Sunday, 20 March 2016

USHAURI MUHIMU KWA WANAFUNZI WOTE WALIOMALIZA KIDATO CHA NNE 2015 KUHUSU KOZI MBALIMBALI AMBAZO ZINAWAFAA KULINGANGA NA MATOKEO WALIOYOPATA NA JINSI YA KUOMBA 2016/2017

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Habari zenu,
Kwanza kabisa kama kichwa kijielezavyo hapo juu ,leo nimemaua kuzungumizia kuhusu wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka 2015 na wanatarajia kujiunga na vyuo mbalimbali kwa masomo mbalimbali mwaka wa masomo 2016/2017.

Nitazungumzia mada hii muhimu kwa kugusa maeneo yafuatayo,
1.SEKTA YA AFYA
2.SEKTA YA KILIMO NA MIFUGO
3.SEKTA YA  ELIMU
4.SEKTA YA ENGINEERING
5.SEKTA YA SHERIA NA BIASHARA

1.KOZI ZA AFYA
Afya ni moja kati ya sekta zinazoajiri kwa wingi sana vijana wengi kutokana na kutokuwepo kwa watalam wa kutosha kufiti nafasi hii adimu ya kuhudumia watu.
katika sekta hii inajumuisha kozi zifuatazo,
-nursing
-medicine
-pharmacy
-laboratory
Kutokana na ufaulu wa matokeo ya kidato cha nne ,Taasisi muhimu inayojishughulisha na udahili wa wanafunzi katika ngazi hii ya cheti na diploma wametoa sifa ambazo zitakufanya na kukuongoza katika kufanya maamuzi yako.
Ili uweze kudahiliwa(kuchaguliwa ktk chuo chochote cha afya tanzania ktk ngazi ya diploma na cheti kwa kozi tajwa hapo juu inabidi uwe umesoma masomo yafuatayo;
-physics
-chemistry
-biology
Masomo tajwa hapo juu ni lazima uyasome kama unataka kujiunga na kozi za afya.Pili inabidi uwe umefaulu kwa viwango vifuatavyo,
Kama una -physics-D,-chemistry-D,-biology-D(una sifa za kujiunga na cheti)
Kama una -physics-D,-chemistry-C,-biology-C(una sifa za kujiunga na Diploma)
 Kutokana na vigezo tajwa hapo juu unaweza kuomba chuo chochote kile tanzania na nakuhakikishia 100% utachaguliwa kujiunga.
NOTE:KAMA HAUNA VIGEZO TAJWA HAPO JUU USIJISUMBUE KWANI HUTACHAGULIWA.

DEADLINE NI TAR 31 MARCH 2016

JINSI YA KUFANYA APPLICATION



ORODHA YA VYUO VYA AFYA  UNAVYOTAKIWA KUOMBA



S/N Institute Programme NTA Level Enrolment Capacity TOTAL
Male Female
1 Primary Health Care Institute - Iringa Diploma in Nursing Level 4-6 30 15 45
2 Mwambani School of Nursing - Chunya Diploma in Nursing Level 4-6 40 20 60
3 New Mafinga Health and allied Institute- Mafinga Diploma in Nursing Level 4-6 25 25 50
Certificate in Community Health  Level 4 35 35 70
4 St. Aggrey College of Health Science- Mbeya Certificate in Nursing and Midwifery Level 4-5 25 25 50
5 Bulongwa Health Science Institute- Makete Diploma in Nursing and Midwifery Level 4-6 20 30 50
Certificate in Community Health Level 4 20 20 40
7 Lugarawa School of Nursing- Ludewa Certificate in Medical Laboratory Science Level 4-5 30 10 40
8 Mbalizi Institute of Health Sciences - Mbeya Certificate in Community Health Level 4 25 25 50
9 Yohana Wavenza Health Institute- Mbozi Diploma in Nursing Level 4-6 30 20 50
10 St. Bakhita College of  Health - Nkasi Certificate in Nursing and Midwifery Level 4-5 25 25 50
11 Mkomaindo Certificate in Community Health Level 4 40 40 80
12 Huruma School of Nursing Diploma in Nursing and Midwifery Level - 4-6 25 25 50
13 Hydom School of Nursing Diploma in Nursing Level - 4-6 10 30 40
14 Same School of Nursing Certificate in Nursing and Midwifery Level - 4-5 20 30 50
15 St. Augustin Institute of Health Sciences (CHW) Hospital Level 4 40  40 80
school                   50 50 100
Elijerry centre 50 50 100
16 Archibishop John Ramadhani School of Nursing Certificate in Nursing and Midwifery Level 4 -5 25 25 50
17 Kilema College of Health Sciences Certificate in Medical laboratory Level 4 -5 25 25 50
18 Spring Institute of Business and Sciences Diploma in Pharmaceutical Science Level 4- 5 20 20 40
19 Nicodemus Hhando School of Health Sciences Certificate in Medical laboratory Level 4 -5 25 25 50
21 Besha Health Training Institute Certificate in Medical laboratory Level 4-5 25 25 50
Certificate in Community Health Level 4 25 25 50
22 Bumbuli (SEKOMU) Certificate in Clinical Medicine Level 4-5

45
Diploma in Clinical Medicine Level 4-6

90
Certificate in Community Health Level 4 25 25 50
23 Tandabui Certificate in Community Health Level 4 25 25 50
24 Sengerema COTC Certificate in Medical laboratory Level 4-5 35 15 50
25 Mwasenda Certificate in Medical laboratory Level 4-5 25 25 50
26 Royona Certificate in Medical laboratory Level 4-5 30 40 70
27 Bukumbi Nursing Certificate in Nursing and midwife Level 4-5 25 25 50
28 Kagemu EHS Certificate in Environmental Health Science Level 4-5 10 10 20
Diploma in Environmental Health Science Level 4-6 15 15 30
29 Kolandoto Certificate in Nursing Level 4-5 30 30 60
Certificate in Community Health Level 4 30 30 30
30 Mikocheni School of Nursing  Diploma in Nursing Level 4-6 20 20 40
Certificate  in Nursing Level 4-5 20 20 40
31 Kulagwa Certificate in Community Health Level 5 40 40 80
32 DECCA College of Health and Allied Sciences Diploma in Medical Laboratory Level 4-6 60 40 100
Diploma in Nursing Level 4-6 50 50 100
33 Mvumi Institute of Health Sciences Certificate in Nursing and Midwifery Level 4-5 10 15 25
Diploma in Nursing and Midwifery Level 4-6 20 30 50
Certificate in Medical Laboratory Science Level 4-5 40 30 70
Certificate in Community Health Level 4 20 30 50
34 Tabora Institute Diploma in Clinical Medicine Level 4-6 50 50 100
Certificate in Community Health Level 4 50 50 100
35 Kilimatinde Certificate in Nursing and Midwifery Level 4-5 40 40 80
36 Nkinga Institute of Health Sciences Certificate in Nursing Level 4-5 10 20 30
Diploma in Nursing Level 6 20 20 40
Certificate in Medical Laboratory Science Level 4-6 15 15 30
37 Iambi School of Nursing Certificate in Nursing and Midwifery level 4-5 30 20 50
38 St. Johns University Diploma in Nursing Level 4-6 75 75 150
39 Rukwa College of Health Sciences Certificate in Community Health Level 4 25 25 50
40 Massana College of 
 Nursing
Technician Certificate in Nursing Level 4 - 5 20 20 40
Ordinary Diploma in Nursing


Share:

KAMPLA UNIVERSITY-KIU NEW INTAKE – APRIL 2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Kampala International University-dar
The office of the Deputy Vice Chancellor-Academics, Kampala International University (Dar es salaam Constituent College) hereby invites applications for the under listed academic programmes for 2015/16 for the March-April Intake starting April 2016. For All Form Four applicants and those who hold a certificate they can apply for Diplomas and Certificates in Pharmacy, Clinical medicine, Medical laboratory technology, Computer, Business, Social Sciences, Education and Law should apply through NACTE or they may come or call to the University for more Clarification. 
Click Here to Download
Share:

New AUDIO | Lady Jaydee - Ndi Ndi Ndi | Download

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

https://www.mkito.com/song?idx=10211&referrer=780435dd6fffd77e3313ce954cec7b7d0996dc33
Share:

New AUDIO | T.I.D x Dully Sykes & Joh Makini - Confidence | Download

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

http://old.hulkshare.com/dl/edexohp9rbi8/T.I.D_x_Dully_Sykes_%26_Joh_Makini_-_Confidence.mp3?d=1
Share:

Paul Makonda Aweka Wazi Mikakati yake ya Kuubadilisha Mkoa wa Dar es Salaam, Ataka Wenye Nyumba zilizochakaa Wazipake Rangi

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amezindua kampeni ya kufanya jiji la Dar es salaam kuonekana safi ili kujiepusha na magonjwa ya mlipuko pamoja na kufanya jiji kuwa kivutio kwa wageni.

Makonda amefanya uzinduzi huo leo alipokuwa akizungumza na watendaji wa halmashauri zote za Dar es salaam katika kuwakumbusha namna ambavyo amejipanga katika kutatua kero za wananchi na kuwataka watendaji hao kuendana na kasi yake.

Kampeni hiyo ambayo inakwenda kwa jina la 'Naona Aibu' ina lenga kuhakikisha jiji la Dar es salaam linakuwa safi kuanzia kwenye mazingira ya majumbani hadi kwenye barabara zote za jiji.
''Hatuwezi kuwa wasafi wa mioyo kama tunaishi kwenye mazingira machafu kila mtu aseme naona aibu, ukipanda kwenye daladala ukiona uchafu sema naona aibu, ukiwa mtaani kwako sema naona aibu''. Amesisitiza Makonda katika hotuba yake ambayo imedumu kwa zaidi ya saa 3.

katika kuhakikisha kampeni hiyo inafanikiwa, ametangaza kuanzisha shindano kwa kila mtaa, ambapo mitaa yote ya jiji la Dar es salaam itashindanishwa kwa usafi, na mtaa utakaoibuka mshindi utapata zawadi ikiwa ni pamoja na kitita cha shilingi milioni 5 kwa wajumbe wa mtaa huu.

Pia amewashauri wenyeviti wa serikali za mitaa kuwahamasisha wananchi wao kupaka rangi nyumba zao ili kupendezesha jiji kwa kuwa usafi ni pamoja na kuwa na nyumba zinazopendeza.
"Usafi ni pamoja na kupendezesha nyumba, waambieni watu wenu wapake rangi nyumba zao, zipendeze" Amesema mkuu huyo wa mkoa.

Aidha Mkuu huyo wa mkoa amewataka watendaji wote wa mkoa wa Dar es salaam na wanasiasa wote kutambua kwamba muda wa siasa sasa umekwisha na kilichobakia ni kufanya kazi kwa maendeleo ya wananchi.

''Wanasiasa kwenye jambo langu ukikaa mbele nitakushughulikia na wala sioni haya''- Amesema Makonda.
Hata hivyo amepiga marufuku biashara mbalimbali zinazofanyika katika maeneo ya barabara za jiji la Dar es salaam na kusisitiza kuwa biashara hizo hulikosesha taifa mapato vilevile kuweka wananchi katika hali ya hatari ya kugongwa na magari muda wowote.
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger