Wednesday 22 February 2017

TCU: ORODHA YA WANAFUNZI WASIO NA SIFA KATIKA VYUO VYA ELIMU YA JUU 2016/2017

TUME YA VYUO VIKUU TANZANIA
Image result for tcu tz
TAARIFA KWA UMMA
WANAFUNZI WASIO NA SIFA KATIKA VYUO VYA ELIMU YA JUU
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) inautangazia Umma kuwa zoezi la uhakiki wa sifa za wanafunzi wanaondelea na masomo kwenye Vyuo vya Elimu ya Juu nchini kwa mwaka 2016/2017 limekamilika katika baadhi ya vyuo. Katika kutekeleza zoezi hilo Tume imebaini kuwa kuna wanafunzi ambao wamedahiliwa katika programu ambazo hawana sifa.
Orodha ya wanafunzi wasio na sifa imeshawasilishwa kwenye vyuo husika. Hivyo, wanafunzi wote wanaondelea na masomo kwenye Vyuo vya Elimu ya Juu nchini wanaweza kutazama matokeo ya uhakiki wao kupitia kiunganisho (link) (Bonyeza Uhakiki wa Sifa za Udahili).
Tume inawaarifu wanafunzi wote ambao majina yao yameorodheshwa wawasiliane na vyuo vyao ili kuthibitisha sifa zao kabla ya tarehe 28 Februari 2017. Wanafunzi ambao hawatafanya hivyo hawatatambuliwa na Tume na hivyo kukosa sifa za uanafunzi.
TCU inatoa rai kwa wanafunzi wote kutembelea tovuti ya Tume (www.tcu.go.tz) mara kwa mara ili kupata taarifa mpya kuhusu uhakiki wa sifa za wanafunzi.
Imetolewa na
Katibu Mtendaji
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania

20/02/2017
Share:

Ridhiwani Kikwete ajibu shutuma ya kutajwa kwenye orodha ya watuhumiwa wa dawa za kulevya

Mbunge wa jimbo la Chalinze mkoani Pwani kwa tiketi
Share:

WANAWAKE 13 WAHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA 2 KWA KOSA LA KUJIUZA HUKO MOROGORO

 Dada poa hao wakitoka  ser
o ya Mahakama ya Nunge wakipanda Difenda  kuelekea Magereza.
Share:

WANAOSOMA CHINA KUISOMA NAMBA,SERIKALI YASISITIZA KUSITISHA FEDHA ZA MIKOPO KWA WANAFUNZI WANAOSOMA NCHINI CHINA

Serikali kupitia wizara ya elimu,sayansi na teknolojia imesisitiza kusitisha pesa za mikopo ya nauli za kwenda masomoni na malipo mengine yote yaliyokuwa yanatolewa kwa wanafunzi wanapata ufadhili wa masomo kutoka kwa nchi rafiki ikiwemo nchi ya China.
Kauli hiyo imetolewa kupitia barua(ya tarehe 7,February,2017) iliyoandikwa na wizara ya elimu ,sayansi na teknolojia kwenda ubalozi wa Tanzania chini China wakati wakijibu barua iliyoandikwa na wanafunzi wanaosoma nchini china kuomba serikali kuangalia vizuri maamuzi hayo.
Takribani miezi miwili iliyopita,Bodi ya mikopo (HESLB) iliauandikia barua ubalozi wa Tanzania nchini china kuueleza maamuzi ya serikali kusitisha utoaji wa fedha za nauli kwa wanafunzi hao.Lakini wanafunzi hao hawakuridhika na maamuzi hayo hivo kuamua kuiandikia barua wizara ya elimu kuangalia vizuri maamuzi hayo.
 
Kwa mujibu wa barua hii ,wanafunzi watatakiwa kujigharamia wenyewe gharama za kwenda na kurudi masomoni kitu ambapo awali walikuwa wanapatiwa na serikali ya Tanzania.
Hii hapa barua mpya uliyosisitiza kutotoa pesa hizo na nauli kwa wanafuni hao
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMATANO FEBRUARY 22,2017

Share:

Tuesday 21 February 2017

 HIZI HAPA HABARI KALI SIKU YA LEO JUMANNE FEB 21 2017

 

MBOWE APEKULIWA USIKU ARUDISHWA POLISI,SOMA ZAIDI HAPO>>>>>https://goo.gl/T5jbX8 

 

MAGAZETI YA LEO JUMANNE FEB TAREHE 21.2.2017,SOMA ZAIDI HAPO>>>>>https://goo.gl/PHqMKK


SHAMSA FORD AMLILIA MUMEWE ALIEKAMATWA KWA KESI YA MADAWA YA KULEVYA,SOMA ZAIDI HAPO>>>>>https://goo.gl/6s58nV


NECTA YAWATAKA WANANCHI KUPUUZA TAARIFA ZILIZOTOLEWA KUHUSU MCHUJO KIDATO CHA KWANZA,SOMA ZAIDI HAPO>>>>https://goo.gl/gmq5ds


AUDIO | Shamba Darasa(Mkubwa na Wanawe) - Mwanamke | Download,SOMA ZAIDI HAPO>>>>>https://goo.gl/Ce1kdr 

 

Mahaba Niue!! MZEE WA MIAKA 98 AFUNGA NDOA NA BIBI WA MIAKA 88,SOMA ZAIDI HAPO>>>https://goo.gl/pU13e0

 

 

Share:

Mahaba Niue!! MZEE WA MIAKA 98 AFUNGA NDOA NA BIBI WA MIAKA 88



Mzee Willy Kinyua (98) amefunga ndoa na Joyce Nyambura (88) baada ya wenza hao kuishi pamoja kwa zaidi ya miaka 60.
Share:

AUDIO | Shamba Darasa(Mkubwa na Wanawe) - Mwanamke | Download


Share:

NECTA YAWATAKA WANANCHI KUPUUZA TAARIFA ZILIZOTOLEWA KUHUSU MCHUJO KIDATO CHA KWANZA

Share:

SHAMSA FORD AMLILIA MUMEWE ALIEKAMATWA KWA KESI YA MADAWA YA KULEVYA

Mwigizaji Shamsa Ford ambaye ni mke wa Mfanyabiashara Chidi Mapenzi aliyeitwa Polisi kwa tuhuma za kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya, ameandika yafuatayo ikiwa ni mara ya kwanza toka aitwe Polisi kuhojiwa.
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMANNE FEB TAREHE 21.2.2017

Share:

MBOWE APEKULIWA USIKU ARUDISHWA POLISI

Jana  mchana Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHA
Share:

Monday 20 February 2017

HIZI HAPA HABARI KALI SIKU YA LEO JUMATATU FEB 20 2017

MAGAZETI YA LEO JUMATATU FEB 20 2017,BONYEZA HAPO>>>>>https://goo.gl/nx8imK

 

 

MANENO YA PRFO.J BAADA YA KWENDA GEREZA ALILOFUNGWA MBUNGE LIJUAKALI,SOMA ZAIDI HAPO>>>>>>>>>>>https://goo.gl/P00daq 

 

MH.MBOWE ASAKWA NA JESHI LA POLISI KILA KONA APEWA MASAA 48 AJISALIMISHE,SOMA ZAIDI HAPO>>>https://goo.gl/MxB3jP 

 

MKAZI WA MKOA WA MWANZA KWIMBA AANZISHA KIWANDA CHA KUTENGENEZA GONGO,SOMA ZAIDI HAPO>>>>>>>https://goo.gl/Qh7hOL

 

 


Share:

Siri yafichuka wanawake wengi kujifungua kwa upasuaji



WANAWAKE wengi kwa sasa wanajifungua kwa njia ya upasuaji kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo mfumo wa maisha, vyakula, mwili kukosa mazoezi huku baadhi wakiomba wenyewe kufanyiwa upasuaji, imefahamika.
Aidha, imeelezwa kuwa baadhi ya hospitali zinalazimisha upasuaji kama njia ya kutafuta fedha, jambo lililoelezwa kuwa ni kinyume cha maadili ya tiba nchini.
Gazeti hili limezungumza na madaktari mbalimbali, wakiwemo madaktari bingwa wa wanawake na wanajamii kwa ujumla kuhusu sababu mbalimbali zinazohusishwa na hali halisi ya uzazi wa wanawake kwa sasa.
Mganga Mkuu wa Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita, Dk Erasto Rite alisema njia ya upasuaji kwa mjamzito inayotumika kuzalisha mtoto mmoja au zaidi (caesarean section), hutumika kipindi ambacho uhai wa afya ya mama na mtoto upo hatarini.
Alisema takwimu zinaonesha kwamba ongezeko kubwa la njia ya upasuaji kwa wajawazito ambapo ni kati ya asilimia 16.4 mpaka 28 ya akinamama wanaojifungua, huku idadi ikiwa juu kwa kina mama wanaoishi mijini ikilinganishwa na wanaoishi vijijini.
Dk Rite alisema hiyo inachangiwa na kubeba ujauzito katika umri mkubwa, kukua kwa teknolojia na baadhi ya kina mama wenyewe kuchagua njia hiyo.
Alisema kwa upande wa kina mama wanaoishi vijijini, njia hiyo imeanza kuongezeka kutokana na baadhi yao kutumia dawa za kienyeji za kuongeza uchungu (dawa za wepesi), ambazo husababisha wengi kuishia kufanyiwa upasuaji.
Alisema hiyo pia huchangiwa na dawa hiyo kutolewa bila vipimo na pia wengi wanatumia dawa hizo wakati hakustahili kupewa na hivyo kumsababisha kupata uchungu mkali unaohatarisha maisha yake na kulazimika kupasuliwa.
Kwa upande wake, daktari wa magonjwa ya wanawake katika Hospitali ya Regency Dar es Salaam ambaye hakutaka kutajwa jina gazetini, alisema hali hiyo huchangiwa na mfumo wa mabadiliko ya maisha kipindi cha nyuma na ilivyo sasa.
Alisema zamani wanawake walikuwa wakila vyakula vya asili na kufanya shughuli mbalimbali ambazo zilikuwa kama mazoezi ya kumsaidia kuuweka mwili sawa, lakini kwa sasa ni tofauti, wanawake wengi hula vyakula ambavyo havina mpangilio maalumu na hawajishughulishi kuweka mwili sawa.
Aidha, alisema sababu nyingine inayochangia wanawake kufanyiwa upasuaji ni shinikizo la damu au mtoto kukaa vibaya au mtoto kuwa mkubwa na hivyo kushindwa kutoka kwa njia ya kawaida.
Alisema hiyo ndiyo hasa dharura inayotakiwa kuzingatiwa mjamzito kufanyiwa upasuaji na si vinginevyo. Mkazi wa Kinondoni Dar es Salaam, Juliana Joseph ambaye amejifungua watoto wawili kwa njia ya upasuaji, alisema alitamani kujifungua kwa njia ya kawaida, ila tatizo kubwa linalomsumbua wakati akiwa mjamzito ni shinikizo la damu na hivyo madaktari humshauri kwamba ili kuokoa maisha yake na ya mtoto ni lazima kufanyiwa upasuaji.
“Wakati nikiwa hospitali moja ya binafsi nilipokuwa najifungua mtoto wangu wa kwanza, alitokea mama mmoja akiwa ameshapata uchungu, madaktari walimshauri hawezi kujifungua kawaida kwa kuwa mtoto ni mkubwa ila walibishana sasa mama yule alikataa upasuaji akalazimisha kusukuma mtoto.
“Kutokana na hali kuwa mbaya na mtoto kukaa njiani muda mrefu, mtoto alizaliwa amechoka sana na baada ya kuzaliwa alikaa kwenye mashine ya kupumulia siku mbili na ya tatu akafariki, hivyo niliamini kwamba mama yule alichangia kumuua mwanawe, hivyo tunaposhauriwa na madaktari tukubali na tusibishane nao kwa kuwa siamini kama inawezekana mtu mwenye uwezo wa kujifungua kawaida ukalazimishiwa upasuaji, hiyo ni imani potofu,” alisema Juliana.
Naye Amini Salum alisema amejifungua mtoto kwa njia ya upasuaji na hiyo imesababishwa na mtoto wake kukaa vibaya na hivyo kushindwa kutoka kwa njia ya kawaida.
Kwa upande wake, mganga wa wanawake katika Hospitali ya Tumbi wilayani Kibaha Mkoa wa Pwani ambaye hakuwa tayari kutaja jina gazetini, alisema upasuaji unapaswa kufanyika pale inapotokea tatizo kwa mjamzito na si kitu kinachopendwa na madaktari kumfanyia mtu.
Hata hivyo, alisema zipo taarifa kuwa, baadhi ya wanawake huomba kufanyiwa upasuaji hasa katika hospitali binafsi kwa kile kinachodaiwa hawataki kuharibu maumbile yao ya uzazi.
“Sijui nani aliwaambia maumbile yanaharibiwa kwa kuzaa kwa njia ya asili.
Huo ni utaratibu aliyouweka Mungu mwenyewe hata vitabu vitakatifu vinaeleza.
Uke huwa kama mpira na hutanuka wakati wa kujifungua na baada ya muda mfupi, hurejea katika hali yake, sasa hii dhana potofu sijui wameitoa wapi,” alisema daktari huyo.
Kuhusu hospitali binafsi, alisema wapo wanaowashauri wajawazito kufanyiwa upasuaji kwa tamaa za fedha, jambo ambalo ni kinyume cha maadili ya kazi yao na kuwataka kuzingatia maadili na kufanya upasuaji inapobidi lakini kama mjamzito hana tatizo lolote la dharura linalohitaji upasuaji, aachwe ajifungue kawaida.
Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Wanawake katika Hospitali ya Aga Khan ya Dar es Salaam, Dk Munawar Kaguta alisema wanawake wengi wa mjini wanaomba wenyewe madaktari kuwazalisha kwa upasuaji.
Dk Kaguta alisema hayo hivi karibuni katika mahojiano na gazeti hili kuhusu masuala ya uzazi.
Alifafanua kuwa wanawake wa mjini wanadanganywa na taarifa mbalimbali wanazozipata katika mitandao mbalimbali ya kijamii, ambazo zinaonesha kuwa kujifungua kwa kawaida ni hatari.
“Hawa wanawake wa mjini wanadanganywa na mitandao ambayo wanaingia kutafuta taarifa za uzazi, mwisho wa siku wakija hospitali wanaomba wao wenyewe kufanyiwa upasuaji kutoa mtoto,” alisema Dk Kaguta.
Daktari huyo alisema mbali na taarifa za mitandaoni, pia wanashawishiana na kupeana taarifa nyingine zisizo sahihi, wakielezana athari nyingi zinazoweza kumpata mama anapojifungua kawaida, ikiwa ni pamoja na kupata uchungu mkali wakati wa kujifungua.
Alisema pamoja na sababu zote hizo madaktari wengi huwazungusha na wanapolazimisha sana wakienda hospitali kwa ajili ya kujifungua mwisho wanajifungua wenyewe kwa njia ya kawaida.
Dk Kaguta alisema kila jambo lina madhara yake, alisema mwanamke kupata uchungu wakati wa kujifungua ni kawaida na kwamba hapa nchini hakuna wataalamu wa kutosha kwa ajili ya dawa za kupunguza uchungu.
“Dawa zipo lakini tatizo wataalamu wa kuzichoma, zina utaalamu wake na ambao kwa hapa nchini sio wengi,” alisema Dk Kaguta na kuongeza kuwa wataalamu hao wakipatikana wa kutosha na dawa zifike mpaka katika hospitali za serikali itasaidia kupunguza idadi ya wanaojifungua kwa upasuaji.
Dk Kaguta alisema upasuaji wowote ni hatari kwani dawa zinazotumika kumfanya mtu asipate maumivu wakati wa kufanyiwa upasuaji na pia kumlaza zinaweza kusababisha moyo kusimama ingawa haina madhara mengi kwa mtoto.
“Upasuaji wowote ni hatari, hatari zaidi zile dawa zinaweza kusababisha moyo kusimama, maumivu ya mgongo, kovu kuchelewa kupona na kuendelea kuuma ingawa hakuna hatari zaidi kwa mtoto,” alisema Dk Kaguta.
Hata hivyo, Dk Kaguta alishauri kama mjamzito hana tatizo lolote na pia mtoto amepimwa na kukuta hana tatizo na ana uzito wa kawaida ni bora kujifungua kawaida kwa kuwa ni salama na asili zaidi. Imeandikwa na Regina Kumba, Lucy Ngowi na Hellen Mlacky.
Share:

MKAZI WA MKOA WA MWANZA KWIMBA AANZISHA KIWANDA CHA KUTENGENEZA GONGO


Share:

MH.MBOWE ASAKWA NA JESHI LA POLISI KILA KONA APEWA MASAA 48 AJISALIMISHE

Share:

MANENO YA PRFO.J BAADA YA KWENDA GEREZA ALILOFUNGWA MBUNGE LIJUAKALI

January 11 2017 Mbunge wa Jimbo la Kilombero Morogoro kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo ‘CHADEMA’ Peter Lijualikali alihukumiwa na Mahakama ya wilaya kifungo cha miezi sita jela bila kulipa faini kwa kosa la kufanya vurugu kipindi cha uchaguzi wa Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Kilombero.

Leo February 19 2017 Mbunge wa Mikumi Joseph Haule maarufu Profesa J amekwenda kumtembelea gerezani Ukonga Dar es salaam na baada ya kutoka hapo akaandika yafuatayo.

‘Nimetoka gereza la Ukonga kumwona Mh. Lijualikali na Patron wa mkoa wa Morogoro kamanda Zinga na wapiga kura wangu watatu kutoka kata ya TINDIGA walifungwa miaka 30, wana afya njema na wanawasalimia sana ila wanalalamika tu hali sio nzuri kabisa kule ndani.. Mungu AWASAIDIE 
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger