Thursday, 20 June 2019

TID adai kapigwa na majambazi....Mtazame Hapa

...
Mwimbaji mkongwe wa Bongo Fleva Top In Dar (TID) ameweka picha kwenye ukurasa wake wa instagram akionekana amepigwa na watu ambao amewataja kuwa ni wezi huku akidai kuwa  watu hao wanaweza fanya chochote sababu huwa wana mipango mbadala.


“Washamba Bwana Wakiona tu Unasikika wanaamua kukupiga hivi …. It’s so Sad Jambazi anaeza kukufanyia chochote sababu yeye Jambazi na Yuko na Back Up za Kijambazi #RevengeoftheNinja“ aliandika TID


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger