Thursday 23 January 2020
GST Yaibua Maeneo Mapya Utalii Wa Jiolojia.....Kamati yataka Sheria ya MRI kuharakishwa
PLANT INSPECTOR II – 1 POST | Occupational Safety and Health Authority (OSHA)
POST PLANT INSPECTOR II – 1 POST POST CATEGORY(S) ENGINEERING AND CONSTRUCTION EMPLOYER Occupational Safety and Health Authority (OSHA) APPLICATION TIMELINE: 2020-01-22 2020-02-05 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. Carry out work place inspections and keep records; ii. Conduct plant safety risk assessment; iii. Compile and prepare monthly and annual reports; iv. Planning and implementing specific plant… Read More »
The post PLANT INSPECTOR II – 1 POST | Occupational Safety and Health Authority (OSHA) appeared first on Udahiliportal.com.
Wanafunzi 900 Wa Kidato Cha Tano Na Sita Mkoani Tabora Wapigwa Msasa Kuhusu Sekta Ya Angaa Na TCAA
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Manyara Laendelea Kuusaka Mwili wa Mtoto Aliyesombwa na Maji kwa Siku Tatu sasa
LIQUORER GRADE II – 1 POST – Tanzania Coffee Board
POST LIQUORER GRADE II – 1 POST POST CATEGORY(S) RESEARCH,SCIENCE AND BIOTECH EMPLOYER Tanzania Coffee Board APPLICATION TIMELINE: 2020-01-22 2020-02-05 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. Carries out coffee roasting outturns and pre-auction cupping preparations; ii. Safe keeps and updates liquoring files of catalogues; iii. Assists in writing bulking instructions and dispatches them to factories; iv. Conducts… Read More »
The post LIQUORER GRADE II – 1 POST – Tanzania Coffee Board appeared first on Udahiliportal.com.
Zaidi ya mifuko mbadala 1400 isiyokuwa na viwango yakamatwa Njombe
Waziri Mpina Aunda Timu Uchunguzi Ukwepaji Wa Kodi Kampuni Ya Ufugaji Samaki
Serikali Kuipatia Bilioni Mbili Kcmc Kwa Ajili Ya Jengo La Mionzi
TUTORIAL ASSISTANT – 3 POST – Dar es Salaam Maritime Institute (DMI)
POST TUTORIAL ASSISTANT – 3 POST POST CATEGORY(S) TRANSPORT AND LOGISTICS WATER, MINING AND NATURAL RESOURCES EMPLOYER Dar es Salaam Maritime Institute (DMI) APPLICATION TIMELINE: 2020-01-22 2020-02-05 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.Teach up to NTA level 6 (Ordinary Diploma); ii.Assist in conducting tutorial, seminars and practical exercises for students under close supervision; iii.Prepare learning resources for… Read More »
The post TUTORIAL ASSISTANT – 3 POST – Dar es Salaam Maritime Institute (DMI) appeared first on Udahiliportal.com.
QUAULITY ASSURANCE OFFICER III – 15 POST AT NHIF
POST QUAULITY ASSURANCE OFFICER III – 15 POST POST CATEGORY(S) HEALTHCARE AND PHARMACEUTICAL EMPLOYER Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) APPLICATION TIMELINE: 2020-01-22 2020-02-05 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.Conduct inspection and supportive supervisions of health facilities; ii.Deals with verification and checking of prescriptions; iii.Makes researches or market surveys with a view to establishing the… Read More »
The post QUAULITY ASSURANCE OFFICER III – 15 POST AT NHIF appeared first on Udahiliportal.com.
Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) Jobs | CBE, SUA, OSHA, TCB, KCMC,ISW ,TBC, EASTC, MUHAS,NHIF , (IFM
VACANCIES ANNOUNCEMENT Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) on behalf of Sokoine University of Agriculture (SUA), College of Business Education (CBE), Occupational Safety and Health Authority (OSHA), Tanzania Coffee Board (TCB), Kilimanjaro Christian Medical Centre (KCMC), Institute of Social Work (ISW) and Tanzania Broadcasting Corporation (TBC) East Africa Statistical Training Centre (EASTC), Muhimbili University of Health and Allied Sciences… Read More »
The post Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) Jobs | CBE, SUA, OSHA, TCB, KCMC,ISW ,TBC, EASTC, MUHAS,NHIF , (IFM appeared first on Udahiliportal.com.
Wednesday 22 January 2020
T-MARC TANZANIA YATOA MSAADA WA DIAPERS ZA SMILEY HOSPITALI YA MWANANYAMALA, DAR ES SALAAM
Mkurugenzi wa bidhaa za kijamii wa T-MARC Tanzania , Flavian Ngole, (kulia) akikabidhi msaada wa diapers mpya za Smiley zilizozinduliwa katika soko nchini karibuni na T-MARC, kwa mzazi, Rebecca Nelson, katika wodi ya wazazi ya hospitali ya Mwananyamala jijiji Dar es Salaam, wakati wa hafla ya taasisi hiyo kukabidhi msaada wa bidhaa hizo hospitalini hapo , (katikati) ni Balozi wa Smiley , Dinah Marrios, wengine (kutoka kushoto) ni Muuguzi Mkuu wa Hospitali hiyo , Dk.Mussa Wambura na Muuguzi Rosa Moses.
Wauguzi Waandamizi wa hospitali ya Mwananyamala wakipokea msaada wa Diapers za Smiley zlizozinduliwa hivi karibuni kutoka kwa Mkurugenzi wa bidhaa za kijamii wa T-MARC Tanzania, Flavian Ngole (kushoto) na balozi wa bidhaa hizo, Dinah Marrios.
WAZIRI MPINA AUNDA TIMU UCHUNGUZI UKWEPAJI WA KODI KAMPUNI YA UFUGAJI SAMAKI AINA KAMBAMITI
WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina (katikati) akiangalia namna vifaranga vya samaki aina ya Kambamiti vinavyozalishwa na Kampuni ya Aphakrust alipofanya ziara kukagua uzalishaji wa kampuni hiyo kisiwani Mafia. Kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, Ganeshan Vedagiri na Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Sera na Mipango Wizara ya Mifugo na Uvuvi, James Mganga. Picha na Mpiga Picha Wetu.
WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina akivua samaki aina Kambamiti alipotembelea mabwawa ya Kampuni ya Aphakrust kisiwani Mafia. Kwenda kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, Ganeshan Vedagiri na Mkurugenzi Ukuzaji Viumbemaji, Dk. Nazael Madala na Mkurugenzi wa Uvuvi, Magese Bulayi. Picha na Mpiga Picha Wetu.
WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Alphakrust, Ganeshan Vedagiri (katikati) alipotembelea mabwawa ya ufugaji kambamiti kisiwani Mafia mwingine Mkurugenzi Ukuzaji Viumbemaji, Dk. Nazael Madala. Picha na Mpiga Picha Wetu.
NA MWANDISHI WETU, MAFIA
WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina ameunda timu ya wataalamu kufanya uhakiki wa takwimu, mauzo, uzalishaji na uendeshaji wa Kampuni ya Alphakrust inayojishughulisha na uzalishaji wa samaki aina ya Kambamiti pamoja na uhalali wa mapato ya Serikali kufuati kuwepo udanganyifu kwenye biashara hiyo.
Kulingana na takwimu za mauzo ya Kambamiti nje ya nchi kampuni hiyo ilipaswa kulipa shilingi milioni 300 kama ushuru wa huduma kwa Halmashauri hiyo lakini imekuwa ikilipa shilingi milioni 100 kwa mwaka na hivyo kuipunja Serikali kiasi cha shilingi milioni 200 kila mwaka.
Waziri Mpina amebaini njama hiyo inayofanywa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia kwa kushirikiana na Mwekezaji wa Kampuni ya Alphakrust inayofuga samaki aina ya Kambamiti kisiwani humo kwa lengo la kuiibia Serikali mapato yake yanayotakiwa kutozwa kama ushuru wa huduma yaani ‘Service Levy’
Alisema Halmashauri ya Mafia imetengeza makadirio ya kutoza ushuru wa huduma ya shilingi milioni 9 kwa mwezi kutoka Kampuni ya Apha Krust na kuacha Kanuni maalumu iliyowekwa kwa mujibu wa Sheria ya ukokotoaji wa mapato yanayopatikana ya kutakiwa kulipa asilimia 3 ya mapato yote yanayopatikana kwenye biashara husika.
Udanganyifu huo umebainika wakati wa ziara ya Waziri Mpina ya kukagua Kituo cha kutotoleshea vifaranga na Shamba la ufugaji samaki aina ya Kambamiti lilomilikiwa na Kampuni ya Alphakrust kisiwani Mafia.
Waziri Mpina katika ziara hiyo aliambatana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Pwani, Ramadhani Maneno na Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Mafia ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya hiyo, Shaib Nnunduma, Wakurugenzi na Wataalamu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi.
Mpina alihoji iweje Halmashauri ya Mafia itoze ushuru kinyume cha Sheria wakati kanuni za ukokotoaji wa mapato zinajulikana na hivyo kuamini kuwa huo ni mkakati wa siri uliosukwa baina ya Halmashauri ya Mafia na Kampuni ya Apha Krust kwa lengo la kukwepa kulipa mapato stahiki ya Serikali.
“Haiwezekani Halmashauri ya Mafia ikaacha kufuata fumula ya uchukuaji wa ‘service levy’ uliowekwa na Serikali na kutengeneza utaratibu wake yenyewe..mwisho wa siku watu wa nje tunachoweza kukielewa ni njama inayowekwa baina ya Halmashauri na Mwekezaji kuiibia Serikali” alisema Mpina.
“Kwanini mkokotoo huo usizingatie sheria takwimu za makusanyo zipo, bei inayotumika kuuza na masafirisho ya nje ipo kwanini haikutumika kukokotoa..kwanini itumike fumula ya kukubalina nje ya utaratibu uliowekwa kwa mujibu wa sheria”alihoji Waziri Mpina.
Waziri Mpina alisema kama halmashauri inatoza fedha nyingi zaidi za ushuru wa huduma tofauti na iliyowekwa kwenye Sheria ni makosa kwani Serikali haiwezi ikatoza fedha ambazo haziko kwenye utaratibu wa sheria lakini kama halmashauri inakusanya fedha kidogo kuliko sheria inavyosema nalo ni kosa kwa mujibu wa sheria.
“Kwanini uchukue fedha kidogo wakati fomula ya kupata makusanyo halisi kwa niaba ya wananchi ipo..kwanini wewe utumie fumula ya kwako ya kubuni wewe wakati fumula ya kisheria ipo”alihoji Waziri Mpina.
Mbali na dosari hizo za ukwepaji kodi, Waziri Mpina alielezea kusikitishwa kwake na kitendo cha mwekezaji huyo kushindwa kuwashirikisha wananchi wanaozunguka eneo hilo kujifunza teknolojia hiyo ili kukuza sekta ya ukuzaji viumbe maji hasa ufugaji wa Kambamiti.
Alisema Serikali haijapokea maombi yoyote ya upungufu wa wataalamu wenye utaalamu na uzoefu maalum kuendesha mradi kwani wataalamu hao wanazalishwa katika vyuo vyetu kikiwemo Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) na Vyuo vya Wakala wa Elimu na Mafunzo ya Uvuvi (FETA).
“Mradi huu unaendeshwa kwa usiri na wivu mkubwa kiasi kwamba wananchi wa kawaida hawawezi kupata utaalamu kupitia mradi huu..kwenye taarifa yenu sikuona mkichukua vijana wanaomaliza vyuo au kuingia makubaliano na vyuo (MOU) kufanya mafunzo ya vitendo kwenye mradi huu na kuwalipa kima cha chini cha mshahara”alihoji Waziri Mpina.
Alisema wawekezaji kutoka nje wanapofika nchini wanalojukumu katika mikataba yao ya kusambaza taaluma katika eneo lao la uwekezaji ili kuwawezesha watanzania wengi kunufaika na uwekezaji wao na kueleza kusikitishwa kwake na kampuni hiyo kuwabagua wazawa na kuwapa nafasi wageni hata kwenye kazi ambazo zingeweza kufanywa na watanzania.
“Toka nimeanza kutembelea miradi hii kuanzia Dar es Salaam nimekuja kwenye shamba la kambamiti na kituo cha kutotoleshea vifaranga mapokezi na utolewaji wa maelezo na ufafanuzi unafanywa na wageni hii ni ishara kwamba uongozi wote umeundwa na wageni au ni sehemu ya kuficha ukweli juu ya undeshaji wa biashara hiyo’ alihoji Waziri Mpina
Mbali na hilo Waziri Mpina alisema Serikali inazo taarifa za vijana wanaokwenda kufanya kazi kwenye uwekezaji huo wanashindwa kufanya kazi kutokana na ujira mdogo wanaolipwa na mwekezaji huyo na kuvunjika moyo na kisha kuondoka.
“Kulipwa mshahara mdogo haijulikani wanalipwa hivyo ili wakate tamaa waondoke na baadae itengeneze nafasi ya ajira kutoka nje ya nchi au tatizo ni nini”alihoji Waziri Mpina.
Kwa upande wake Meneja wa Alphakrust, Ganeshan Vedagiri amelalamikia kukosa wataalamu wenye weledi na pindi watanzania wanapoajiriwa wanakaa muda mfupi na kuondoka huku akilalamikia kudaiwa ushuru kwenye halmashauri zaidi ya moja
Alisema mradi huo wa Mafia una mabwawa 31 ya Kambamiti ambapo kwa mwaka huzalisha wastani wa tani 400 huku asilimia 90 ya samaki hao wakiuzwa nchini ufaransa huku asilimia 10 zikiuzwa hapa nchini.
Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mafia, Chuchu Silvery licha ya kuwepo kwenye ziara hiyo hakuweza kuzungumzia chochote kuhusiana na dosari hizo.