Wednesday 24 June 2015

Uchawi Kahama!! MTOTO ALIYEFARIKI MWAKA 2002 AONEKANA AKIWA HAI,HAONGEI KACHAKAA,ADAIWA KUWA MSUKULE

Mtoto mmoja Emmanuel Sandu miaka 15 aliyefariki mwaka 2002 akiwa na umri wa miaka 2 juzi aliwatia hofu wananchi wa Kata ya Idahina Wilayani Kahama Baada ya kuonekana  kijijini akiwa hai.
Share:

TAARIFA ZA KIFO CHA MSANII BANZA STONE ZAKANUSHWA,BADO YU MZIMA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
TAARIFA ZA KIFO CHA MSANII BANZA STONE ZAKANUSHWA,BADO YU MZIMA

Familia ya Mwanamuziki Banza Stone imekanusha taarifa zinazozidi kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kifo cha msanii Banza Stone.
Share:

KOCHA MPYA WA TAIFA STARS BONIFACE MKWASA KULIPWA MILIONI 25

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

US 'spied on French presidents'

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
null
The US National Security Agency (NSA) spied on French Presidents Jacques Chirac, Nicolas Sarkozy and Francois Hollande in 2006-12, WikiLeaks says.
The whistleblower website cites "top secret intelligence reports and technical documents" from the NSA.
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMATANO TAREHE 24.6.2015








INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Share:

Breaking news:MBUNGE WA GEITA MH.DONALD MAX AFARIKI DUNIA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mbunge wa jimbo la Geita Donald Max amefariki dunia leo jioni ya Juni 23, 2015 katika hospitali ya Taifa Muhimbili. 

Katibu wa bunge Dr Thomas Kashilila amethibitisha kutokea kwa kifo hicho na kwamba taarifa zaidi zitatolewa kesho Juni 24, 2015.
Share:

Tuesday 23 June 2015

PICHA:MWONEKANO WA JIJI LA DAR ES SALAAM

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY



BONYEZA HAPO CHINI KUJUA NI LINI SELECTION KIDATO CHA TANO 2015  ZITAKUWA OUT>>>>




 
PICHA:MWONEKANO WA JIJI LA DAR ES SALAAM

Watu wengi tunakatisha mitaa mbalimbali na tumeizoea, lakini hivi uliwahi kuvuta picha jinsi ambavyo mitaa hiyo inaonekana kwa mwonekano wa juu?
Share:

ZIARA YA KINANA WILAYA YA MISUNGWI








ZIARA YA KINANA MISUNGWI
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana
Share:

Pakistan heatwave: Emergency measures as toll nears 700





INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


null

Pakistan's PM Nawaz Sharif has called for emergency measures as the death toll from a heatwave in southern Sindh province
Share:

October elections will be free and fair'





INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

The Minister of State, Prime Minister's Office, Policy, Co-ordination and Parliamentary Affairs, Jenista Mhagama
 The Minister of State, Prime Minister's Office, Policy,
Share:

Treasury in debt clearance talks with ministry of water

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Deputy Minister for Water Amos Makalla
 Water ministry is in discussion with the Treasury on possible ways to clear water billing debt owed to the ministry by various government institutions.
Share:

Diamond Asitisha Kupokea Maombi ya collabo za Wasanii wa Nigeria

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Diamond Platnumz sasa ni ‘hotcake’ kiasi cha kuwafanya wasanii wengi wa Afrika kutamani kufanya naye collabo, lakini kwa uamuzi mpya alioupitisha wasanii wa Nigeria ambao hawajafanikiwa kufanya nae wataikosa nafasi hiyo.
Share:

Aunty Ezekiel: Sipendi Mwanangu Awe Mwigizaji Nataka Asome Sana

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Staa wa Bongo Movie,Aunty Ezekiel amefunguka kuwa hapendi mtoto wake aliyejifungua hivi karibuni aitwaye Cookie,awe mwigizaji wa filamu kama yeye.
Share:

Nape: CCM itashinda tu hata kwa goli la mkono

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
CCM imesema kuwa itahakikisha inarudi Ikulu hata “kwa bao la mkono” wakati wa Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 25.
Share:

NAFASI MPYA ZA KAZI TUME YA VYUO VIKUU(TCU) JUNE 23 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
BONYEZA HAPO CHINI KUJUA NI LINI SELECTION KIDATO CHA TANO 2015  ZITAKUWA OUT>>>>





Tokeo la picha la NGAO YA TANZANIA
TANZANIACOMMISSIONFORUNIVERSITIES
EMPLOYMENTOPPORTUNITIES

The Tanzania Commission for Universities (TCU) is a semi-autonomous statutory body under the Ministry of Education and Vocational Training. TCU is mandated to recognize, approve, register and accredit universities operating in Tanzania and local or foreign University level programmes. TCU also coordinates the
Share:

GONJWA LA AJABU, MWANAUME AMKIMBIA!






GONJWA LA AJABU, MWANAUME AMKIMBIA!
MAAJABU ya Mungu! Ukisema wewe unaumwa sana, inawezekana hujawaona wagonjwa wengine! Faiza Masaka Paga (23)(pichani), mkazi wa Chanika –Msumbiji, Ilala jijini Dar
Share:

ANGALIA RATIBA YA MITIHANI KIDATO CHA NNE 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger