Friday 22 March 2024

NILIVYOJIKUTA NIMEFUNGUA BIASHARA BILA KUPENDA KISA MAPENZI!

...


Jina langu naitwa Ndaroka kutokea Mwanza nchini Tanzania, wakati naanza mwaka wa kwanza nilimpa mimba mpenzi wangu, nilikuwa naye toka nikiwa kidato cha tano, bahati mbaya alifeli akaishia hapo hapo.

Aliniambia mimba ni yangu na nilikubali nikaanza kuilea ile mimba, japo tulisumbuana sana kwenye pesa za matumizi kwa sababu sikua na pesa za kutosha kila kitu kwa wakati huo.

Chuki kwangu ikazidi balaa, sikuiweka moyoni niliamini ni mimba inamsumbua, baada ya muda alienda kwao kujifungua mkoa mwingine, na akajifungua mtoto wa kiume.

Baada ya siku tatu akaniambia mtoto amefariki na baada ya hapo hakupokea simu zangu tena wala za mama yangu. Mama yangu alilia sana kwa sababu nilimtambulishwa kwake na alimpenda sana.

Tayari tulishanunua vitu kibao vya kwake na vya mtoto, kuna namna niliamini huu ni mchezo nimechezewa ila nilikaza maisha yakaendelea, nikasonga na maisha mapya.

Baadae nikapata mwanamke mwingine na tulipendana sana japo shida yake ilikua ni wivu mwingi, alitaka kuchunguza kila kitu katika maisha yangu hadi watu ambao nawasiliana nao.

Siku moja akaja ghetto mi nikamuacha humo sababu nilikua nawahi kipindi, yeye akajiongeza kufanya usafi. Eenh bwana enh si akakuta vile vitu tulivyonunua na mama kwa ajili ya mtoto vipo chini ya uvungu.

Ile narudi nakuta mtu kanuna, nikamuuliza shida nini mama, akawaka sana kuhusu vile vitu ikabisi nitafute namna ya kujitetea nikamwambia kwa sasa nahitaji kufungua biashara hasa hasa ya vitu vya kike so hizi ni sample.

Basi akafurahi kweli kusikia hivyo na akanipongeza akaahidi kuwa nami kwenye safari yangu ya maendeleo, hapo moyoni nawaza nitaanzia wapi wakati sihawahi hata kufanya biashara ya kuuza pipi.

Kila siku akawa ananikumbusha kuhusu ile biashara hadi nikajikuta nafungua ili mradi nitunze lile penzi, changamoto ikatokea ile biashara ikawa haifanyi vizuri kabisa, nikawa natoa fedha tu ila hakuna ambacho naingiza.

Mpenzi wangu akaja na wazo kuwa anamfahamu mtu anaitwa Kiwanga Doctors ambao ni wataalam wa tiba asilia, akaniambia kuwa wanaweza kutusaidia kukukuza biashara yetu.

Basi akatafuta namba yao katika mitandao hadi akaipata, tuliwasiliana nao kwa namba (+254 769 404965) na wakatufanyia dawa ya kuvuta wateja na kweli tumefanikiwa.

Nimeifanya tangu namaliza chuo hadi leo na nikazidi kuamini ule msemo “everything happens for a reason”.

Kiufupi bado sijapata kazi ila nina kipato na nimeridhika sana na hii biashara. Nashukuru mpenzi wangu ulikuja kwangu ukawa baraka, umeniokoa na wivu wako wewe barafu wa moyo wangu.

Siku zote kumbuka Kiwanga Doctors anatoa huduma kama kusafisha nyota, kusuluhisha migororo ya ndoa, mahusiano, mapenzi na familia, kumfunga mume au mke asitoke nje ya ndoa, anatoa tiba kwa wanaotafuta watoto.

Vilevile anatoa huduma ya kukusaidia kupata kazi au ajira, kupandishwa cheo na mshahara kazini, kuwasaidia wenye urahibu wa dawa za kulevya, sigara na pombe, kwa wanaotafuta mume au mke pia anawasaidia tena ndani ya siku chache.

Anatibu magonjwa kama kisukari, msukumo wa damu (BP), upungufu wa nguvu za kiume, miguu kuwaka moto n.k, pia anaweza kuisadia biashara yako kunawiri, na huduma zote hizi unaweza kuzipata bila kufika ofisini kwake.

Basi chukua hatua ya kuwasiliana na Kiwanga Doctors kwa namba; +254 769 404965.

Mwisho.

 


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger