Monday 13 July 2015
WARDA MAKONGWA ,KIUKWELI UNANIKOSHA SANA
Sunday 12 July 2015
TANZIA: Muigizaji mkongwe, Mzee Ojwang (Benson Wanjau) afariki Dunia nchini Kenya
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mzee Benson Wanjau maarufu kama Mzee OJWANG HATARI mume wa Mama Kayaii amefariki usiku huu majira ya Saa 2 Hospital ya KEnyatta National Hospital alipikuwa akipata matibabu ya maradhi yaliyomsumbua kwa kipindi kirefu kidogo.
Mzee Benson Wanjau maarufu kama Mzee OJWANG HATARI mume wa Mama Kayaii amefariki usiku huu majira ya Saa 2 Hospital ya KEnyatta National Hospital alipikuwa akipata matibabu ya maradhi yaliyomsumbua kwa kipindi kirefu kidogo.
SERIKALI YATANGAZA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOKOSA NAFASI ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO 2015,WAMECHAGULIWA UDOM SPECIAL DIPLOMA
JOHN POMBE MAGUFULI MGOMBEA URAIS CCM 2015
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Kwa habari za kuaminika kutoka vanzo vyetu vya habari ni kwamba zoezi la kuhesabu kura limekamilika na kura kwa wagombea wetu ni kama ifuatavyo,
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimempitisha Dk. John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais kupitia chama hicho. Anandika Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).
Kwa habari za kuaminika kutoka vanzo vyetu vya habari ni kwamba zoezi la kuhesabu kura limekamilika na kura kwa wagombea wetu ni kama ifuatavyo,
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimempitisha Dk. John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais kupitia chama hicho. Anandika Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).
Saturday 11 July 2015
BREAKING NEWS:HII NDIO TATU BORA URAIS CCM,MAGUFULI APETA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Magufuli kapeta 3 bora ,
Taarifa za uhakika kutoka ndani ni kama ifuatavyo
1. John P. Magufuli
2. Amina Ally
3. Asharose Migiro.