Tuesday 31 December 2019

Tanzania All scholarships & Opportunities For Youths 2020 academic year [#DailyUpdates]

Tanzania scholarship 2020, embassy finder embassy of belgium scholarship in tanzania, tanzania scholarship 2020, scholarships for tanzanians in canada, china embassy in tanzania scholarship 2020, embassy finder embassy of ireland scholarship in tanzania, masters scholarships in Tanzania 2020, commonwealth scholarship tanzania.   Browse All Recently announced Scholarships and Other OPPORTUNITIES across the world for Tanzania and Africans  … Read More »

The post Tanzania All scholarships & Opportunities For Youths 2020 academic year [#DailyUpdates] appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

UDSM PRESS RELEASE (WINNERS OF THE 2ND CALL FOR PROPOSAL FOR COMPETITIVE RESEARCH AND INNOVATION GRANTS 2019-2020)

UDSM PRESS RELEASE (WINNERS OF THE 2ND CALL FOR PROPOSAL FOR COMPETITIVE RESEARCH AND INNOVATION GRANTS 2019-2020)   The University of Dar es Salaam is pleased to announce winners of the 2nd Call for Proposal for Competitive Research and Innovation Grants (2019/2020) which was announced on 1st August 2019.  The University set aside research seed fund to the tune of… Read More »

The post UDSM PRESS RELEASE (WINNERS OF THE 2ND CALL FOR PROPOSAL FOR COMPETITIVE RESEARCH AND INNOVATION GRANTS 2019-2020) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Director of Safety & Loss Prevention Job at Four seasons Hotels and Resorts

Director of Safety & Loss Prevention Serengeti Due to work permits challenges we will only accept candidates who are of Tanzanian National (Tanzanians) The Director of Security has responsibility for the day to day security force of the property to ensure the safety and security of all guests, personnel and property. • Manage and supervise the day to… Read More »

The post Director of Safety & Loss Prevention Job at Four seasons Hotels and Resorts appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Jobs at Geita Gold Mining Ltd (GGML)

Head Teacher   Geita Gold Mining Ltd (GGML) is Tanzania’s leading gold producer with a single operation in Geita Region. The company is a subsidiary of AngloGold Ashanti, an international g« producer headquartered in South Africa, with operations in more than ten countries, in four continents. The mine is situated in the Lake Victoria Gold fields of North Western… Read More »

The post Jobs at Geita Gold Mining Ltd (GGML) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Vacancies at Coca-Cola Kwanza Ltd

Electrical Technician   Closing Date  2020/01/11 Reference Number  CCB191229-1 Job Title  Electrical Technician Company  Coca-Cola Kwanza (Tanzania) Location – Town / City  Mbeya Job Description Coca-Cola Kwanza Ltd has an exciting opportunity in Manufacturing Department. We are looking for a talented individual with the relevant skills and experience in Engineering for an Electrical Technician position, which will based in… Read More »

The post Vacancies at Coca-Cola Kwanza Ltd appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Marketing and Corporate Relations Officer Job Opportunity at Tindwa Medical

Marketing and Corporate Relations Officer Tindwa medical and health service is local registered company dealing with providing Emergency Medical Services, Waste and environmental management, Occupation Health and safety both local and international and Medical Supplies Services. Currently, it is looking for Marketing and Corporate Relations Officer who is self-motivated, committed, result driven and self-motivated to work with the… Read More »

The post Marketing and Corporate Relations Officer Job Opportunity at Tindwa Medical appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Assistant Food and Beverage Manager Job Opportunity at Park Hyatt Zanzibar

Assistant Food and Beverage Manager Job Opportunity at Park Hyatt Zanzibar Assistant Food and Beverage Manager  Summary The Management of Park Hyatt Zanzibar is looking for Assistant Food and Beverage Manager to join the team and perform the below responsibilities. Main Duties: Administration To assist in the revision and updating of the Outlet’s Departmental Operations Manuals. To attend weekly… Read More »

The post Assistant Food and Beverage Manager Job Opportunity at Park Hyatt Zanzibar appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Job Opportunities at National Micro finance Bank (NMB)

Product Manager, Liabilities  Job Purpose  Responsible for liability product management and development for Retail Banking and its end-to-end life cycle monitoring to ensure that all products feature are relevant to customer’s needs and market competition in the industry. Main Responsibilities Developing, implementing and managing a compelling Retail Banking portfolio of liability products for both foreign and local currencies,… Read More »

The post Job Opportunities at National Micro finance Bank (NMB) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Upelelezi Kesi ya aliyemchoma moto mke wake wakamilika

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa kuwa upelelezi wa kesi inayomkabili Mfanyabiashara Khamisi Luwonga anaedaiwa kumuua Mkewe Naomi Marijani kwa kumchoma kwa kutumia gunia mbili za mkaa umekamilika.

Wakili wa Serikali Mwandamizi Simon Wankyo ameyasema hayo mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo Salum Ally, wakati kesi hiyo ilipofikishwa mahakamani hapo kwa ajili ya kutajwa, ambapo imepigwa kalenda hadi siku ya Januari 7, 2020, itakapotajwa tena.

Mfanyabishara huyo, anadaiwa kutenda kosa hilo Mei 15, 2019, nyumbani kwake maeneo ya Gezaulole Kigamboni, baada ya kumuua na kisha kumchoma moto wa magunia mawili ya mkaa mke wake na kisha kuyabeba mabaki ya mwili huo na kwenda kuyafukia shambani kwake Mkuranga.


Share:

Vanessa Mdee Amleta Mpenzi wake Tanzania kwa Mara ya Kwanza

Msanii Vanessa Mdee  amemleta mpenzi wake ambaye ni muigizaji maarufu wa Nigeria na Marekani, Olurotimi Akinosho ‘Rotimi’   kwa mara ya kwanza katika ardhi ya Tanzania.

Inasemekana wawili hao watafanya show usiku wa leo katika Ukumbi wa Velisas – Kawe Beach. jijini Dar es salaam ambayo ni maalum kwa kuuaga mwaka 2019 na kuukaribisha 2020.


Share:

Rais Uhuru Kenyatta asema wakili Miguna yuko huru kurejea Kenya

Rais Uhuru Kenyatta amesema wakili aliyetimuliwa  nchini Kenya  Miguna Miguna yuko huru kurejea Kenya kwani ni haki yake Kikatiba.

Kiongozi  huyo wa taifa alisema Miguna ataruhusiwa kurejea nchini lakini atumie uhuru wake wa kujieleza kueneza amani na umoja miongoni mwa Wakenya.

Akizungumza katika hafla ya mazishi ya mwanasiasa mkongwe Charles Rubia katika Kaunti ya Murang’a mnamo Jumatatu, Desemba 30, Uhuru alisema serikali yake itatoa uhuru kwa Wakenya wote kama ilivyopiganiwa na viongozi waliotangulia.

“Hakuna mtu ambaye amezuiwa kusema yale anayotaka kusema. Ata nasikia kuna wengine wanataka kupanda ndege warudi..waendelee..hio ni uhuru wao," alisema kiongozi huyo wa chama cha Jubilee.

Wakili Miguna anatazamiwa kuingia nchini Jumanne 7, Januari 2020.

Wakili huyo alitangaza kuwa atarejea nyumbani kupitia ukurasa zake za utandawazi siku ya Alhamisi, Desemba 19.

“Narejea nyumbani. Haki ya kuzaliwa, Haki ya Katiba na amri ya korti. Mabadiliko kwa ushawishi. Nitawasili: Jumanne, Januari 7, 2020 mwendo wa saa tatu na dakika 25 usiku kupitia ndege ya Lufthansa LH 590,” aliandika Miguna kwenye Twitter.

Wakili huyo alitimuliwa Kenya  kwa mara ya kwanza Februari 2018 baada ya kumuapisha kiongozi wa ODM Raila Odinga kama rais wa watu mnamo Jumanne, Januari 30 katika bustani ya Uhuru.

Mnamo Machi 2018, juhudi zake za kuingia nchini ziliambulia patupu huku serikali ikisema kwamba aliasi uraia wake wa Kenya ili kuwa raia wa Canada.


Share:

Urusi na Ukraine zafikia makubaliano ya kupitisha gesi kuelekea Ulaya Magharibi

Urusi na Ukraine zimesaini makubaliano ya upitishaji wa gesi ambayo yanaweza kuathiri eneo kubwa la Ulaya Magharibi. 

Kampuni ya gesi inayomilikiwa na serikali ya Urusi, Gazprom, na ile ya nishati ya Ukraine, Naftogaz, zilifikia makubaliano jioni ya jana, baada ya wapatanishi kutumia siku kadhaa kupitia vipengele vya makubaliano hayo, kwa mujibu wa Rais Volo-dy-myr Zelensky wa Ukraine.

 Mkuu wa kampuni ya Gazprom ya Urusi, Alexej Miller, pia amethibitisha kufikiwa makubaliano hayo, kwa mujibu wa shirika la habari la Urusi. 

Mkataba wa awali baina ya pande hizo mbili ulikuwa unamaliza muda wake leo baada ya kutumika kwa miaka kumi, ambapo mkataba huu mpya ni wa miaka mitano. 

Mataifa mengi ya Muungano wa Ulaya yanalitegemea bomba la gesi la Urusi linalopitia Ukraine. 

Hata hivyo, kwa miaka kadhaa mzozo baina ya nchi hizo mbili umekuwa ukiathiri makubaliano hayo ambayo yanaipatia Ukraine mabilioni ya euro.


Share:

Katibu Mkuu CCM Awataka Vijana Kuwa Wabunifu

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally amewaleza vijana umuhimu wa kuwa na maarifa kwani ukiwa na shahada pekee sio pesa, ila maarifa yako ndio hutengeneza pesa, hivyo vijana ni lazima wawe wabunifu, bila kuchapa kazi maisha yataendelea kubana.

Dkt. Bashiru amesema, yeye ni Katibu Mkuu wa CCM kwa sasa, lakini hakuna magulio asiyoyafahamu wilayani Bukoba, kwa kuwa alipokuwa anasoma na baada ya kuhitimu masomo yake, kazi kubwa aliyokuwa akiifanya bila uwoga ni uchuuzi kwenye magulio kazi ambazo vijana wengi wakiwa na shahada kichwani hawawezi kuzifanya.

Dkt. Bashiru ameyasema hayo, Desemba 29, 2019 alipokuwa akitoa salamu za Chama wilayani Muleba kata ya Mayondwe katika shughuli ya dua iliyojumuisha maombi mbalimbali pamoja na kuiombea amani nchi yetu.

“Vijana bila kuchapa kazi maisha yatabana, na vyuma vitabana kwelikweli, mimi ni Katibu Mkuu kwa sasa hakuna magulio nisiyoyafahamu hapa Bukoba na Muleba kwa kiasi, wakati nasoma na baada ya kuhitimu masomo kazi kubwa niliyoifanya kwa muda mrefu ni uchuuzi kwenye magulio kazi ambayo vijana wengi wakiwa na shahada kichwani hawapendi kuzifanya.’’ Bashiru ameeleza

Ameongeza kuwa, ukiwa na elimu ya shahada kichwani hiyo sio pesa, ila maarifa yako ndio yatatengeneza pesa akimtolea mfano Bw. Jafari Swalehe waliosoma naye darasa moja shule ya msingi Katerero na kuishia darasa la saba mkazi wa Bukoba vijijini ambaye kwa sasa ni mkulima mkubwa wa mbogamboga na matunda wilayani hapo.

Wakati huo huo, Dkt. Bashiru ameeleza wazi kuwa, CCM inajukumu la kutunga Sera wezeshi ili kundi kubwa la vijana waweze kupata mazingira mazuri ya fursa mbalimbali zikiwemo biashara, kilimo na viwanda, ambalo wameendelea kulifanya na katika Sera na Ilani ijayo suala hili litapewa uzito wa pekee ili kuwezesha kundi kubwa la vijana kupata na kumudu fursa za kimaendeleo.

Aidha, Dkt. Bashiru katika salamu hizo amehimiza upendo miongoni mwa wanafamilia na jamii kwa ujumla, ambapo ameeleza kuwa, maisha yetu ya upendo na undugu hutegemea maisha yetu ya kila siku, maisha ya upendo hutengenezwa katika ndoa, shule, siasa, biashara na maeneo mengine. Unayempenda huwezi kumfitini na utapenda afanikiwe, na vitabu vya dini zote vinahimiza upendo, hata CCM inahimiza upendo, kukemea chuki na fitina.

Awali kabla ya kumkaribisha Katibu Mkuu, Shekhe Nuran Amri, akitoa neno la ukaribisho, amesisitiza kuwa, utofauti mkubwa wa binadamu na wanyama ni akili, binadamu tumepewa uwezo wa kutambua kibaya na kizuri, amani na fujo, chuki na upendo, hivyo hatuna budi kuitunza amani yetu, na kuwaombea viongozi wetu wakiongozwa na Mhe. Rais John Pombe Magufuli ili wazidi na waendelee kuwa na upendo na uwajibikaji wa haki kama ilivyo sasa.

Hafla hiyo ilihudhuriwa na waumini wa dini zote viongozi mbalimbali wakiongozwa na Kaimu Shekhe wa Wilaya ya Muleba Bw. Hashim Haruna na Mwenyekiti wa CCM wa wilaya hiyo Ndg. Athuman Kahara.

Katibu Mkuu yupo Bukoba Mkoani Kagera kwa mapumziko ya siku kumi ambapo anatarajiwa kumaliza mapumziko hayo mwanzoni mwa mwezi Januari, 2020.


Share:

Mama Mzazi wa Erick Kabendera Afariki Dunia

Mama mzazi wa Mwandishi Erick Kabendera, Verdiana Mjwahuzi amefariki Dunia leo Jumanne Dec 31, 2019 katika Hospitali ya Amana Da es Salaam  alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.

Bi. Verdiana alionekana hadharani mara ya mwisho  Disemba 13 Mwaka huu akiomba mwanae aachiwe huru kwakuwa anamtegemea kwa matibabu.

Erick ambaye kwa sasa yuko rumande katika gereza la Segerea, Dar es Salaam, alikamatwa Julai 2019 kwa makosa ya utakatishaji fedha, kukwepa kodi na kushiriki katika genge la uhalifu.


Share:

Mwalimu Mbaroni Kwa Tuhuma za Kulawiti Watoto Wadogo

Mkuu wa Wilaya wa Iringa Mjini, Richard Kasesela amesema polisi wilayani humo inamshikilia mkazi wa Semtema, Anord Mlay ambaye ni mwalimu kwa tuhuma za kulawiti watoto wadogo 24

Imeelezwa kuwa wengi wa watoto hao ni wanafunzi wa shule za msingi na sekondari katika eneo hilo.

Taarifa zinaeleza kuwa watoto hao wanadaiwa kulawitiwa katika kipindi cha miaka mitatu na na mtuhumiwa huyo.

Akizungumza na wananchi wa mtaa huo, Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Richard Kasesela alieleza akushtushwa na ukubwa tatizo hilo na kuamua kuchukua hatua ikiwamo kuunda kamati ya watu 10 kwa ajili ya kufuatilia na kubaini watoto ambao wamefanyiwa ukatili huo.

Kasesela alisema kuwa mtuhumiwa huyo alikuwa na michezo ya kompyuta, na kwamba alikuwa akiwarubuni watoto kwa zawadi ndogo ndogo zikiwamo fedha.

Kasesela alifafanua zaidi kuwa Mlay pia alikuwa akiwatishia watoto kuwatoa uhai ikiwa wangeruhusu mtu mwingine kujua suala hilo.

Alisema alieleza kuwa uchunguzi dhidi ya mtuhuhiwa huyo ukikamilika, atapelekwa mahakamani.

Kwa mujibu wa Kasesela, Mlay ni mwalimu ambaye alihitumu katika Chuo Kikuu cha Iringa, na anamiliki kituo chake cha kuchezesha michezo ya kompyuta kwa watoto wadogo katika mtaa wa Semtema ‘A’.

Kasesela  pia aliwataka wazazi na walezi katika Manispaa ya Iringa kuwa makini na watoto wao wanaocheza michezo katika vituo vya watoto maarufu pamoja na kuwataka kutoa ushirikiano kwa Jeshi la Polisi ili kuwafichua wanaojihusisha na vitendo vya ukatili dhidi ya watoto.


Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne Disemba 31























Share:

Monday 30 December 2019

Fursa Ya Ufadhili Kwa Watanzania : | Scholarships Tenable In The People’s Republic Of China For The Academic Year 2020/2021

    1.0Call for Application

The General Public is hereby informed that the Chinese Government is offering undergraduate and postgraduate fully-funded scholarships for Tanzanian citizens in various domains for the academic year 2020/2021.

    1.1Eligibility

Applicants should meet the following requirements:
  1.     Be a citizen of the United Republic of Tanzania;
  2.     Must have completed high school (‘A’ level) and below 25 years if applying for a Bachelor degree program;
  3.     Must have a Bachelor’s degree and below 35 years if applying for a Master’s degree program;
  4.     Must have a Master’s degree and under the age of 40 if applying for a Doctoral degree program; and
  5.     Must be in good health.
    2.0Application Documents
  1.         A completed application form of the Chinese Government Scholarship filled either in Chinese or English;
  2.         Certified copies of Certificate for Secondary Education Examination (CSEE), Advance Certificate for Secondary Education Examination (ACSEE), Diploma, Bachelor or Master’s degree. Documents in languages other than Chinese or English must have attachments of certified Chinese or English translations;
  3.         Academic transcripts in languages other than Chinese or English must have attachments of certified Chinese or English translations;
  4.         A study plan or research proposal in Chinese or English with a minimum of 200 words for undergraduate applicants and 800 words for postgraduate applicants;
  5. Two recommendation letters for applicants applying for postgraduate programs written in either Chinese or English from professors or associate professors;
  6.  Certified copies of birth certificates.
  7.  Applicants under the age of 18 should submit the valid documents of their legal guardians in China; and
  8.  Applicants planning to stay in China for more than 6 months must submit a photocopy of the Foreign Physical Examination form completed in English (the original copy should be kept by the applicant). This form can be downloaded from:
The physical examination must cover all the items listed in the Foreign Physical Examination Form. Incomplete records without the Physicians signature, official stamp of the hospital or passport size photograph of the applicant are invalid. Please select the appropriate time to take a physical examination as the results are only valid for only 6 months.

    3.0Documents required for submission

<<INGIA HAPA KUZIPAKUA>>

Issued by:
Permanent Secretary,
Ministry of Education, Science and Technology,


Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger