Monday 14 October 2024

WAZIRI DKT. SELEMANI JAFO APOKEA TUZO YA TANTRADE URATIBU BORA WA MAONESHO YA MADINI GEITA

...

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akikabidhi Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Selemani Jafo tuzo kwa niaba ya Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania ( TanTrade) kwa kutambua usimamizi bora na uratibu wa Maonesho ya biashara ndani na nje ya nchi na kutoa huduma ya kliniki ya biashara kipindi cha Maonesho ya 7 ya kitaifa ya Teknolojia ya Madini yaliyofanyika Viwanja vya EPZA Bombambili mjini Geita, maonesho hayo yamefungwa Leo Oktoba 13, 2024 ,

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akikabidhi Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Selemani Jafo tuzo kwa niaba ya Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania ( TanTrade) kwa kutambua usimamizi bora na uratibu wa Maonesho ya biashara ndani na nje ya nchi na kutoa huduma ya kliniki ya biashara kipindi cha Maonesho ya 7 ya kitaifa ya Teknolojia ya Madini yaliyofanyika Viwanja vya EPZA Bombambili mjini Geita, maonesho hayo yamefingwa Leo Oktoba 13, 2024 , Kushoto ni Waziri wa Madini Anthony Mavunde.

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger