Sunday 22 September 2024

MONGELLA ASISITIZA UMUHIMU KUZINGATIA KATIBA, UTUNZAJI SIRI

...

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, ndugu John Mongella, amewasili Kigoma na kufanya kikao - kazi na viongozi waandamizi na watumishi wa CCM mkoani humo, Septemba 21, 2024.

Katika kikao-kazi hicho pamoja na mambo mengine, ndugu Mongella amesisitiza suala la kuendelea kujenga umoja na mshikamano, utunzaji wa siri za vikao, kusimamia Katiba ya CCM, kanuni, miongozo na taratibu mbalimbali za Chama na Jumuiya zake

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger