Friday 3 July 2015

Chadema yaibwaga CCM mahakamani

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Kiteto. Chama cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara imezidi kupata pigo baada ya Mahakama kutengua matokeo ya uchaguzi wa wenyeviti wa vitongoji 16 vya mji mdogo wa Mirerani, kwa maelezo kuwa ulikiuka sheria na utaratibu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Hii ni mara ya pili katika kipindi cha mwezi mmoja kwa Mahakama kutengua matokeo ya uchaguzi huo ambao uliwaweka madarakani makada wa CCM.
Share:

Wagombea Urais Wanne (4) CCM washindwa kurejesha Fomu Dodoma

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Wagombea 38 kati ya 42 wanaoomba kuteuliwa na CCM kugombea Urais,wamerejesha fomu hadi saa 10:30 jioni julai 2,2015.Kati ya hao Wagombea wanne waeshindwa kurejesha fomu.
Share:

MAGAZETI YA LEO IJUMAA JULY 03 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Share:

DIAMOND AKIRI KUMPENDA OMOTOLA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
KING wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ametengeneza kichwa cha habari nchini Nigeria baada ya kufunguka kuwa anampenda ‘vibaya’ staa wa filamu nchini humo, Omotola Jalade Ekeinde, Ijumaa lina stori kamili. ...
 bonyeza hapo chini kusoma zaidi>>>>>

DIAMOND AKIRI KUMPENDA OMOTOLA

Share:

ESHA BUHETI AKIRI KUCHEPUKA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

  Mwigizaji Bongo, Esha Buheti katika pozi...
 soma zaidi kwa kubonyeza hapo chini>>>>>

ESHA BUHETI AKIRI KUCHEPUKA

Share:

WASTARA ATAJA SABABU ZA KUGOMBEA UBUNGE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Wtaa wa sinema za Kibongo, Wastara Jum. soma zaidi>>>>

WASTARA ATAJA SABABU ZA KUGOMBEA UBUNGE

Share:

USAILI KIDATO CHA NNE WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA JESHI LA POLISI-MKOA WA ARUSHA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Naibu Kamishna (DCP) Liberatus Sabas
Na woinde shizza,arusha.
Share:

CHADEMA WAKAMATWA NA MASHINE YA BVR WAKIANDIKISHA WATU USIKU NA KUWALIPA HUKO WILAYANI KAHAMA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Jeshi la polisi wilayani kahama mkoani Shinyanga limekamata mashine moja ya BVR ikitumika kuandikisha wapiga kura saa tatu usiku nyumbani kwa mwenyekiti wa mtaa wa Nyakato wilayani humo Mayunga Alphonce kupitia CHEDEMA, huku wakiwalipa shilingi 5,000 kila mmoja. 
Share:

Thursday 2 July 2015

Entertainment Kama uliushtukia ukimya wa MB Dog, yuko hapa

.
Share:

VIDEO:MNYIKA AZUA KIZAA LEO BUNGENI,MAKINDA AKASIRIKA








INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

HOFU MTOTO WA ZARI KUFIA TUMBONI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
zariMpenzi wa sasa wa Mbongo-Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ .
STORI: MWANDISHI WETU
Share:

Whistleblower Bill draws mixed reactions

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Kigoma South MP, David Kafulila (NCCR-Mageuzi)
 The Whistleblower and Witness Protection Bill received mixed
Share:

Dar RC Sadick to grace journalist's charity event Ben Pol, G Nako, Shilole, Jackline Wolper to attend

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Dar es salaam Regional Commissioner Said Meck Sadick
 Dar es salaam Regional Commissioner Said Meck Sadick is to grace a charity event this weekend to raise funds for journalists suffering from life threatening diseases including cancer.
Share:

Women will occupy 30 per cent of all leadership positions - govt

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
The deputy minister of Lands, Housing and Human Settlements Development, Angela Kairuki
 The government is working to ensure that at least 30 per cent of leaders in every sector are women as part of its women empowerment initiative.
Share:

Environmental crimes remain major challenge for Tanzania

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Inspector of Police (IGP) Ernest Mangu
 The government has admitted that environmental crimes have remained a major challenge in the country despite using more resources compared to the outcome.
Share:

Postal Bank for share listing at Dar bourse pending regulation reforms

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
TPB Chief Executive Officer, Sabasaba Mshindi
 The Tanzania Postal Bank (TPB) will again float its shares at the Dar es Salaam Stock Exc
Share:

'Most govt projects still heavily dependent on borrowing'

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Finance Deputy Minister Adam Malima
 Borrowing remains the government’s central funding option to finance development projects, Finance Deputy Minister Adam Malima said yesterday.
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger