INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
VUGUVUGU la watangaza nia ndani
ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuchuana kuwania nafasi ya kuteuliwa
kupeperusha bendera ya chama hicho kwenye uchaguzi mkuu wa rais,
unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu linazidi kuwa kubwa kila
kukicha.