Wednesday 24 June 2015
TAARIFA ZA KIFO CHA MSANII BANZA STONE ZAKANUSHWA,BADO YU MZIMA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Familia ya Mwanamuziki Banza Stone imekanusha taarifa zinazozidi kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kifo cha msanii Banza Stone.
US 'spied on French presidents'
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
The
US National Security Agency (NSA) spied on French Presidents Jacques
Chirac, Nicolas Sarkozy and Francois Hollande in 2006-12, WikiLeaks
says.
The whistleblower website cites "top secret intelligence reports and technical documents" from the NSA.Breaking news:MBUNGE WA GEITA MH.DONALD MAX AFARIKI DUNIA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mbunge wa jimbo la Geita Donald Max amefariki dunia leo jioni ya Juni 23, 2015 katika hospitali ya Taifa Muhimbili.
Katibu wa bunge Dr Thomas Kashilila
amethibitisha kutokea kwa kifo hicho na kwamba taarifa zaidi zitatolewa
kesho Juni 24, 2015.
Tuesday 23 June 2015
PICHA:MWONEKANO WA JIJI LA DAR ES SALAAM
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
BONYEZA HAPO CHINI KUJUA NI LINI SELECTION KIDATO CHA TANO 2015 ZITAKUWA OUT>>>>
Watu wengi tunakatisha mitaa mbalimbali na tumeizoea, lakini hivi uliwahi kuvuta picha jinsi ambavyo mitaa hiyo inaonekana kwa mwonekano wa juu?
Pakistan heatwave: Emergency measures as toll nears 700
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Pakistan's PM Nawaz Sharif has called for emergency measures as the death toll from a heatwave in southern Sindh province
October elections will be free and fair'
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
The Minister of State, Prime Minister's Office, Policy, Co-ordination and Parliamentary Affairs, Jenista Mhagama
Treasury in debt clearance talks with ministry of water
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Water ministry is in discussion with the Treasury
on possible ways to clear water billing debt owed to the ministry by
various government institutions.
Deputy Minister for Water Amos Makalla
Diamond Asitisha Kupokea Maombi ya collabo za Wasanii wa Nigeria
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Diamond Platnumz sasa ni ‘hotcake’ kiasi cha kuwafanya wasanii wengi wa Afrika kutamani kufanya naye collabo, lakini kwa uamuzi mpya alioupitisha wasanii wa Nigeria ambao hawajafanikiwa kufanya nae wataikosa nafasi hiyo.
Diamond Platnumz sasa ni ‘hotcake’ kiasi cha kuwafanya wasanii wengi wa Afrika kutamani kufanya naye collabo, lakini kwa uamuzi mpya alioupitisha wasanii wa Nigeria ambao hawajafanikiwa kufanya nae wataikosa nafasi hiyo.
Aunty Ezekiel: Sipendi Mwanangu Awe Mwigizaji Nataka Asome Sana
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Staa wa Bongo Movie,Aunty Ezekiel amefunguka kuwa hapendi mtoto wake aliyejifungua hivi karibuni aitwaye Cookie,awe mwigizaji wa filamu kama yeye.
Staa wa Bongo Movie,Aunty Ezekiel amefunguka kuwa hapendi mtoto wake aliyejifungua hivi karibuni aitwaye Cookie,awe mwigizaji wa filamu kama yeye.
Nape: CCM itashinda tu hata kwa goli la mkono
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
CCM imesema kuwa itahakikisha inarudi Ikulu hata “kwa bao la mkono” wakati wa Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 25.
NAFASI MPYA ZA KAZI TUME YA VYUO VIKUU(TCU) JUNE 23 2015
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
BONYEZA HAPO CHINI KUJUA NI LINI SELECTION KIDATO CHA TANO 2015 ZITAKUWA OUT>>>>
TANZANIACOMMISSIONFORUNIVERSITIES
EMPLOYMENTOPPORTUNITIES
The Tanzania Commission for Universities (TCU) is a semi-autonomous statutory body under the Ministry of Education and Vocational Training. TCU is mandated to recognize, approve, register and accredit universities operating in Tanzania and local or foreign University level programmes. TCU also coordinates the
GONJWA LA AJABU, MWANAUME AMKIMBIA!
MAAJABU ya Mungu! Ukisema wewe unaumwa sana, inawezekana hujawaona wagonjwa wengine! Faiza Masaka Paga (23)(pichani), mkazi wa Chanika –Msumbiji, Ilala jijini Dar