Saturday 8 August 2020

Manyanya Ataka Tume Ya Uchaguzi Kuchukua Hatua Kwa Wacheza Faulo

Na Mwandishi wa NEC
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetakiwa kuchukua hatua inapoona faulo za wazi wazi hasa wakati huu ambapo michakato mbalimbali ya uchaguzi inaendelea nchini.

Tayari Fomu za Uteuzi Kwa nafasi ya wanaogombea Kiti cha Rais zimeanza kutolewa tangu Agosti 5 hadi 25 mwaka huu na kwa upande wa Ubunge na Udiwani fomu za uteuzi kwa wagombea  zitaanza kutolewa Agosti 12 hadi Agosti 25, mwaka huu.

Akizungumza kwenye banda la NEC jana kwenye maonesho ya wakulima yanayofanyika katika viwanja vya nane nane Nzuguni Jijini hapa, Naibu Waziri wa Viwanda Injinia Stella Manyanya alisema kazi kubwa inayofanywa na tume imekuwa ikionekana hasa katika michakato ya uchaguzi kuelekea kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 28, mwaka huu.

” Kazi kubwa inafanyika lakini kazi iliyo mbele ni ngumu kwani kuna watu wanagombea kwa kufuata taratibu lakini wengine sivyo, kuna maneno ya hovyo hovyo, kuchafuana  hata kabla ya kuchukua fomu za uteuzi mambo mengi yanaonekana, mkiona faulo za wazi wazi mchukue hatua hata vyombo vya sheria vichukue hatua ili uchaguzi uwe wa haki,” alisema

Alisema pia kuna haja ya kuhakikisha elimu wanazotoa zinawafikia wananchi waliopo vijijini na kuweka mazingira ya kupata elimu kwa makundi mbalimbali ikiwemo wajasiriamali na makundi maalum ikiwemo walemavu.

Alisema, taifa linakwenda kufanya maamuzi magumu kwa kuchagua kiongozi anayefaa kuliongoza taifa.

“Taifa linakwenda kufanya maamuzi magumu ya nchi yetu sio maamuzi ya mtu ni maamuzi ya hatma ya taifa, tukachague kiongozi mwenye mapenzi mem ana nchi yetu atakayelifanya taifa lizidi kusonga mbele,” alisema.

Alisema kila mmoja anatakiwa kuzingatia kanuni na taratibu na wananchi wasikubali kutumika na kikundi chochote kwa kufanya mambo yanayohatarisha amani.

Alivitaka vyama vya siasa kuheshimu sheria za nchi ili uchaguzi ufanyike kwa haki na amani.

“Uchaguzi ni wakati wa kufanya maamuzi sahihi,” alisema

Pia alisema baadhi ya watu wamekuwa wakidai kuwe na tume huru ya uchaguzi.

“Tume iliyopo ni huru, twende kwenye uchaguzi sasa,” alisema.

Kwa upande wake, Ofisa Elimu Idara ya Habari na Elimu kwa Mpiga Kura, Johari Mutani alisema Tume ya Taifa ya Uchaguzi wamejipanga katika maandalizi ya uchaguzi.

“ Tulifanya uboreshaji wa daftari awamu ya kwanza, kisha awamu ya pili, ucjakataji wa taarifa za daftari ukawa unaendelea sasa tume itaanza kutoa fomu kwa wagombea wa Ubunge na Udiwani Agosti 12, mwaka huu,” alisema.

Alisema wanawafikia wananchi kwa kutoa elimu kwa njia mbalimbali, ikiwemo matangazo, vipindi vya redio, blogs na kuweza kukutana moja kwa moja na wapiga kura.

Kwa Mujibu wa Ratiba iliyotolewa na NEC, Uchaguzi wa Rais Wabunge na madiwani utafanyika Oktoba 28, mwaka huu.

Fomu za uteuzi kwa wagombea wa kiti ya Rais na Makamu wa Rais zitaanza kutolewa Agosati mosi hadi Agosti, 25 mwaka huu katika ofisi za NEC Njedengwa Jijini Dodoma.

Pia fomu za uteuzi kwa wagombea ubunge zitaanza kutolewa Agosti 12 hadi Agosti 25 mwaka huu katika ofisi za halmashauri husika.

Fomu za uteuzi kwa wagombea udiwani zitaanza kutolewa Agosti 12 hadi Agosti 25 katika ofisi za kata husika.

Aidha uteuzi wa wagombea kiti cha Rais,  Makamu wa Rais, Ubunge na Udiwani utafanyika Agosti 25, mwaka huu.

Kampeni za uchaguzi zitaanza Agosti 26 na hadi Oktoba 27, mwaka hu una Oktoba 28, mwaka huu itakuwa siku ya uchaguzi Mkuu.

Mwisho


Share:

Halmashauri Ya Mji Kahama Yawatoza Faini Watu 100 Waliobainika Kukiuka Sheria Za Usafi Wamazingira

SALVATORY NTANDU
Zaidi ya watu 100 wametozwa faini na Halmashauri ya Mji wa Kahama mkoani Shinyanga  baada ya  kubainika kuunganisha mifumo ya maji taka kutoka katika nyumba zao na kuielekeza kwenye mitaro  ya barabara kinyume na sheria ya Mazingira

Kauli hiyo imetolewa jana na Afisa Mazingira wa Halmashauri hiyo, Johanes Mwebesa wakati akizungumza na Waandishi wa Habari ofisini kwake kuhusiana na namana zoezi hilo lilivyofanyika tangu Januari-Julai 2020 katika maeneo mbalimbali Mjini Kahama.

Alisema kuwa Oparesheni ya mtaa kwa mtaa inaendelea kila siku katika kata 12 zilizopo Mjini kuwa kuwashirikisha maafisa afya wa kata hizo ili kuhakikisha utiririshaji wa maji taka katika mitaro ya barabara linatokomezwa haraka.

“Wakati tunafunga mwaka wa fedha Julai 2020 jumla ya wananchi 120 waliokuwa wametozwa faini ya zaidi ya shilingi milioni 20 kutokana na uchafuzi wa mazingira kutokana na kutozingatia sheria ndogo za halmashauri ya Mji ya Usafi wa Mazingira,”alisema Mwebesa.

Alifafanua kuwa wanaendelea kutoa elimu kwa wananchi kupitia vyombo vya habari ili kudhibiti utiririshwaji wa Maji taka katika mitaro kwa kuwahamasisha kujenga makaro ya kuhifadhia  maji hayo katika nyumba zao ili kutunza mazingira.

Sambamba na hilo Mwebesa alisema kuwa Halmashauri hiyo inazalisha taka ngumu zaidi ya Tani 100 kwa siku ambapo kwa sasa wametoa zabuni kwa kampuni mbalimbali za uzoaji taka katika kata 20 ili kuhakikisha Mji unakuwa katika hali ya Usafi.

“Nitoe rai kwa wananchi wahakikishe wanalipa tozo za usafi,wasafishe mitaro,maeneo yao ya makazi na biashara pamoja na kuwa na vifaa vya kuhifadhia taka ngumu ili kurahisisha zoezi la usafirishaji wa taka hizo unaotekelezwa na wazambuni mbalimbali waliopewa kandarasi,”alisema Mwebesa.

Mwisho.



Share:

PLUMBER II (5-POSTS) Internship at IGUWASA

INTERNSHIP OPPORTUNITIES. he Igunga urban water supply and sanitation authority (IGUWASA) is a legally established entity for the overall operations and management of water supply and sanitation services in Igunga town. It is among of the best Authorities in Tanzania. The core function of the Authority is to provide clean, portable and safe water to […]

The post PLUMBER II (5-POSTS) Internship at IGUWASA appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

WATER TECHNICIAN II (WATER SUPPLY) Internship at IGUWASA

INTERNSHIP OPPORTUNITIES. The Igunga urban water supply and sanitation authority (IGUWASA) is a legally established entity for the overall operations and management of water supply and sanitation services in Igunga town. It is among of the best Authorities in Tanzania. The core function of the Authority is to provide clean, portable and safe water to […]

The post WATER TECHNICIAN II (WATER SUPPLY) Internship at IGUWASA appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

WATER ENGINEER II Internship at IGUWASA

INTERNSHIP OPPORTUNITIES. The Igunga urban water supply and sanitation authority (IGUWASA) is a legally established entity for the overall operations and management of water supply and sanitation services in Igunga town. It is among of the best Authorities in Tanzania. The core function of the Authority is to provide clean, portable and safe water to […]

The post WATER ENGINEER II Internship at IGUWASA appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

METER LEADERS Internship at IGUWASA

The Igunga urban water supply and sanitation authority (IGUWASA) is a legally established entity for the overall operations and management of water supply and sanitation services in Igunga town. It is among of the best Authorities in Tanzania. The core function of the Authority is to provide clean, portable and safe water to Igunga District […]

The post METER LEADERS Internship at IGUWASA appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi August 8

















Share:

Friday 7 August 2020

MGAYWA ACHUKUA FOMU KUGOMBEA URAIS TANZANIA KUPITIA CHAMA CHA SAU AKIWA PEKU NA WENZAKE


Mgombea Urais kupitia chama cha SAU Muttamwega Mgaywa (Kulia), alipowasili ofisi za NEC Dodoma peku akiwa na wenzake.

Mgombe Urais kupitia chama cha Sauti ya Umma (SAU), Muttamwega Mgaywa, ametaja sababu iliyopelekea kwenda kuchukua fomu ya kugombea nafasi hiyo akiwa peku bila viatu na kusema kuwa kitendo hicho kinaashiria utetezi wao kwa wakulima kwakuwa hakuna anayelima akiwa na viatu.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Agosti 7, 2020, mara baada ya kuwasili ofisi za NEC Jijini Dodoma, wakiwa peku hali iliyozua maswali na sintofahamu kwa watu wengi, huku wao wakitaja vipaumbele vyao kwamba lengo lao ni kumuinua mkulima kwa kuhakikisha anauza mazao yake kwa bei yenye tija.

"Sisi ni watoto wa wakulima na mkulima halimi na viatu na ndiyo mwenye shida, kuna Watanzania wengi mpaka leo hawana viatu, sisi ndiyo watetezi wa wanyonge tunataka vipaumbele vyetu viwe ni amani, upendo na umoja cha pili ni kilimo tunataka tumkomboe mkulima apate bei nzuri ya Pamba kwa 5000, Korosho 5000 na Kahawa ni 5000 kwa kilo" amesema Muttamwega Mgaywa.

Muttamwega Mgaywa pamoja na mgombea mwenza Satia Mussa wamejitokeza leo katika ofisi za Tume ya Uchaguzi jijini Dodoma kuchukua fomu za uteuzi wa urais kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu ujao wa mwezi Oktoba mwaka huu.

Chanzo - EATV
Share:

Assistant Accountant at ABC Primary and Nursery School

ABC PRIMARY AND NURSERY SCHOOL Is looking for the competent accountant and assistant accountant with the following qualifications:  Diploma in accounting Certificate school in advanced level secondary Certificate school in ordinary level secondary  knowledge in tally accounting system Fluency in speaking english SEND YOUR APPLICATION TO: DIRECTOR ABC PRIMARY AND NURSERY SCHOOL P. O. BOX […]

The post Assistant Accountant at ABC Primary and Nursery School appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Market Development Analysts at Agricultural Markets Development Trust (AMDT)

Market Development Analyst ( 3 Positions ) Job Overview This is a key position within AMDT. The Market Development Analyst will be responsible for championing the M4P approach through quality of market systems development analyses, interventions designs and timely reporting of results in the selected value chains. S/he has the responsibility of managing projects partners and […]

The post Market Development Analysts at Agricultural Markets Development Trust (AMDT) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Senior Strategic Communications Officer at Agricultural Markets Development Trust (AMDT)

Senior Strategic Communications Officer  Job Overview This is a senior position within AMDT and instrumental in compiling and translating information from interventions into knowledge that can be shared internally and externally with other interested development stakeholders including the beneficiaries and the Government. The Senior Strategic Communications Officer will oversee the development of the AMDT Communication […]

The post Senior Strategic Communications Officer at Agricultural Markets Development Trust (AMDT) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Administrative Assistant at Agricultural Markets Development Trust (AMDT)

Administrative Assistant   Job Overview Administrative Assistant will be responsible for carrying out day to day office administration, logistics and general outlook of the office. Job Description The Agriculture Markets Development Trust (AMDT) has been established by the Governments of Denmark, Ireland, Sweden and Switzerland in 2014 and the current Trustee is KPMG. The Trust has […]

The post Administrative Assistant at Agricultural Markets Development Trust (AMDT) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Program Manager – Results Measurement at Agricultural Markets Development Trust (AMDT)

Program Manager – Results Measurement   Job Overview This is a key position aimed at ensuring that AMDT supports pro-poor market systems developments based on the selected portfolios(value chains).The position holder is responsible for coordination of various data which then informs the progress made on the interventions by implementing partners and stakeholders.The main role of the […]

The post Program Manager – Results Measurement at Agricultural Markets Development Trust (AMDT) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Human Resources and Administration Officer (HRAO) at AMDT

Job Title : Human Resources and Administration Officer (HRAO) Reports to : Head of Operations (HoO) Position summary Human Resources and Administration Officer (HRAO) plays a critical function within the day to day operations of the Trust. The position holder is responsible for the overall coordination of human resources and administration matters pertaining to the Trust […]

The post Human Resources and Administration Officer (HRAO) at AMDT appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Picha : TVMC YAKUTANA NA VIONGOZI WA MTAKUWWA...WAJUMBE WATAKIWA KUWA WABUNIFU ZAIDI KUPATA TAARIFA MATUKIO UKATILI WA KIJINSIA

Share:

Specialist; Electronic Banking at NMB Bank

Specialist; Electronic Banking  Job Overview Job Purpose To provide system and customer support issues, interacting with by phone, face-to-face contact, and through internal users. Main Responsibilities Fully maintain new and existing customers subscribed to EB products through timely support, installation, and training Fully ensure adherence to operational framework in line with NMB Policy controls and […]

The post Specialist; Electronic Banking at NMB Bank appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Tax Manager at Total Tanzania

Tax Manager Job Overview Job Description Tax Affairs (Total Tanzania Ltd & Gapco Tanzania Ltd) Ensure Companies’ compliance with tax provision (planning, accounting and payment) for direct and indirect taxes. Corporate Income Taxes: preparation of monthly estimates for the P&L; Preparation of quarterly instalments and preparation of annual tax returns. VAT: ensure efficiency and compliance; […]

The post Tax Manager at Total Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger