Saturday, 13 February 2021

SIMBA SC YAICHAPA AS VITA KWAO DRC

...


Mabingwa wa Tanzania, Simba SC wameanza vyema hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, AS Vita Uwanja wa Marty's Jijini Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

Pongezi kwa mfungaji wa bao hilo, Chriss Mugalu aliyeiadhibu timu ya nyumbani kwao kwa penalti dakika ya 61 baada ya beki wa AS Vita, Ousmane kuunawa mpira uliooigwa na kiungo Luis Miquissone, raia wa Msumbiji.
Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger