Monday 9 December 2019
TANZANIA IMEPOTEZA MAJENERALI WA SEKTA BINAFSI
MWANAMKE AFUFUKA.... MAPIGO YAKE YA MOYO YALIZIMA SAA SITA...MADAKTARI WASIMULIA
URUSI YAFUNGIWA MIAKA MINNE KUTOJIHUSISHA NA MCHEZO WOWOTE DUNIANI
LOWASSA : KAMA RAIS MAGUFULI AKIACHIWA AKAPIGA MIAKA YAKE KUMI NCHI HII ITABADILIKA
SERIKALI YAITAKA TAASISI YA UHASIBU TANZANIA (TIA) KUBORESHA ZAIDI MITAALA YAKE
Rais Magufuli Asamehe Wafungwa 5,533 Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru
Rais Magufuli ametoa kauli hiyo wakati wa maadhimisho wa miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara, ambapo kuna idadi kubwa ya wafungwa ambao wapo Magerezani kwa makosa ya kawaida sana.
“Leo natangaza kuwasamehe wafungwa 5,533, ni mara ya kwanza kwa msamaha mkubwa kama huu kutokea, najua watu watashangaa lakini nimetumia siku hii ya Uhuru kusamehe, sifurahi kuongoza nchi yenye watu wengi Magerezani.
“Msamaha huu utawahusisha wafungwa waliofungwa kati ya kipindi cha siku moja hadi mwaka mmoja, na wale Wafungwa waliofungwa Miaka mingi kama 30, 20, 10 au mitano na wamebakiza muda mfupi kumaliza. Aliyewasamehe ni Mungu.” Rais Magufuli.
Form One Selection 2020 Ruvuma Region 2020/2021
Form One Selection 2020 Ruvuma Region 2020/2021 The List of Selected Candidates is available for each Ward Education Coordinator, Each Board’s Advertising Boards and the Office of the Regional Head Office, Check it here http://Ruvuma.go.tz/ Form one selection for the academic year 2019/2020 The following students have been selected to join form one for Ruvuma Secondary schools for… Read More »
The post Form One Selection 2020 Ruvuma Region 2020/2021 appeared first on Udahiliportal.com.
Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Ruvuma Form one selection 2020
Form one selection – Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Ruvuma Form one selection 2020 The List of Selected Candidates is available for each Ward Education Coordinator, Each Board’s Advertising Boards and the Office of the Regional Head Office, Check it here http://ruvuma.go.tz/ Form one selection for the academic year 2020/2021 The following students have been selected to join… Read More »
The post Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Ruvuma Form one selection 2020 appeared first on Udahiliportal.com.
Form One Selection 2020 Geita Region
Form One Selection 2020 – Waliochaguliwa kidato cha kwanza 2020/2021 Geita Region for 2020/2021 Geita The List of Selected Candidates is available for each Ward Education Coordinator, Each Board’s Advertising Boards and the Office of the Regional Head Office, Check it here http://Geita.go.tz/ Form one selection for the academic year 2020/2021 The following students have been selected to… Read More »
The post Form One Selection 2020 Geita Region appeared first on Udahiliportal.com.
KAULI YA MBOWE LIVE MBELE YA RAIS MAGUFULI KWENYE MAADHIMISHO YA MIAKA 58 YA UHURU
Form One Selection 2020 Lindi Region
Form One Selection 2020 – Waliochaguliwa kidato cha kwanza 2020 Lindi Region for 2020/2021 Lindi The List of Selected Candidates is available for each Ward Education Coordinator, Each Board’s Advertising Boards and the Office of the Regional Head Office, Check it here>> http://www.lindi.go.tz/ Form one selection for the academic year 2020/2021 The following students have been selected to… Read More »
The post Form One Selection 2020 Lindi Region appeared first on Udahiliportal.com.
Tangazo La Nafasi Za Masomk Form One, Darasa la Kwanza, Pili na Wanaotaka Kuhamia shule za lake Tanganyika
Uongozi wa shule za lake Tanganyika zilizopo kijiji cha Mkigo wilaya ya kigoma vijijini mkoani kigoma unapenda kuwatangazia nafasi za masomo kwa mwaka 2020 kama ifuatavyo;
1.Nafasi za masomo kwa nursery, darasa la kwanza, pili na tatu
2.Nafasi za kujiunga na kidato cha kwanza,na pia nafasi za kuhamia kwa kidato cha pili na tatu
3.Pia kuna nafasi kuhamia za kidato cha tano kwa comb HGK,HKL,HGL
Shule ina mazingira mazuri na ina walimu wazoefu
Shule za lake Tanganyika zinamilikiwa na waktisto (SDA )
Ada zetu ni nafuu sana na zinalipwa awamu nne kwa mwaka kwa upande wa secondary ada kwa mwaka ni 700000/= laki saba tu,na A- level karo ni laki saba na hamsini elfu ,750000/= na kwa upande wa primary ada ni laki Tisa 900000/= tu kwa mwaka
Nyote mnakaribishwa lake Tanganyika high school and pre and primary English medium
Shule zote ni za bweni na kutwa kwa primary tu na pia ni mchanganyiko wavulana na wasichana
Karibu lake Tanganyika ndo suhulisho la mwanao
Kwa mawasiliano; 0769697667