Saturday 28 September 2024

Picha : RAIS SAMIA AFUNGA KIKAO MAALUM CHA BARAZA KUU LA JUMUIYA YA UMOJA WA WANAWAKE TANZANI 'UWT' TAIFA

...
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Ndugu Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati akifunga Kikao Maalum cha Baraza Kuu la Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa, tarehe 28 Septemba 2024
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Ndugu Samia Suluhu Hassan akiwasili katika ukumbi wa Parokia ya Bombambili Wilayani Songea Mkoani Ruvuma kwa ajili ya kufunga Kikao Maalum cha Baraza Kuu la Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa, tarehe 28 Septemba 2024
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger