Wednesday 29 April 2020
DAKTARI WA WAGONJWA WA CORONA AJIUA
AKAMATWA KWA KUSAMBAZA UONGO MTANDAONI KUWA DAWA YA COVID 19 NI KUNYWA NA KUJIPAKA PILIPILI NA UPUPU
TULONGE AFYA YAZINDUA KIPINDI CHA 'WASHA KIDEO NA SITEREREKI' LIVE MTANDAONI KUELIMISHA VIJANA MASUALA YA AFYA 'COVID- 19'
DOWNLOAD - PAKUA APP YA MALUNDE 1 BLOG ...TUKUTUMIE HABARI ZOTE BURE KWENYE SIMU YAKO
Pakua App mpya ya Malunde 1 blog imeboreshwa zaidi ili kukidhi mahitaji ya wasomaji wetu. Hii ndiyo mpya kabisa,ina alama hii ↡↡
Serikali Itaendelea Kuwakinga Watumishi Wa Afya Ili Wasipate Maambukizi Ya Ugonjwa Wa Covid – 19
Tuesday 28 April 2020
BENKI YA CRDB YAZINDUA KAMPENI YA 'POPOTE INATIKI' KUHAMASISHA WATEJA KUTUMIA MIFUMO YA KIDIJITALI
“Kupitia mifumo hii ya kidijitali hamlazimu mteja kufika katika tawi ili kupata huduma, popote pale Ulipo, uwe mjini, kijijini, nyumbani au mtaani, ndani ya nchi au nje ya nchi, muda wa kazi au muda ambao sio wa kazi, masaa 24 tunakuwezesha kufanya miamala yako ya kwa uharaka, unafuu na usalama, na ndio maana tunasema ‘POPOTE INATIKI’,” alisema Dkt. Witts. Dkt. Witts alisema malengo ya kampeni hiyo ya ‘POPOTE INATIKI’ ni kuona wateja wengi zaidi wakitumia mifumo ya kidijitali jambo litakalo saidia kuongeza ufanisi katika sekta nyengine za maendeleo kwani muda ambao mteja angetumia kwenda benki sasa utatumika katika shughuli za uzalishaji. “Malengo yetu mpaka kufikia mwishoni mwa mwaka huu ni kuona zaidi asilimia 90 ya miamala ya wateja inafanyika kupitia mifumo ya kidijitali,” alisema Dkt. Witts.
“Ukitazama kwa upande wa mawakala sasa hivi tuna Zaidi ya CRDB Wakala 14,000 nchi nzima ambao wamefika katika kila kila kijiji, kila tarafa, kila kata,” aliongezea Dkt. Witts huku akibainisha kuwa mbali na kusogeza huduma karibu zaidi na wateja CRDB Wakala pia inasaidia kutoa ajira kwa Watanzania.
LHRC KUZINDUA RIPOTI YA HAKI ZA BINADAMU TANZANIA 2019 KWA NJIA YA MTANDAO
Education Technical Experts at Palladium- Tanzania
Palladium is recruiting for Education experts for an upcoming flagship programme in Tanzania aimed at improving the quality of education for girls and boys in the country. Shule Bora will aim to reach all 11.5 million girls and boys in primary and pre-primary schools in Tanzania, working closely with the government of Tanzania to design and deliver reform and interventions across the country. Our education technical… Read More »
The post Education Technical Experts at Palladium- Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.
WALIOWEKWA KARANTINI WATISHIA KUJIUA
TRUMP AITISHIA CHINA KULIPA FIDIA KISA CORONA
Grants and Finance Officer – S&O-USAID Boresha Afya Merkle Tanzania
Consulting – Grants and Finance Officer – S&O-USAID Boresha Afya Merkle Tanzania Job Description Grants and Finance Officer The Grants & Finance Officer will be responsible for reviewing payment requests and making accountability on grants disbursed to sub grantees. This position reports directly to the Senior Grants & Finance Officer and Grants Manager. What You Will Do/Specialized Competencies… Read More »
The post Grants and Finance Officer – S&O-USAID Boresha Afya Merkle Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.
Engineers- CEMENT Industry- Process, Mechanical, Electrical, Production- Tanzania Achyutam International Dar es Salaam, Tanzania
Achyutam International has been mandated by a leading Cement producers to look for Engineers for their production unit There are three positions Process Engineer – 1 No Mechanical Engineer – 1 No Electrical Engineer -1 No Candidates need To be technically qualified and should posses minimum Bachelors degree and working experience with either Cement Manufuctring Plants or in… Read More »
The post Engineers- CEMENT Industry- Process, Mechanical, Electrical, Production- Tanzania Achyutam International Dar es Salaam, Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.
Expressions of Interest – Technical Leads for Tanzania Education Development Trust Dodoma, Tanzania
Expressions of Interest – Technical Leads for Tanzania Education Development Trust Dodoma, Tanzania Education Development Trust is inviting expressions of interest from experienced technical experts to join the implementation team of an anticipated six-year programme, Shule Bora, to improve quality, inclusivity, and safety of learning for all 11.5 million children in government pre-primary and primary schools in Tanzania. In addition to providing support to… Read More »
The post Expressions of Interest – Technical Leads for Tanzania Education Development Trust Dodoma, Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.