INNOCENT-THE BLOGGER-BO...
Tuesday, 27 January 2015
Monday, 26 January 2015
TANGAZO LA KAZI SEKRETARIETI YA AJIRA-KILIMO,MISITU NA WANYAMAPORI,OMBA HARAKA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
Kumb. Na EA.7/96/01/H/34 23 Januari, 2015
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa
mujibu wa Sheria ya Utumishi...
Sunday, 25 January 2015
BARAZA JIPYA:ANGALIA HAPA MAJINA MAPYA YA BARAZA LA MAWAZIRI LILILOTANGAZWA JANA NA MH.J.KIWKETE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Wakati aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo jana mchana, Rais Jakaya Kikwete ametangaza marekebisho ya Baraza lake la Mawazir...
Saturday, 24 January 2015
MPYA:MATOKEO YA KIDATO CHA PILI ZANZBAR 2015 YATANGAZWA INGIA HAPA(MASWAYETU ) KUANGALIA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Endapo utahitaji kuangaliziwa MATOKEO YAKO TAFADHALI fanya yafuatayo;
1.Tuma jina...
Thursday, 22 January 2015
BREAKING NEWZ:UHAMISHO KWA WATUMISHI 4352 WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA JANUARY 2015
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Uhamisho kwa Watumishi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa January 2015.
...
Tuesday, 20 January 2015
AJALI: ZAIDI YA ABIRIA 40 WANUSURIKA KIFO BAADA YA GARI WALIOKUWA WAMEPANDA KUGONGANA USO KWA USO NA LORO TEGETA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Zaidi ya abiria 40 wanusurika kifo baada ya gari waliokuwa wamepanda kugongana uso kwa uso na lori Tegeta.
Zaidi ya watui arobaini wamenusurika kifo huku mmoja akikatika viungo vya miguu na wengine kujeruhika vibaya baada ya lori moja lilionekana...
BREAKING NEWZ:BAADA YA UDOM,SASA WANAFUNZI CHUO KIKUU CHA BAGAMOYO NAO WAGOMA ,SOMA IMEKUAJE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Habari zilizotufikia hivi punde MASWAYETU EXCLUSIVE BLOG ni kwamba wanafunzi chuo kikuu cha bagamoyo wamegoma kuingia madarasani kutokana na sababu mbalimbali zinazowakumba chuoni hapo.
Sababu kubwa ikiwa ni kucheleweshewa pesa yao ya chakula ijulikanayo kama BOOM...
MWANAMKE AKAMATWA KWA UNGA WA BIL.2 NYUMBANI KWA MBUNGE
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
MWANAMKE mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Doreen John Mlemba, mwenyeji wa Same mkoani Kilimanjaro, mwishoni mwa mwaka uliopita alikamatwa kwa kuhusishwa na shehena ya madawa ya kulevya aina ya Heroin, yenye thamani ya shilingi bilioni 2.5.
Madawa hayo yalikutwa kwenye...