambo dogo sana na la karaha kuona linazingatiwa na Rais .
Mheshimiwa Spika, haikuwa busara Rais kukemea familia ya Waziri wake
mbele ya vyombo vya habari na kuagiza askari huyu kupandishwa cheo bila
kujua historia ya utumishi wake .
Mheshimiwa Spika , kwa nini mambo haya ni muhimu kuyasema na kwa nini ni
hatarishi kwa usalama wa Nchi, tulipoonza vikao vya Kamati za Bunge,
vyombo vya habari vilimnukuu Rais akielezea mpango wake wa kuanza
kurekodi Mawaziri wake wanaolalamika juu ya staili yake ya uongozi. Kwa
hiyo leo ukienda kwenye ofisi za Mawaziri, unaona, hofu, mashaka,
kutokujiamini, mambo yatakayo punguza ufanisi, ubunifu na uhuru katika
utendaji wao, jambo linalopeleka Taifa kuzorota katika Nyanja zote kwa
utumishi wa umma jambo ambalo ni hatari kwa Taifa.
7.0 UGOMVI KATI YA WAKULIMA NA WAFUGAJI
Mheshimiwa Spika, Ugomvi kati ya Wakulima na Wafugaji ni tatizo kubwa na
ambalo lisipotatuliwa kwa makini na haraka , Nchi yetu itaendelea
kushuhudia mauaji kwa raia wake .
Mheshimiwa Spika, Kambi rasmi ya Upinzani inashauri Serikali kutenga
mara moja na kupima maeneo kwa ajili ya wakulima na wafugaji , tatizo
hili haliwezi kutatuliwa kwa bunduki na mabomu ya machozi isipokuwa
mipango maalumu ya upimaji ardhi na ushauri wa kitalamu juu ya ufugaji
wa kisasa na ukulima wa kisasa unaweza kuwa njia ya kupunguza tatizo na
kuliondoa kabisa.
Mheshimiwa Spika, Kambi rasmi ya upinzani inaishauri Serikali kuanzisha
mfumo wa mauzo ya wanyama kwa kuzingatia vipimo vya uzito na kuuza kwa
mizani yaani kilogramu na si kuuza kwa kutazama mifugo kwa macho na
kupanga bei. Kwa kufanya hivyo wafugaji watajali zaidi na kuona tija ya
kuwa na mifugo michache na kuwanenepesha kuliko kuwa na mifugo mingi
isiyo na afya.
8.0 HALI YA UHALIFU NCHINI
Mheshimiwa Spika, Hali ya Uhalifu nchini bado ni mbaya na kasi ya
kupunguza uhalifu hairidhishi, taarifa za Takwimu za Hali ya Uhalifu
Januari-Juni, 2015 zilizotolewa na ofisi ya Taifa ya Takwimu kwa
kushirikiana na Jeshi la Polisi zimeonesha kuwa kuna ongezeko la
asilimia 9.8 ya makosa ya jinai hapa nchini. Taarifa hiyo imeonesha kuwa
matukio madogo ya makosa ya usalama barabarani yakiongezeka kwa
asilimia 16.4 kutoka mwezi Januari — Juni, 2014 mpaka kufikia Januari —
Juni, 2015.
Mheshimiwa Spika, ikumbukwe kuwa mara zote ndani ya muda wote wa Bunge
la 10, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ilikuwa ikiishauri Serikali juu
ya hatua mbalimbali za kuchukua dhidi ya matukio ya ajali za barabarani
ambazo zinagharimu maisha ya wananchi wa Taifa hili ambao ni nguvu kazi
inayopotea, na kuwaacha vijana wengi wakipoteza wazazi wao na kubaki
mayatima. Taarifa za Takwimu za Hali ya Uhalifu Januari-Juni, 2015
zimebainisha kuwa “Jumla ya watu 1,849 walifariki kutokana na ajali za
barabarani ikilinganishwa na watu 1,777 waliofariki Januari hadi Juni,
2014. Hili ni ongezeko wa watu 72 sawa na asilimia 4.1”.
Mheshimiwa Spika, Ubunifu pekee wa Serikali katika Jeshi la Polisi
ilikuwa na kuwapatia mashine za EFD ili wasiendelee kufanya kazi ya
kuhakikisha usalama barabarani na badala yake “kudandia” kazi za Mamlaka
ya Mapato Tanzania (TRA) ya kukusanya mapato. Ni aibu kubwa sana kwa
Jeshi letu la polisi kujisifia kwa ukusanyaji wa mapato kutokana na
makosa ya barabarani badala ya kutoa taarifa za namna gani Jeshi hilo
limepunguza uhalifu wa makosa ya barabarani. Kamanda wa Polisi Kanda
Maalum ya Dar es Salaam, Kamishina Simon Sirro alikaririwa na vyombo vya
habari akidai kuwa “Kikosi cha usalama barabarani kanda ya Dar es
Salaam kimekusanya kiasi cha shilingi bilioni 1.9 kama faini za makosa
ya barabarani kuanzia Februari 1 hadi 22, mwaka huu”
Mheshimiwa Spika, Itoshe tu kusema kuwa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni
haijaridhishwa na mbinu na weledi hafifu unaotumiwa na Serikali ndani ya
Jeshi la Polisi kupambana na uhalifu hapa nchini. Taarifa ya Hali ya
UhalifuJanuari-Decemba, 2014 imeonesha ongezeko kubwa sana, (substantial
increase) ya uhalifu nchini kwa asilimia 32.5, kutoka makosa milioni
1.2 mpaka makosa milioni 1.6.
Mheshimiwa Spika, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni inaishauri Serikali
kuzingatia ushauri wote uliotolewa na Kambi kwa zaidi ya miaka 10
iliyopita. Aidha, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni inaitaka Serikali itoe
maelezo ya kina juu ya mpango mkakati wa kupunguza kiwango cha uhalifu
hapa nchini na kueleza ni kwa kiwango gani wanafanya kazi ya Usalama wa
Raia na Mali zao.
9.0 UKOMESHAJI BIASHARA HARAMU YA DAWA ZA KULEVYA NCHINI
Mheshimiwa Spika, Ifahamike kuwa kwa zaidi ya muongo mmoja uliopita
Kambi Ramsi ya Upinzani Bungeni, imekuwa ikiishauri Serikali juu ya
hatua za kuchukua katika kukomesha matumizi na biashara haramu ya dawa
za kulevya nchini.
Mheshimiwa Spika , ushauri wetu juu ya jambo hili nikuitaka Serikali
ikatafute ushauri wetu wote wa huko nyuma katika hansard na kuuzingatia
mara moja , kwa ajili ya kuokoa Taifa letu.
10.0 HALI ZA MAHABUSU NA WAFUNGWA MAGEREZANI
10.1 Kuondoa adhabu ya Kifo iliyo kinyume na Katiba ya Tanzania
Mheshimiwa Spika, Mwaka 2015, inakaridiwa kuwa watu 472 walipatikana na
hatia na kuhukumiwa kunyongwa hadi kufa, kati ya hao wanaume ni 452 na
wanawake 20, ambapo wafungwa 228 wanasubiria kunyongwa hadi wafe kwa
mujibu wa sheria, na wafungwa 244 wanasubiria kusikilizwa kwa rufaa zao,
hii ni kwa mujibu wa Ripoti ya Haki za Binadamu (LHRC, 2015).
Mheshimiwa Spika, adhabu ya kifo inakiuka misingi ya Kikatiba, ibara ya
14 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inasema kuwa “Kila mtu
anayo Haki ya Kuishi na kupata kutoka katika Jamii hifadhi ya maisha
yake kwa mujibu wa katiba hii” Lakini pia hajaanza kutumiza masharti ya
katiba yetu kwa kuwa bado hukumu za vifo zinatolewa. Hata hivyo bado
Serikali ya Tanzania haijatia saini makubaliano ya sehemu ya pili ya
mkataba wa International Convention on Civil and Political Rights wa
mwaka 1966, ambapo Second Optional Protocol to the International
Convention on Civil and Political Rights, ya mwaka 1989 ambayo inataka
nchi wanachama kukomesha adhabu ya kifo.
Mheshimiwa Spika, inaishauri Serikali kusaini na kuridhia mkataba wa
Second Optional Protocol of the International Covenant on Civil and
Political Rights, ili kuilinda katiba yetu na kutimiza matakwa ya
kikatiba ya kulinda uhai wa kila Mtanzania.
10.2 MSONGAMANO WA MAHABUSU NA WAFUNGWA MAGEREZANI.
Mheshimiwa Spika, Kwa zaidi ya muongo mmoja uliopita, Kambi Rasmi ya
Upinzani Bungeni imekuwa ikiitaka Serikali kuchukua hatua ya kupunguza
msongamano wa wafungwa na mahabusu Magerezaji sambamba na kuboresha
lishe na huduma za afya kwa Wafungwa na Mahabusu.
Mheshimiwa Spika, Mwaka wa fedha 2015/2016, aliyekuwa Waziri wa mambo ya
Ndani wakati huo, Mhe. Mathias Chikawe, alisema kuwa uwezo wa magereza
yetu ni kubeba wafungwa 27,653, wakati mpaka kufikia mwaka 2015 mwezi
machi magereza ilikuwa na wafungwa 33,027.
Mheshimiwa Spika, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni haijaridhishwa na
hatua ambazo Serikali ilizichukua kwa mwaka wa fedha uliopita katika
harakati za kupunguza msongamano wa magereza. Hatua za Parole, Msamaha
wa Rais na Kifungo cha nje bado hazitoshi kwa kuwa hatua hizo zinalenga
kupunguza msongamano bila kuangalia hali ya mazingira ya mahabusu na
wafungwa wanaobakia ndani ya magereza. Tuliendelea kuisisitiza Serikali
kuwa huduma za afya, uchakavu wa miundombinu ya vyoo na mabafu, na
ufinyu wa vyumba vya kulala, ukosefu wa matandiko na magodoro pamoja na
lishe kwa mahabusu na wafungwa zimeendelea kuwa duni.
Mheshimiwa Spika, Mwaka wa fedha 2015/2016, Kambi Rasmi ya Upinzani
Bungeni iliishauri Serikali kuwa ili kupunguza msongamano wa mahabusu
magerezani iandae utaratibu kwa Jeshi la Polisi kuwa kabla
halijawakamata watu na kuwaweka mahabusu basi uchunguzi wa kina
ufanyike, tofauti na sasa ambapo mtu anayehisiwa tu kuwa ni mhalifu
anaweza kuwekwa mahabusu na kukaa huko hadi miaka zaidi ya mitano na
baadae kuambiwa kuwa hana hatia, huu ni uvunjaji wa haki za Binadamu.
Mheshimiwa Spika , hata hivyo sababu nyingine mojawapo inayofanya
mahabusu kujaa katika magereza zetu , zinachangiwa na matumizi mabaya ya
Sheria ya mwenendo wa Makosa ya Jinai kifungu cha 91 ambacho kinampa
mamlaka Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali (DPP) kuondoa Shauri la
jinai Mahakamani lakini kuondolewa kwa shauri hilo hakuzuii mamlaka
kumshtaki tena kwa kosa lile lile mtuhumiwa.
Mheshimiwa Spika, Jeshi la Polisi wamekuwa wakitumia vibaya masharti ya
kifungu hiki ambapo mara baada ya mtuhumiwa/watuhumiwa kuachiwa wamekuwa
wakikamatwa tena na Jeshi la Polisi mara nyingi ikiwa katika maeneo ya
Mahakama.
Mheshimiwa Spika, kambi rasmi ya upinzani Bungeni inashauri mbali na
uwepo wa parole, na vifungo vya nje ni vema magereza zikaimarisha na
kuwa kitengo maalumu cha wafungwa watakao fanya kazi za huduma za jamii
na Kitengo cha mazingira na upandaji miti hasa kwa kifungo chini ya
mwaka mmoja au na zaidi ili kunusuru uharibifu wa mazingira
unaohatarisha Taifa letu kuwa jangwa . Kazi yao kubwa iwe kuhudumia
idadi miti kwa kuipanda na kuitunza adhabu zao ziwe na manufaa kwa jamii
na sura ya Taifa.
11.0 HATIMA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA
Mheshimiwa Spika, Katika hotuba yangu ya mwaka wa fedha 2015/16
nikiwasilisha maoni ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, niiliitaka
Serikali kutoa ukomo wa muda, ambapo kila raia wa Tanzania atapatiwa
Kitambulisho chake cha Taifa na kuainisha gharama zilizotumika katika
mchakato mzima wa kutengeneza vitambulisho vya Taifa.
Mheshimiwa Spika, Rais Magufuli alitengua uteuzi wa Bwana Dickson E.
MAIMU, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa kuanzia,
tarehe 25 Januari, 2016 kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ikulu
tarehe 26 Januari 2016. Katika taarifa ile ilibainika kuwa “Taarifa
zilizomfikia Rais zinaonesha kuwa NIDA hadi sasa imetumia Sh.179.6
bilioni.”
Mheshimiwa Spika, Katika taarifa ile, Rais aliagiza Mamlaka ya Udhibiti
wa Manunuzi ya Umma (PPRA) wafanye ukaguzi maalum wa manunuzi yote
yaliyofanywa na NIDA. Sasa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, inaitaka
Serikali kuliambia bunge hili tukufu kuwa ni lini inatarajia kuileta
bungeni ripoti ya Ukaguzi Maalumu ulioagizwa kufanyika na Rais Magufuli,
ili bunge sasa liweze kutimiza majukumu yake yaliyoanishwa katika
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibara ya 63 ibara ndogo ya (2)
Mheshimiwa Spika, Ripoti hiyo ya uchunguzi maalumu wa NIDA
itakapowasilishwa ndani ya Bunge hili, wabunge kwa niaba ya wananchi
tutaweza kufahamu mbivu na mbichi na kujua hatma ya vitambulisho vya
Taifa, hatma ambayo mpaka sasa Serikali imekosa majibu yake.
Mheshimiwa Spika, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni pamoja na masuala
mengine kuhusu ushauri tuliotoa katika vitambulisho vya Taifa, bado
tunaona kuwa mfumo mzima wa kuwatambua Watanzania upo “shaghala bagara”
kutokana na kuwepo kwa vitambulisho vya aina nyingi kama vile Leseni za
Udereva na Kadi ya Mpiga kura, hivyo kulifanya Taifa kuingia hasara
kubwa ya kutengeneza vitambulisho kwa watu wale wale. Huku ni kukosa
ubunifu.
Mheshimiwa Spika, Gazeti la Mtanzania la tarehe 2 Machi 2016, liliripoti
kuwa “mchakato wa utoaji wa vitambulisho vya Taifa unatarajiwa kuanza
upya, kutokana na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), kukiri
kuwapo kwa upungufu katika vitambulisho vya sasa.” Huu ni udhaifu mkubwa
wa Serikali kukosa ubunifu, kitendo kinachopeleka hasara kwa Taifa bila
watu kuwajibishwa.
Mheshimiwa Spika, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni inaitaka Serikali
kutoa maelezo ya kina kuwa ni kwa sababu gani ilifanya uzembe mpaka
vitambulisho vya Taifa vikaanza kutolewa huku kukiwa na udhaifu
uliobainika baada ya zoezi la kuvigawa kuanza.
Mheshimiwa Spika, Aidha, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni tunaishauri
Serikali kuunganisha mfumo wa vitambulisho vya Taifa na vitambulisho vya
aina nyingine kama vile leseni za udereva, Utambulisho wa Namba ya
Mlipa Kodi, Vitambulisho vya Bima za Afya, Hati za Kusafiria na Kadi za
Mpiga kura ili kuwa na “National Database” ambayo inajumuisha taarifa
zote za Watanzania, jambo ambalo litaepusha upotevu wa kumbukumbu na
kurahisisha michakato ya kutoza kodi na kuongeza ufanisi katika
ufuatiliaji wa wapi wananchi wapo, wanafanya nini na wanaweza vipi
kuisaida Serikali kutimiza majukumu yake kama vile ulipaji kodi kwa
wakati na ufuatiliaji wa ulinzi wa Raia wetu wanasafiri nje ya nchi.
11.1 UKIUKWAJI WA TARATIBU ZA KUSITISHA AJIRA ZA WAFANYAKAZI 597 WA NIDA
Mheshimiwa Spika, Tarehe 7 Machi 2016, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka
ya Vitambulisho vya Taifa alisitisha ajira za vijana 597 waliokuwa
wanafanya kazi kwa mkataba, bila kufuata taratibu za kusitisha ajira.
Watumishi hao hawadai kurudishwa kazini, lakini wanachodai ni kulipwa
stahiki zao kwa mujibu wa mkataba wao wa ajira.
Mheshimiwa Spika, waliokuwa watumishi wa NIDA waliositishiwa mikataba
yao ya ajira wana madai ya zaidi ya bilioni 2.3. Kaimu Mkurugenzi Mkuu
wa NIDA alitoa tangazo tarehe 11 April 2016, katika gazeti la Mwananchi
ukurasa wa 16 kuwa NIDA itaanza kufanya malipo ya madai yao kuanzia
Jumatano tarehe 13 April 2016 saa 3.00 asubuhi, lakini Mheshimiwa Spika,
Taarifa zilizoifikia Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ni kuwa mpaka
dakika hii ninavyoongea hakuna fedha zozote zilizolipwa kwa waliokuwa
waajiriwa hao 597 wa NIDA waliositishiwa ajira zao.
Mheshimiwa Spika, huu ni ukiukwaji wa haki za binadamu wa kumfukuza
mtumishi kinyume cha sheria kiholela na hatimaye kutomlipa stahiki zake
ipasavyo jambo ambalo ni kinyume na misingi ya utawala bora.
Mheshimiwa Spika, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ina taarifa na
imebaini kuwa mamlaka hiyo haikuwahi kupeleka makato ya wafanyakazi
katika Mfuko wa Kijamii wa GEPF kuanzia mwezi Julai 2015 mpaka tarehe 7
Machi 2016 ambapo ajira zilisitishwa.
Mheshimiwa Spika, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni inaitaka Serikali
kulieleza bunge hili sababu za Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NIDA kushindwa
kulipa madai ya wafanyakazi wapatao 597 walioachishwa kazi tangu mwezi
Disemba 2015 ambapo hawakulipwa stahiki zao kwa miezi mitatu mfululizo
tangu mpaka ilipofika tarehe 7 Machi 2016 ambapo ajira zao zilisitishwa
rasmi.
12.0 UMUHIMU WA JESHI LA POLISI KATIKA KUBORESHA MAISHA YAO.
Mheshimiwa Spika, Serikali yoyote makini Duniani inaweza kujenga ustawi
wa maisha ya raia wake kwa kutambua umuhimu wa Ulinzi na Usalama katika
Taifa. Lakini kuhitaji ulinzi kwa walinzi ambao huwapi ulinzi wa maisha
yao kama mishahara bora na masilahi mengine ni sawa na kumeza dawa ya
tumbo kwa kutumia konyagi.
Mheshimiwa Spika, Watumishi wote wa umma wanahitaji ungalifu bora kutoka
Serikalini , lakini watumishi wetu wanaolinda amani na usalama wa raia
wanahitaji upendeleo kwa kiwango fulani zaidi , kwani kazi ya ulinzi ni
kujitoa maisha kwa ajili ya wengine .
Mheshimiwa Spika, mishahara ya Polisi na posho zao zote bado ni ni ndogo
sana , na ndio maana kuondoa rushwa ndani ya jeshi la Polisi kwa
kuendesha warsha , semina elekezi , kutoa miongozo , na vipeperushi ni
jambo ambalo haliwezi kufanikiwa , katika sala ambayo Bwana Yesu
aliwafundisha wanafunzi wake, kuna mahali sala hiyo inasema na nukuu “
USITUTIE MAJARIBUNI BALI UTUOKOE NA YULE MWOVU “
Mheshimiwa Spika , rushwa ndani ya Jeshi la Polisi imejengwa na utawala
wa Serikali ambao umeshindwa kujali masilahi bora ya Walinzi wetu hawa
ikiwa ni pamoja na Jeshi la Magereza , kwa hiyo Serikali ndiyo
inayowatia Askari wetu majaribuni katika suala la kuomba na kupokea
rushwa kwa kuwalipa fedha kidogo sana kwa ajili ya maisha yao .
Mheshimiwa Spika, hakuna Polisi wala Askari magereza anayeweza kujenga
nyumba kwa mshahara na marupurupu anayopokea , wanaishi maisha magumu na
ya taabu sana , ndio maana wakiona kosa wanaona fedha badala ya
uwajibikaji na na kutenda haki.
Mheshimiwa Spika, Serikali inapaswa kuwalipa walinzi wetu hawa vizuri
ili kufanya kazi ya Jeshi la Polisi au Jeshi la Magereza / Zima moto na
Uokoaji iwe ni kazi ya fahari kuanzia kwenye familia kama zilivyo kazi
nyingine .
12.1 JESHI LA ZIMA MOTO NA UOKOAJI
Mheshimiwa Spika, Katika hotuba ya Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani
Bungeni wakati wa Bajeti ya mwaka wa fedha 2011/2012 pamoja na mambo
mengine alipendekeza kuwa kutokana na kuongezeka kwa majengo makubwa
nchini ambayo ni chanzo cha mapato serikali ianzishe mamlaka ya
kuyasimamia (Real Estate Regulatory Authority) kwa ajili ya kuhakikisha
kuwa inapata mapato na kusimamia uzingatiaji wa miundo mbinu na kanuni
za kiusalama katika ujenzi.
Mheshimiwa Spika, Aidha pamoja na masuala ya mapato tunaitaka serikali
katika ihakikishe kuwa inatoa maelekezo kwa taasisi na watu binafsi
ambao wanamiliki majengo au wanatarajia kuwa na majengo kuhakikisha kuwa
wanajenga na kuweka visima kwa ajili ya maji ambayo yatatumika kama
kutakuwa na janga la moto katika majengo yao au maeneo yao Hii itasaidia
sana kuondoa tatizo la magari ya zima moto kuishiwa maji kila
linapotokea janga la moto na hili ni kwa mujibu wa sheria ni bora sheria
hii ikazingatiwa na kufuatiliwa.
Mheshimiwa Spika , Kambi rasmi ya upinzani Bungeni inalitaka na
kulishauri Jeshi la Uokoaji na zimamoto kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani
kuzipa mamlaka Halmashauri za Miji , Manispaa na Majiji uwezo wa
kusimamia kikamilifu maeneo ya makazi na kuhakikisha kuwa kila nyumba
inayoishi binadamu au anakofanyia kazi inakuwa na uwezo na miundo mbinu
ya kuzima moto na kila nyumba iwe ni lazima kuwa na Mtungi wa kuzimia
moto ( Fire extinguisher ) na kazi hizi ziachwe kwa Halmashauri za Miji ,
Manispaa , Majiji husika kwa kushirikiana na Jeshi la zima moto na
uokoaji
Mheshimiwa Spika, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni katika kipindi chote
cha Bunge la 10, tumekuwa tukiishauri Serikali kufanya maboresho makubwa
ya Jeshi la Zima Mto na Uokoaji kwa kulipangia bajeti ya kutosha kwa
ajili ya miradi ya Maendeleo ili jeshi hilo liendeshwe kisasa zaidi
katika kukabiliana na majanga ya ajali za moto na matukio ya uokoaji.
Mheshimiwa Spika, Hata hizo bilioni 53 zilizoombwa na Jeshi la Zima Moto
na Uokoaji inaonesha kiasi gani Wizara yenyewe na Jeshi kwa ujumla
halijatambua umuhimu wa kitengo hiki. Jeshi la Zima moto linahitaji
Helkopta za kisasa zenye uwezo wa kuzima moto. Jeshi hili la zima moto
linahitaji kuwa na uwezo wa kuzima moto kwenye misitu mikubwa kunapokuwa
na janga la moto, milima inapopata majanga ya moto kama mlima
Kilimanjaro, Jeshi hili linapaswa kuwa na uwezo wa kuzima moto, vile
vile Jeshi linatakiwa kuwa na uwezo wa kuzima moto katika maeneo ya nchi
ambayo magari hayawezi kufika kwa urahisi.
Mheshimiwa Spika, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni inaona umuhimu wa
Jeshi hili utathibitika baada ya Chama Cha Mapinduzi kuondoka
madarakani, ili uongozi wenye maono mapana uje na kutazama Jeshi hili
katika sura na mfano tulioeleza hapo juu. Bilioni 53 walizoomba inapaswa
kuwa bajeti ya Jeshi la Zima moto ya kufanya dhifa ya nyama choma yaani
(barbecue)
13.0 UHAMIAJI HARAMU NA USALAMA KATIKA MIPAKA YA NCHI
Mheshimiwa Spika, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni imeendelea kuishauri
Serikali kuhusu usalama wa mipaka ya nchi yetu kuwa ipo hatarini dhidi
ya matukio ya uhalifu wa kimataifa na matukio ya ugaidi, kutokana na
ongezeko la wahamiaji haramu ambao wanaingia nchini kupitia mipaka yetu
na wanakamatwa wakiwa ndani ya nchi tayari wakisafirishwa kwenda kwenye
mataifa mengine kusini mwa jangwa la Sahara.
Mheshimiwa Spika, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni tunaishauri Serikali
kutumia mbinu za kisasa ili kuzuia wahamiaji haramu wanaotumia nchi yetu
kama “transit gate” ya kuhamia kwenye mataifa mengine hasa kutoka
mataifa ya Kaskazini mwa Afrika kwenda kusini mwaka bara la Afrika.
Mheshimiwa Spika , vile vile Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni inaitaka
Serikali iangalie namna ya kuanzisha ofisi za uhamiaji kwenye maeneo
muhimu yanayotumika kama matobo kwa wahamiaji haramu .
14.0 HITIMISHO
Mheshimiwa Spika, Asilimia zaidi ya 50% ya wabunge waliomo ndani ya
Bunge hili wengi ni wapya maana yake ni kwamba, michakato ya kura za
maoni katika vyama vya siasa ni sehemu ya kubadilisha mwanasiasa na pia
mfumo wa demokrasia unatoa uhuru wa jinsi hiyo katika uchaguzi.
Mheshimiwa Spika, Martin Niemoller alikua mchungaji wakati wa utawala wa
Kinazi Ujerumani akiwa mstari wa mbele kupinga utawala wa mabavu ,
alichukuliwa mateka katika kambi (concentration camp) na alisema maneno
yafuatayo;
“First they came for the Socialists, and I did not speak out— Because I was not a Socialist.
Then they came for the Trade Unionists, and I did not speak out— Because I was not a Trade Unionist.
Then they came for the Jews, and I did not speak out— Because I was not a Jew.
Then they came for me—and there was no one left to speak for me.”
Mheshimiwa Spika, ni muhimu wabunge, viongozi wa vyama na serikali na
watu wote wajue tunapoishauri Serikali juu ya sheria na sera za nchi ni
busara na upendo wa hali ya juu kujua kwamba uamuzi tunaoufanya humu
ndani leo ni kwa faida na maslahi ya watoto wetu na watoto wa watoto
wetu. Kwa bahati mbaya itikadi za vyama vyetu zimenunua utashi, ukweli
na utu wetu.
Mheshimiwa Spika, Rais Magufuli ana jambo muhimu la kufanya ili
athibitishe anachokiita huruma yake kwa masikini nalo ni kuwapa masikini
katiba yao (Rasimu ya Warioba) iliyobeba maoni waliyoyatoa katika Tume
ya Warioba kabla ya kuchakachuliwa na Bunge la Katiba.
Mheshimiwa Spika, ni namma moja tu inaweza kumsaidia Rais kukabiliana na
ufisadi , ubadhirifu wa mali za umma na mengineyo yenye sura hizi , na
namna hiyo ni kuacha uhuru wa Bunge katika kazi zake za kuisimamia
Serikali .
Mheshimiwa Spika, James Freeman Clarke alisema maneno haya “The
difference between a politician and a statesman is that a politician
thinks about the next election while the Statesman think about the next
generation.” Sisi tunafikiria nini?
Mheshimiwa spika, tatizo la wanasiasa wengi wa Taifa hili kila
wanapomaliza uchaguzi papo hapo, ndipo wanaanza kufikiria uchaguzi
unaofuata. Ndio maana mawazo ya vikao vya vyama vyetu (Party Caucus)
yanakuwa muhimu kuliko msingi wa siku za usoni za nchi yetu. Hili nalo
ni tishio kubwa la usalama wa Taifa letu. Kwani wanaopaswa kushauri,
kuelekeza na kusimamia wameukataa wajibu wao bila aibu.
Mheshimiwa Spika, nimalizie kwa kusema, zawadi pekee mbunge yoyote
anayoweza akatoa kwa wazazi wake, watoto wake, familia yake na nchi yake
ni yeye kuwa na uwezo wa kusimamia ukweli, demokrasia, utu na haki kwa
gharama yoyote ile.
………………………………………..
Godbless Jonathan Lema (Mb)
MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI NA
WAZIRI KIVULI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI
Tarehe 16 Mei, 2016 SOURCE: FACEBOOK.COM/CHADEMAMEDIA
Na Ally Daud- Maelezo. Mamlaka
ya mapato Tanzania (TRA) imebakiza Tsh. Trilioni 2.363 ili kufikia
lengo waliojiwekea la kukusanya mapato ya trilioni 12.363 katika mwaka
wa fedha 2015/16, ambapo hadi sasa imekusanya kiasi cha Tsh. Trilioni
10.
Akizungumza
katika hafla ya uzinduzi wa awamu ya pili ya mpango wa mafunzo kwa
wafanyakazi waliopo kwenye fursa ya ajira za taasisi hiyo Kamishina
Mkuu wa TRA Bw. Alphayo Kidata alisema taasisi yake imefanikiwa
kukusanya kiasi cha sh trilioni 10 katika muda waliojiwekea na kuahidi
kumalizia kiasi cha shilingi trilioni 2.363 kabla ya mwaka mpya wa fedha
wa Serikali unaoanza mwezi Julai mwaka huu.
“Tumejiwekea
malengo ya kukusanya kiasi cha fedha cha shilingi trilioni 12.363 kwa
mwaka huu wa fedha na tumefanikiwa kukusanya shilingi trilioni 10 mpaka
mda huu ila tunaendelea na kutimiza lengo letu hadi kufikia July mwaka
huu na tutajipanga upya mwaka ujao wa fedha kufikia malengo mapema” alisema Bw. Kidata.
Aidha
Bw. Kidata amesema kuwa kwa mpango huo wa mafunzo ulioanzishwa kwa
kushirikiana na Chuo cha Usimamizi wa Kodi (ITA) ni mafunzo ya mwaka
mmoja yanayoendana na usaili mpya kwa wahitimu ili kufanya Mamlaka hiyo
kuwa na wafanyakazi waadilifu na wachapa kazi ili kupaisha uchumi nchi.
Kwa
upande wake Mkuu wa chuo cha cha Usimamizi wa Kodi (ITA) Prof. Isaya
Jairo alisema kuwa wameamua kuanzisha mpango huo kwa kushirikiana na
Mamlaka ya mapato ili kufundisha wafanyakazi wa TRA maadili na nyenzo
za utendaji kazini pamoja na kuendesha mafunzo ya dini ili kuwafanya
wafanyakazi wawe wacha mungu katika kazi zao.
Aidha
Kaimu Mkurugenzi Rasilimali Watu na Utawala wa TRA Bw. Victor Kimaro
aliwataka wafanyakazi wote wanatakiwa wafanye kazi kwa maadili hususani
upande wa ukusanyaji kodi na Chuo hicho kimewafundisha wafanyakazi hao
kufanya kazi kwa ushindani katika maeneo ya kazi ili kuliletea taifa
maendeleo yaliyokusudiwa.
Kamishina
Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Alphayo Kidata (katikati)
akionesha kitabu cha mtaala mpya wa mafunzo kwa wafanyakazi (TRA)
watakaopata fursa za kusoma katika Chuo cha Usimamizi wa Kodi (ITA),
kulia ni Mkuu wa Chuo hicho Prof. Isaya Jairo na kushoto na kushoto ni
Kaimu Mkurugugenzi Rasilimali Watu na Utawala Bw. Victor Kimaro.
Baadhi
ya washiriki waliohudhuria katika uzinduzi wa awamu ya pili ya mpango
wa mafunzo ya kuhitimu kwa wafanyakazi waliopo kwenye fursa za ajira
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) uliofanyikia jijini Dar es salaam.
Baadhi
ya washiriki wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni Rasmi Kamishina
Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Alphayo Kidata