Thursday, 11 July 2019

ORODHA YA SHULE 10 ZA MWISHO MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2019

...
Shule ya Sekondari ya Nyamunga ya mkoani Mara imeshika namba moja kati ya shule 10 zilizofanya vibaya kitaifa katika matokeo ya kidato cha sita mwaka 2019.

Matokeo hayo yametangazwa leo Alhamisi Julai 11, 2019 na katibu mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), Dk Charles Msonde.

Katika orodha hiyo kuna shule nne za Mjini Magharibi  visiwani Zanzibar ambazo ni Kiembesamaki A Islamic, Mpendae, Tumekuja na Haile Selassie.

==>>Hizi ni Shule 10 za Mwisho Kitaifa
1.    Nyamunga, Mara.

2.    Haile Salassie Mjini Maghari.

3.    Tumekuja,mjini Magharib

4.    Bumaangi,mara

5.    Butuli,mara

6.    Mpendae, Mjini Magharib

7.    Eckernford, Tanga.

8.    Msimbo, Katavi.

9.    Mondo, Dodoma.

10. Kiembe Samaki A Mjini Magharib

1.Kutazama matokeo ya Kidato cha Sita  <<BOFYA HAPA>>

2.Kutazama Matokeo Ya Mtihani Wa Ualimu 2019  <<BOFYA HAPA>>
Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger