Friday 22 January 2021
AMUUA MDOGO WAKE KISA KUKU KUINGIA KWENYE SHAMBA LAKE
SIMBA YATANGAZA MICHUANO YAKE....KOCHA MPYA KUTANGAZWA KESHO
WALIMU WAWILI MKOANI NJOMBE WATIWA MBARONI KWA KUMTOA MIMBA MWANAFUNZI
Na Amiri Kilagalila, Njombe
JESHI la Polisi mkoani Njombe linawashikilia walimu wawili wa shule ya sekondari Mang’oto wilayani Makete mkoani Njombe kwa tuhuma za kumsababishia ujauzito na kumtoa mwanafunzi wa shule hiyo mwenye umri wa miaka 17.
Akizungumza na vyombo vya habari, kamanda wa jeshi la Polisi mkoa wa Njombe, Hamis Issa amesema wanamshikilia mwalimu Ezekiel Thomas (36) maarufu kwa jina la Dokole kwa kuwa na mahusiano na mwananfunzi na kumsababishia ujauzito.
“Huyu mwalimu amekuwa na mahusiano na mtoto wa sekondari mwenye umri wa miaka 17 na binti huyo amepimwa amegundulika ni mjamzito.” Alisema kamanda Issa
Aidha amesema wanamshikilia mwalimu, Ben Liamdilo (35) kwa kushirikiana katika tukio la utoaji wa mimba na kumsababishia maumivu mwanafunzi huyo.
“Mwalimu Thomas alifanya juhudi akamtuma huyu mwalimu mwenzake akambeba na boda boda kwenda kumtoa mimba mpaka sasa hivi walimu wote wawili tunawashikilia na wanatuhumiwa na makosa haya.”Alisema kamanda Issa
Vile vile ameitaka jamii kushirikiana kwa kutoa taarifa kwa jeshi la Polisi ili kukabiliana na vitendo kama hivyo.
WAZIRI MKUU ACHANGISHA SH. MILIONI 18.9 KUMSAIDIA MTOTO MIRIAM
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameendesha harambee ya papo kwa papo na kuchangisha sh. milioni 18.9 ambapo kati ya hizo, sh. milioni 10 zimetolewa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli.
“Mheshimiwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli anafuatilia tukio hili na amesema anamchangia Miriam shilingi milioni 10 ili ziweze kumsaidia katika mtaji wa biashara na umaliziaji wa ujenzi wa vyumba vya kupangisha”
Fedha hiyo ilichangishwa kwa ajili ya Miriam Msagati, binti mwenye ulemavu wa mwili ili ziweze kumsaidia kama mtaji wa biashara na uendelezaji wa ujenzi wa vyumba vya kupangisha katika nyumba ambayo amekabidhiwa leo (Ijumaa, Januari 22, 2021) na Waziri Mkuu. Gharama ya ujenzi wa nyumba na samani zilizomo ndani ni sh. milioni 47.32.
Waziri Mkuu ameendesha harambee hiyo kwenye kitongoji cha Fune, kata ya Mombo wilayani Korogwe baada ya kumkabidhi binti huyo nyumba aliyojengewa na wadau mbalimbali kutokana na mchango ulioasisiwa na Waziri Mkuu Machi 5, 2020 alipomtembelea Miriam na kumpatia mchango wa sh. milioni 5 za kuanza ujenzi wa nyumba hiyo.
Waziri Mkuu alimsaidia Miriam baada ya kumsikia binti akimuomba amsaide kupata makazi yeye na bibi yake kupitia kipindi cha Wape Nafasi kinachoongozwa na Tuma Dandi, mtangazaji wa Shirika la Utangazi Tanzania (TBC1).
Baada ya Waziri Mkuu kukabidhi nyumba hiyo, aliwaomba wadau wamchangie Miriam fedha ili apate mtaji pamoja na umaliziaji wa vyumba vya kupangisha ili aweze kujitegemea.
Akiwa bado anaendesha harambee hiyo, Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan alizungumza na wananchi hao kupitia simu aliyompigia Waziri Mkuu, ambapo alimpongeza kwa kuhakikisha Miriam anapata makazi bora. “Nimeona kazi kubwa iliyofanyika hapo, hongereni sana Waziri Mkuu pamoja na uongozi wa mkoa wa Tanga nami namuongezea shilingi milioni tano afanye mtaji.”
Kwa upande wake, Miriam baada ya kukabidhiwa nyumba hiyo alimshukuru Rais Dkt. Magufuli, Makamu wa Rais Mama Samia, Waziri Mkuu kwa uongozi wao wenye kujali wanyonge.
Alisema Tanzania imepata kiongozi mzuri anayewajali wanyonge, hivyo ameahidi kuwaombea kwa Mwenyezi Mungu awazidishie baraka ili wapate mafanikio mazuri zaidi.
“Siwezi kusahau kitu kama hiki, Mwenyezi Mungu ameniona, Mwenyezi Mungu awabariki watu wote walioshiki katika kufanikisha jambo hili kwani mmeweka hazina yenu kwa Mungu.”
Kwa upande wake, Muandaaji wa Kipindi cah Wape Nafasi, Tuma Dandi alitumia fursa hiyo kuishukuru Serikali ya Awamu ya Tano kwa namna inavyoshughulikia masuala mbalimbali ya watu wenye mahitaji maalumu.
“Nimeishiwa maneno, leo ni siku nyingine ambayo itaingia katika historia ya maisha yangu. Ninamshukuru Mwenyezi Mungu na Serikali kwa kufanikisha jambo hili kwani watu wenye ulemavu ni sehemu ya Watanzania ambao wanapaswa kuishi kama wengine.”
(mwisho)
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
Livelihood Enhancement Manager
This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content
Livelihood Enhancement Manager The United Republic of Tanzania President’s Office TANZANIA SOCIAL ACTION FUND Tanzania Social Action Fund (TASAF) is currently implementing Productive Social Safety Net Program which aims at protecting the vulnerable poor households from severest consequences of poverty by implementing interventions that will lead to increased household incomes and opportunities while increasing […]
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
Head of Communication and Public Relations at Sawa Initiative
This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content
Head of Communication and Public Relations SAWA INITIATIVE ORGANIZATION announces volunteering opportunity in. Instructions: The email subject must be the position you are applying for eg; “PROJECT COORDINATOR” These positions are for applicants with bachelor degree in related field. Masters degree will be an added advantage. We only accept CV and applications letters. […]
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
Project Coordinator at Sawa Initiative
This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content
Project Coordinator (Volunteering) SAWA INITIATIVE ORGANIZATION announces volunteering opportunity in. Instructions: The email subject must be the position you are applying for eg; “PROJECT COORDINATOR” These positions are for applicants with bachelor degree in related field. Masters degree will be an added advantage. We only accept CV and applications letters. CV should have maximum […]
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
Project Head at Sawa Initiative
This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content
Project Head (Volunteering) SAWA INITIATIVE ORGANIZATION announces volunteering opportunity in. Women applicants will be priotized for this position. Instructions: The email subject must be the position you are applying for eg; “PROJECT COORDINATOR” These positions are for applicants with bachelor degree in related field. Masters degree will be an added advantage. We only accept […]
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
34 Job Opportunities at Startimes
This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content
StarTimes Group was founded in 1988. It is the most influential system integrator, technology provider, network operator, and content provider in China’s television broadcasting industry, and it is on its way to become a media group with global influence. With a global vision, StarTimes began to expand its business to Africa in 2002, and has […]
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
Assistant Quality Assurance Officer at NHIF
This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content
POST: ASSISTANT QUALITY ASSURANCE OFFICER III – 1 POST POST CATEGORY(S) HEALTHCARE AND PHARMACEUTICAL EMPLOYER Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) APPLICATION TIMELINE: 2021-01-20 2021-02-03 DUTIES AND RESPONSIBILITIES To conduct inspection and supportive supervisions of health facilities. To deal with verification and checking of prescriptions; To make researches or market surveys with a view […]
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
Communication and Member’s Affairs Officer at LHRC
This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content
Public Relations, Communication and Member’s Affairs Officer The Legal and Human Rights Centre (LHRC) is a Tanzanian, non-governmental organization that is private, voluntary, non-partisan, and not-for-profit sharing organization. It is registered and incorporated under the Companies (Act), Cap. 212, R.E. 2002, as a company without shares limited by guarantee, it has been in operation […]
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
Research Associate, E-Savings at Innovations for Poverty Action (IPA)
This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content
Research Associate, E-Savings Innovations for Poverty Action (IPA) seeks a Research Associate (RA) to support IPA-Tanzania, on the project “E-Savings.” This project will rigorously evaluate the role of intra-household bargaining on the take-up, usage, and effects of e-savings accounts offered to women in Tanzania. The RA will support completion of a baseline survey and […]
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
Mechanical Engineer at Gas Entec Co Ltd
This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content
Mechanical Engineer PROJECT TITLE: CONSTRUCTION OF 1200 PASSENGER FERRY SHIP DESIGNATION: MECHANICAL ENGINEER (1 POST) PLACE OF WORK: MWANZA DUTIES & RESPONSIBILITIES Read and interpret blueprints, technical drawings, schematics, or computer-generated reports. Research, design, evaluate, install, operate, or maintain mechanical products, equipment, systems or processes to meet requirements. Confer with engineers or other personnel to […]
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details