INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Jamani
mbona tunajisahau na kuamini kabisa kinachotokea leo tunaonewa. Mzazi
jamani anazungumza mpaka mdomo unataka kupasuka lakini mtoto ndiyo
kwanza kama katiwa moto anaambiwa afanye.
Juzi nimemkuta mama mtu mzima akitokwa
na machozi baada ya mabinti zake kushindwa kumsikiliza kila alilokuwa
akiwaambia, lilikuwa likipitia kulia na kutokea kushoto.


