Wednesday, 4 December 2019

Breaking : SUMAYE AJIONDOA CHADEMA

...

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Frederick Sumaye amejiondoa Chadema.

Amesema ni baada ya kutafakari kwa kina na kuona wakubwa wamewashawishi watu wa Kanda ya Pwani kumpigia kura ya Hapana
-
Ametangaza kuwa hajiungi na chama chohote ila yupo tayari kutoa ushauri kwa chama chochote hata CHADEMA akihitajika
Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger