Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) limemfungia msanii wa Bongofleva nchini Tanzania, Rozaree kutojihusisha na muziki kwa miezi 6.
Hii ni kutokana na video ya wimbo wa Vitamin U aliyoshirikishwa na msanii Timmy Tdat wa Kenya kutokuwa na maadili na tayari video hiyo imeondolewa kwenye mtandao wa YouTube.
0 comments:
Post a Comment