Thursday, 3 April 2014

Video:VURUGU BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

...
Share:

SIMULIZI TAMU YA WEMA SEPETU

Wema Sepetu. WIKI iliyopita, Wema aliendelea kuelezea simulizi yake tamu ambayo imetokea kupendwa na wasomaji wengi wa Gazeti la Amani. Aliishia pale alipoweka wazi kisa cha kuachana na Chalz Baba, akaeda Marekani, aliporudi akawa na Diamond: Tujikumbushe kidogo kisha tuendelee… Mwandishi: ...
Share:

WEMA AZUA TIMBWILI GLOBAL PUBLISHER KISA STORI YA DIAMOND

HOVYOOO! Wema Isaac Sepetu aliye pia Miss Tanzania 2006, amejitoa fahamu kwa kupandisha mzuka na kutinga makao makuu ya Kampuni ya Global Publishers, Bamaga-Mwenge, Dar na kuzua timbwili la aina yake kisa kikiwa ni kuandikwa kwa habari zake na mpenziwe, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Wema akiwa...
Share:

VIDEO:SHOW YA DIAMOND AKIWA NA WEMA SEPETU

Tazama show ya msanii wa kizazi kipya diamond paltinu...
Share:

HALMASHAURI YA JIJI YABOMOA MEZA ZA MACHINGA POSTA DAR

HALMASHAURI YA JIJI YABOMOA MEZA ZA MACHINGA POSTA DAR Maafande wa Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi leo wameendelea na bomoabomoa ya meza za wafanyabishara ndogondogo 'Wamachinga' kama walivyonaswa na kamera yetu maeneo ya Posta Mpya… Maafande ...
Share:

Wednesday, 2 April 2014

VIDEO:KAMATI YA MARIDHIANO YA BUNGE NA VIAPO

...
Share:

VIDEO:TAZAMA VIGODORO VYA MABINTI WA KITANGA-SI MCHEZO

...
Share:

NAPE:CCM ITASHINDA KWA ZAIDI YA ASILIMIA 94 UCHAGUZI CHALINZE

Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi (CCM) akizungumza na waadishi wa habari kwenye hoteli ya Bonelle mjini Chalinze wakati akizungumzia maendeleo ya kampeni za chama hicho katika jimbo la Chalinze, ambapo amesema kampeni zinaenda vizuri lakini wamekumbana na Changamoto...
Share:

MAJINA YA WALIMU WA DIPLOMA WALIOBADILISHIWA VITUO

ORODHA YA WALIMU WA STASHAHADA WALIOBADILISHIWA VITUOANWANI CHUO MASOMO F BOX 334 UKEREWE BUNDA HISTORY/ENGLISH GAIRO TARIME(V)2 AGNESS KILEO F 31359 DSM MOROGORO HISTORY/ENGLISH MASWA MVOMERO3 AIDANI EDWIN M BOX 4256 MBEYA DAKAWA GEOGRAPHY/KISWAHILI KARAGWE ILEJE4 ANNA NGATUNGA F BOX 42100 DSM MTWARA GEOGRAPHY/KISWAHILI LINDI(M) LINDI(V)5 AYUBU ASHERI M 1004 IRINGA KLERUU PHYSICS/CHEMISTRY BUKOBA(V)...
Share:

VIDEO:KAULI YA MH.Mnyika KUWA TUMEFIKA HAPA TULIPO KWA AJILI YA UDHAIFU WA RAIS

...
Share:

WATANZANIA WENZANGU CCM hawakutaka Katiba Mpya na haitatokea

Nawasikitikia Watanzania wenzangu waliokaa mkao wa kula wakisubiri Katiba mpya. Nasikia wengine wanafunga na kuomba ili Katiba ipatikane, wengine wamejawa tu na matumaini. Ya Mungu mengi, inawezekana Katiba Mpya ikapatikana, lakini kwa mwendo huu, tayari matumaini yametoweka. Kinachoendelea bungeni kwa sasa kimeanzia mbali. Mtoto wa nyoka ni nyoka, usijidanganye ukamsogezea kidole. Wengi walijaa...
Share:

VIDEO:MAN U YAKAZA MWANZO MWISHO

London, England. Manchester United na Barcelona zimeshindwa kutumia vizuri viwanja vyao vya nyumbani baada ya kulazimishwa sare 1-1 na Bayern Munich na Atletico Madrid katika michezo ya kwanza ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa jana. Manchester United wakiwa kwenye uwanja wao wa Old Trafford, walipata bao la kuongoza dakika 58, kupitia nahodha wake Nemanja Vidic akiunganisha kwa kichwa...
Share:

UTAJIRI WA MASANJA KUFURU

UTAJIRI wa komediani maarufu Bongo,  Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ ni kufuru! Tena unatisha na sasa anaonekana kuwa miongoni mwa wasanii wanaomiliki fedha na mali nyingi Bongo, Risasi Mchanganyiko linakupa zaidi. Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ akiwa mbele ya usafiri na mjengo...
Share:

VIDEO:KUSHUKA KWA MAADILI

...
Share:

Tuesday, 1 April 2014

MADAWA YA KULEVYA YAKAMATWA GEREZA LA KEKO

PIPI 60 za madawa ya kulevya aina ya heroine yanayokadiriwa kuwa na thamani ya shilingi milioni 60 yanadaiwa kukamatwa ndani ya Gereza la Keko jijni Dar es Salaam baada ya mtu mmoja kuingia nayo akiwa ameyameza. Madawa ya kulevya. Kwa mujibu wa chanzo, mtu mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Mashujaa...
Share:

LULU KAIBA BWANA WA MTU

Habari zinaeleza bifu lao limefikia hatua ya kuanikana waziwazi hadi kumwagiana matusi kwenye mitandao ya kijamii, hasa Instagram lakini huondoa majibizano yao machafu kila baada ya muda mfupi. Chanzo cha habari hizi kinapasha kuwa ugomvi wa Lulu na Husna ni juu ya mwanaume huyo ambaye anaishi...
Share:

Monday, 31 March 2014

YANAYOENDELEA BUNGE LA KATIBA DODOMA 31st MARCH 2014

Raza: Tuache utoto tujadili Katiba Dodoma. Mjumbe wa Bunge la Katiba, Mohamed Raza ametaka wajumbe wenzake kuheshimiana bila kujali wingi au uchache wa wajumbe kwenye makundi yao, kama kweli wana dhamira ya dhati ya kutunga Katiba. Akizungumza na gazeti hili, Raza alisema mwenendo wa Bunge siyo mzuri na hauleti picha nzuri kwa mamia ya wananchi ambao wanategemea wapatiwe Katiba bora itakayoondoa...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger