Picha zote na Cathbert Kajuna - Kajunason/MMG.
Dokta Bingwa wa Magonjwa ya Saratani, Dkt Heri Tungaraza akitoa maelekezo kwa wagonjwa.
Wagonjwa wakipimwa presha.
Wagonjwa wakipimwa ugonjwa wa Kisukari.
Mtatibu wa zoezi la upimaji wa Afya Bure, Bi. Linas akigawa maji kwa wagonjwa.