Saturday, 14 December 2019

Mzee Akilimali wa Yanga Afariki Dunia

...
Mwanachama mkongwe wa klabu ya Yanga Ibrahim Omary Akilimali amefariki dunia leo asubuhi ya Desemba 14, katika Hosptali ya Bagamoyo baada ya kuugua Kwa muda mrefu.

Akizungumzia msiba huo, Mwenyekiti Umoja wa Tawi la Yanga kwa Mtogole, Waziri Ramadhani amesema marehemu Akilimali ambaye aliwahi kuwa katibu wa Baraza la Wazee Yanga, atazikwa kesho saa 10 katika Makaburi ya Tandale kwa Mtogole.


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger