Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Shinyanga (SHIREFA) kwa muda mrefu Benesta Rugora amefariki dunia leo Jumatano Juni 30,2021 saa 8: 30 mchana wakati akiendelea kupata matibabu katika hospitali ya Rufaa Bugando jijini Mwanza.
0 comments:
Post a Comment