Thursday 1 July 2021

Waziri Mkuu Kasim Majaliwa Awasili Nchini Burundi Kwa Ziara Ya Siku Moja


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amewasili nchini Burundi ambapo anafanya ziara ya siku moja nchini humo.

Katika uwanja wa ndege wa Bujumbura, Waziri Mkuu Majaliwa amepokelewa na Makamu wa Rais wa Burundi, Prosper Bazombanza.

Miongoni mwa malengo ya ziara hiyo ya Waziri Mkuu nchini Burundi ni kuimarisha uhusiano wa Tanzania na Taifa hilo.


Share:

Accounting Supervior at Four Seasons Hotels and Resorts

Be able to manage and understand all duties of Account Receivable and Account Payable positions. Oversee the team members working in these areas. Be able to manage and understand all duties related to Focalization of invoices. Be responsible for the archive room to ensure all needed documents are stored as per standards. Be responsible of […]

This post Accounting Supervior at Four Seasons Hotels and Resorts has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Groups and Transport Coordinator at Four Seasons Hotels and Resorts July 2021

This position is for Tanzanians onl Coordinate all group reservations and all transport requests for guests and employees. Create new Booking Codes and modify existing Booking Codes to include cancellations, date changes, block changes, rate changes and billing changes. Maintain blocks based on historical information and pick up reports. Monitor “trace” date on all groups. […]

This post Groups and Transport Coordinator at Four Seasons Hotels and Resorts July 2021 has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

MWALIMU WA TUISHENI ATUPWA JELA KWA KUMLAWITI MWANAFUNZI WAKE WA MIAKA 8 KAHAMA

 

Mahakama ya wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga jana June 30, 2021 imemhukumu kifungo cha maisha jela, Baraka Andrea (25) mkazi wa Kata ya Mhongolo ambaye alikuwa mwalimu wa Tuisheni kwa kosa la kumlawiti mwanafunzi wake wa miaka nane.

Akisoma hukumu hiyo hakimu mkazi wa Mahakama hiyo David Msalilwa amesema kutokana na ushahidi na vielelezo vilivyotolewa mbele ya Mahakama vimethibitisha mtuhumiwa huyo kupatikana na hatia bila kuacha shaka yoyote.

Hakimu Mkazi Msalilwa amesema katika kesi hiyo jumla ya mashahidi watatu walitoa ushahidi ambao ni mama mzazi wa mtoto, Mhanga mwenyewe ambaye ni mtoto na taarifa ya vipimo vya daktari ambavyo mtoto huyo alifanyiwa.

Awali kabla ya hukumu hiyo kutolewa mtuhumiwa Baraka Andrea wakati akijitetea alisema shitaka hilo dhidi yake ni la kutengenezwa kwani yeye kabla ya kutuhumiwa kwa kosa hilo alikuwa anamdai laki mbili mama yake mzazi wa mtoto huyo hivyo hakutenda kosa hilo.

Kwa upande wake wakili wa serikali, Satuninus Kamala aliiomba mahakama kutoa adhabu kali kwa mtuhumiwa huyo ili liwe fundisho kwa watu wengine kwani vitendo vya ulawiti kwa watoto havipaswi kufumbiwa macho kwenye jamii.

Hata hivyo mtuhumiwa huyo Baraka Andrea alitenda kosa hilo tarehe 14 Novemba 2020 baada ya kumaliza kumfundisha mtoto huyo na alifikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza tarehe 30 Novemba 2020.


CHANZO - HUHESO FM

Share:

MREMBO ANAMTAFUTA MWANAUME ALIYEFUNGA NAYE NDOA UTOTONI


Picha aliyoiweka Leina kupitia ukurasa wake wa Twitter, ikionesha yeye na Albert wakifunga ndoa

Mwanadada anayejiita Leina, ametuma ujumbe kupitia akaunti yake ya twitter akimtafuta mwanaume ambaye alifunga naye ndoa miaka ya nyuma wakiwa watoto.

Kupitia ukurasa wa mtandao wake wa Twitter, mwanadada huyo Leina, ameweka picha ikimuonyesha yeye wakati wa utoto akiwa amefunga ndoa na mtoto mwenzake.

Leina aliweka picha hiyo juzi Juni 27, 2021, na kuandika kuwa kijana huyo anaitwa Albert na sasa hajui yuko wapi na ndoa hiyo walifunga wakiwa darasa la pili.

"It’s the bride for me, Ps: This boy’s name is Albert, i don't know where you are, but we got married in primary 2 at assembly," aliandika mwanadada huyo.



Share:

HAYA NDIYO MATAIFA AMBAPO MWANAMKE ANAWEZA KUOLEWA NA WANAUME ZAIDI YA MMOJA


Umewahi kufikiria kuwa na mume mwenza katika ndoa? Swali hili ni kwa wanaume, lakini kwa wanawake umewahi kufikiria kuolewana wanaume wawili? Au Unakumbuka tukio la mkazi mmoja wa Makueni huko Kenya, Rael Mukeku, aliyeamua kuolewa na wanaume wawili lilivyosambaa kwenye vyombo vya habari? Ama tukio la Maurine Atieno kutoka eneo la Migori nchini humo alivyotiwa nguvuni baada ya kukiri kuolewa na wanaume wawili?

Ni kawaida hasa kwa jamii ambazo imani ya kiislamu imetawala, kuona mwanaume akiwa na mke zaidi ya mmoja, lakini si jambo la kawaida hasa kwa jamii nyingi kuona wanaume wawili wakimuoa na kuishi na mwanamke mmoja.

Yapo mataifa duniani ambayo ndoa ya mwanamke mmoja kuolewa na wanaume wawili ni kitu cha kawaida kabisa kupitia mila za makabila yao na kuwekewa utaratibu unaotambulika. Ifuatayo ni orodha ya mataifa matano ambayo mwanamke kuolewa na wanaume wawili au zaidi ni jambo linalowezekana kwa mila zao.

CHINA
Ukiwa China, eneo la Tibet, watibeti wegi wanaitekeleza aina hii ya ndoa hasa katika maeneo ya Tsang and Kham , lakini pia makabila mengine kama Monpa, Tamang, Qiang, Sherpa na Lhoba yakkionekana kutekeleza aina hii ya ndoa kama ilivyo kwa baadhi ya watu wa Han na Hui.

Mwanamke akiwa katika katika ndoa ya aina hii, kuna wakati halazimiki kumtaja baba wa mtoto wake ni nani kati ya waume zake. Anafanya hivyo ili kulinda mahusiano na upendo baina ya waume zake.

Utafiti mmoja uliofanywa mwaka 2008 kwenye vijiji kama Xigaze na Qamdo ulionyesha asilimia 20-50% ya familia zilikuwa za ndoa ya mwanamke mmoja aliyeolewa na wanaume wawili au zaidi. Katika baadhi ya maeno ya ndani ndani huko vijijini, idadi ya ndoa hizi ni kubwa zaidi mpaka kufikia asilimia 90%.

Lakini kwa maeneo ya mjini nchini China, ndoa ya aina hii si jambo linalopendwa na kutekelezwa na wengi, ikionekana kama jambo lisilo na maana.

NEPAL

Nepal, moja ya nchi masikini katika bara la Asia, inapatikana kwenye milima ya Himalaya. Ndoa ya mwanamke mmoja kuolewa na wanaume zaidi ya mmoja zilipigwa marufuku mwaka 1963 lakini jamii katika maeneo ya Humla, Dolpa na Kosi wao wanaendeleza ndoa hizo.

Wanasema ni sehemu ya mila zao na hawawezi kuacha kirahisi, kwa msigi huo wanasema wanaheshimu zaidi mila zao kuliko sheria. Katika maeno haya, ni jamboi la kawaida na unaweza kukuta kijiji kizima kinafamilia zenye ndoa za aina hii.

Akii ndoa hii ni kitu cha kawaida pia katika baadhi ya makabilia Kaskazini na kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo kama Bhote, Sherpa a Newbie.

INDIA

Kabila zaidi ya moja nchini India watu wake wanatekeleza ndoa ya aina hii. Tena China yapo makabila ambayo mwanamke anaolewa na wanaume mpaka wanne kwa wakati mmoja. Katika maeno kama Kinnaur huko Himachal kusini mwa nchi hiyo yalipo makabila ya Nilgiris, Nanjanad Vellala na Nair au Nayar, ndoa hizi ni za kawaida sana. Pia ni kawaida huko Jaunsar-Bawar kaskazini mwa India.

Katika aina hii ya ndoa nchini humu, mwanamke anakuwa na sauti kwenye kuamua jambo la familia, wanaume wanapaswa kumsikiliza na kuheshimu mawazo yake.

NIGERIA


Kwa Afrika hasa nchini Nigeria yapo baadhi ya maeneo ndoa za aina hii zinafanyika. Katika chapisho moja lililoandikwa na mwandishi Akinwale Akinyoade, ingawa si jambo la kawaida kwa jamii nyingi nchini humo, lakii katika baadhi ya makabila wanatekeleza ndoa hizo lakini kwa kificho.

Kwa mfano watu wa Irigwe Kaskazini mwa nchi hiyo, mwanamke anaolewa na wanaume wawili ama watatu na maisha yanaendelea. Ilikuwa kawaida na rasmi kwa jamii hii kwa mwanamke kuolewa na wanaume zaidi ya mmoja.

Mwanamke alikuwa anakaa na mume mmoja, halafu anaamua kwenda kulala kwa waume zake wengine kwa zamu na baadae kurejea anapoishi. Akipata ujauzito watoto wote atakaa nao yeye lakini waume zake wote watawajibika kwa watoto hao.

Mwaka 1968, sheria ilipitishwa kukataza ndoa hizi, lakini kwa sababu ni mila sasa zinafanyika kwa siri.

CHANZO - BBC SWAHILI
Share:

Commis 2 at Four Seasons Hotels and Resorts July 2021

Prepare food items according to guest orders of consistent quality following recipe cards, as well as production, portion, and presentation standards; complete mis en place and set-up station for breakfast, lunch, and/or dinner service. This position is for Tanzanians only and must have at least 1-2 years previous experience in a Luxury property / kitchen.  Prepare […]

This post Commis 2 at Four Seasons Hotels and Resorts July 2021 has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Regional Strategic Information (SI) Officer – Kilimanjaro at FHI 360 J

FHI 360 is a nonprofit human development organization dedicated to improving lives in lasting ways by advancing integrated, locally driven solutions. Our staff include experts in Health, Education, Nutrition, Environment, Economic Development, Civil Society, Gender, Youth, Research and Technology; creating a unique mix of capabilities to address today’s interrelated development challenges. FHI 360 serves more […]

This post Regional Strategic Information (SI) Officer – Kilimanjaro at FHI 360 J has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Assistant Surveyor at TANROADS

Tanzania National Roads Agency (TANROADS) is an Executive Agency under the Ministry of Works and Transport, established under section 3 (1) of the Executive Agencies Act (Cap 245) and came into operation in July, 2000. The Agency is responsible for the Maintenance and development of the trunk and Regional road network in Tanzania. The Regional […]

This post Assistant Surveyor at TANROADS has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Highway Engineer at TANROADS

Tanzania National Roads Agency (TANROADS) is an Executive Agency under the Ministry of Works and Transport, established under section 3 (1) of the Executive Agencies Act (Cap 245) and came into operation in July, 2000. The Agency is responsible for the Maintenance and development of the trunk and Regional road network in Tanzania. The Regional […]

This post Highway Engineer at TANROADS has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Topographical Survey at TANROADS

Tanzania National Roads Agency (TANROADS) is an Executive Agency under the Ministry of Works and Transport, established under section 3 (1) of the Executive Agencies Act (Cap 245) and came into operation in July, 2000. The Agency is responsible for the Maintenance and development of the trunk and Regional road network in Tanzania. The Regional […]

This post Topographical Survey at TANROADS has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Airport Services Duty Supervisor at Qatar Airways

About the role We are looking for an experienced customer focused individual with previous airline supervisory experience to join our Ground Services team in Zanzibar, Tanzania as an Airport Services Duty Supervisor. Reporting directly to the Duty Officer you will supervise your team to deliver exceptional customer service to our customers to ensure they receive the […]

This post Airport Services Duty Supervisor at Qatar Airways has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Health and Nutrition Team Leader at World Vision

JOB PURPOSE   To provide technical leadership and coordination of all Health and Nutrition interventions for WV Tanzania to ensure the realization of Our Promise. The incumbent staff will lead the development of all H&N technical approaches for the NO. S/he will actively pursue resource mobilization strategies for the sector, lead on proposal development, writing […]

This post Health and Nutrition Team Leader at World Vision has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI JULAI 1,2021


Magazetini leo Alhamisi July 1 2021










Share:

AMTEKA, KUMUUA KISHA KUMZIKA MREMBO AKIDAI PESA ALIZOMHONGA


Jeshi la Polisi Mkoani Geita linamshikilia mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 30 kwa tuhuma za kumuua mpenzi wake aitwaye Esta John (28) mkazi wa Ibamba Wilaya Bukombe Mkoani humo ambaye kabla ya kifo chake alitekwa nyara na mpenzi wake.

Katika taarifa ya Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita Henry Mwaibambe aliyoitoa kwa waandishi wa habari inasema kwamba mwanamke huyo aliondoka nyumbani kwake juni 13 mwaka huu akiwa na mtu aliyesemekana ni mpenzi wake.

Baada ya kutoweka kwa muda mwanaume huyo ambaye jeshi la polisi halijamtaja kwa majina yake, alianza kuwapigia simu wazazi wa mwanamke akihitaji kulipwa pesa alizokuwa akimuhudumia kwa ahadi ya kumuoa na kwamba mtuhumiwa alibaini kuwa sio mwaminifu .

Kamanda Mwaibambe amesema baada ya taarifa kufika katika vyombo vya usalama upelelezi ulianza mara moja na kufankiwa kumkamata mtuhumiwa huyo akiwa na mali za marehemu ambaye alimteka nyara.

“Katika mahojiano alikiri kumteka nyara mwanamke huyo akishinikiza kulipwa gharama alizotumia kumtunza kwa ahadi ya kuoana lakini alibaini kwamba sio mwaminifu, aliposhindwa kurudisha pesa yake ndipo alichukua uamuzi wa kumuua na kumzika huko katika kijiji Masota Wilaya ya Bukombe’’ Kamanda Mwaibambe.
Aidha amesema mtuhumiwa aliwaongoza Askari Polisi mpaka eneo alikomzika ambapo hatua za kisheria zilifuatwa ikiwmo kufukua kaburi na kufanya uchunguzi wa utambuzi wa mwili wa marehemu na kwamba uchunguzi zaidi wa tukio hilo unaendelea na upelelezi ukikamilia mtuhumiwa aafikishwa katika vyombo vya sheria.
Share:

PROF. OLE GABRIEL : SEKTA YA MIFUGO INA MCHANGO MKUBWA KATIKA KUKUZA UCHUMI WA NCHI

 

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel akizungumza wakati wa hafla ya kuwapatia vyeti wauza wa pembejeo sita waliochaguliwa kushiriki katika kutoa huduma za ugani kwa wafugaji walioko maeneo ya Dar es Salaa, Pwani, Morogoro na Tanga.

Mratibu wa Mradi wa AgResults Tanzania Dairly Productivity Challenge Bi.Neema Mrema akizungumza wakati wa hafla ya kuwapatia vyeti wauza wa pembejeo sita waliochaguliwa kushiriki katika kutoa huduma za ugani kwa wafugaji walioko maeneo ya Dar es Salaa, Pwani, Morogoro na Tanga.

Mshirika wa Price Water house Cooper (PwC), Bw.Nelson Msuya wakati wa hafla ya kuwapatia vyeti wauza wa pembejeo sita waliochaguliwa kushiriki katika kutoa huduma za ugani kwa wafugaji walioko maeneo ya Dar es Salaa, Pwani, Morogoro na Tanga.

Mkurugenzi wa Uzalishaji na Masoko  wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Bw.Steve Michael wakati wa hafla ya kuwapatia vyeti wauza wa pembejeo sita waliochaguliwa kushiriki katika kutoa huduma za ugani kwa wafugaji walioko maeneo ya Dar es Salaa, Pwani, Morogoro na Tanga.

Wadau mbalimbali wa sekta ya mifugo nchiniwakifuatilia hafla ya kuwapatia vyeti wauza wa pembejeo sita waliochaguliwa kushiriki katika kutoa huduma za ugani kwa wafugaji walioko maeneo ya Dar es Salaa, Pwani, Morogoro na Tanga.

Wauza pembejeo waliochaguliwa kushiriki katika kutoa huduma za ugani kwa wafugaji walioko maeneo ya Dar es Salaam, Pwani, Morogoro na Tanga wakipatiwa vyeti mara baada ya kufanya vizuri katika sekta hiyo.Zoezi la utoaji vyeti limefanyika leo Jijini Dar es Salaam.

(PICHA ZOTE NA EMMANUEL MBATILO)

*********************

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM

Sekta ya mifugo sasa inachangia uchumi wa nchi zaidi ya asilimia 7.4% na mwaka huu wa fedha unaoisha, sekta hii inakuwa kwa asilimia 5% lengo likiwa kufikia mara mbili kwenye mchango wa uchumi na kuweza kufikia angalau asilimia 15 ifikapo mwaka 2025.

Ameyasema hayo leo Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel wakati wa hafla ya kuwapatia vyeti wauzaji wa pembejeo sita waliochaguliwa kushiriki katika kutoa huduma za ugani kwa wafugaji walioko maeneo ya Dar es Salaa, Pwani, Morogoro na Tanga.

Amesema uzalishaji wa maziwa nchini umefikia bilioni 3.4 ikiwa maziwa yanayosindikwa ni lita milioni 75 hii inamaana inaleta wawekezaji  wengi kuja kuchakata na kuleta thamani kwasababu wateja wananunua maziwa ambayo yameongezwa thamani .

"Takwimu zinaonesha katika lita bilioni 3.4 maziwa yanayotka kwenye ng'ombe wa kienyeji ni lita bilioni 2.38 kwahiyo lita bilioni 1.2 tu zinaonesha zinatokana na ng'ombe wa maziwa". Amesema  Prof. Ole Gabriel.

Aidha amesema Tanzania ni nchi ya pili kwa wingi wa mifugo barani Afrika ambapo inazaidi  ya ng'ombe milioni 33.9 na mbuzi wameshafika zaidi ya milioni 22 wakati kondoo wamefika takribani milioni 6, kuku wamefikia milioni 87.7.

Kwa upande wake Mratibu wa Mradi wa AgResults Tanzania Dairly Productivity Challenge Bi.Neema Mrema amesema kuwa kupitia mradi huo wana matokeo mazuri wameyaona ambapo kuna ng'ombe 558 tayari wana mimba na wengine tayari wameshapata watoto pia kuna ng'ombe 336 ambao wameogeshwa kitaalamu na vilevile kuna ng'ombe 62 ambao hao wamepata chanjo kuanzia mbili na kuendelea.

"Wauza pembejeo hawa wameweza kuwafikia wafugaji 2776 na kuuza pembejeo nne ambazo ni vidhibiti vimelea, Chanjo, lishe uhimilishaji pia mpaka sasa tuna ng'ombe 17,000 ambao wamepata huduma mbalimbali za lishe katika kuongeza afya bora na pia kuweza kupata maziwa yaliyobora". Amesema Bi.Mrema.

Amesema kuwa mradi huo una malengo matatu ambapo lengo la kwanza ni kuongeza uzalishaji na tija ya maziwa kwa wafugaji wadogowadogo, kuongeza kipato kwa wafugaji wadogowadogo wa maziwa, kuleta uwiano sahihi na kuboresha mifumo ya uendeshaji wa shughuli katika sekta ya maziwa .

 Hata hivyo Bi.Mrema amesema washiriki sita wa mradi huo kutoka sekta binafsi wamepata tuzo na motisha ya dola za kimarekani 27,000 kwa pembejeo 4116 zilizokamilika ili waweze kuendelea kutoa huduma  na kuongeza uzalishaji wa maziwa na kukidhi soko la Tanzania.

Share:

Tanzia : ALIYEKUWA MWENYEKITI WA CHAMA CHA MPIRA WA MIGUU SHINYANGA 'SHIREFA' BENESTA RUGORA AFARIKI DUNIA

 

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Shinyanga (SHIREFA)  kwa muda mrefu Benesta Rugora amefariki dunia leo Jumatano Juni 30,2021 saa  8: 30 mchana wakati akiendelea kupata matibabu katika hospitali ya Rufaa Bugando jijini Mwanza.

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger