Friday 24 October 2014

SOMA MAGAZETI YA LEO IJUMAA TAREHE 24/10/2014,KUBWA ZAIDI DIAMOND AKABIDHI KOMBATI RASMI SOMA HAPA IMEKUAJE.

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
              25_e69d2.jpg
Share:

NEWS:DIAMOND PLATINUMZ KUFUNGWA JELA MIAKA MITATU

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Kufuatia tukio la staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuonekana jukwaani na sare zinazoaminika kuwa za Jeshi la Wananchi (JWTZ) kisha kukamatwa kwa kundi lake la Wasafi Classic Baby (WCB) na meneja wake, Babu Tale, kuna uwezekano wa jamaa huyo kufungwa jela miaka miwili au mitatu.
Share:

Thursday 23 October 2014

SOMA MAGAZETI YA LEO TAREHE 23 /10/2014,KUBWA ZAIDI JK AMKANA WEREMA,SOMA HAPA IMEKUAJE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
1_c82c7.jpg
Share:

VIFO VYA WASANII BONGO MUVI VYA WASHTUSHA WENGI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Stori:  Waandishi Wetu
Misiba kila kona! Achilia mbali watu wasiokuwa na majina hasa vijana wadogo, ndani ya saa 24 wamefariki dunia wasanii wanne wa kutoka kwenye tasnia za Bongo Movies na Bongo Fleva, Amani lina habari yenye kuumiza moyo.
Share:

MPYA:TCU YATANGAZA NAFASI 316 KATIKA CHUO KIKUU CHA MWENGE DEADLINE TAREHE 23RD,10, 2014

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                                   
 Chuo kikuu cha mwenge chatangaza nafasi 316 katika fani ya sayansi-ualimu,
yafuatayo ni majina 416 ambayo wanatakiwa kulipia 30000 tcu ili wahakikishiwe kujinga na chuo hicho kuangalia majina hayo 
bonyeza hapo chini
PROPOSED STUDENTS AT MWENGE
 

Share:

Tuesday 21 October 2014

HII HAPA 2ND BATCH YA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOFANIKIWA KUHAMA VYUO VIKUU 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
HII HAPA 2ND BATCH YA MAJINA YA  WANAFUNZI WALIOFANIKIWA KUHAMA VYUO VIKUU 2014/2015

Ukitaka kuangaliziwa jina lako tafdhali tuma tex yenye jina lako  kwenda 0768260834 kwa gharama ya tsh.800 tu. thanks.
Share:

BREAKING NEWZ:HAYA HAPA MAJINA YOTE WANAFUNZI WALIOFANIKIWA KUHAMA VYUO VIKUU 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
MAJINA YA WALIOFANIKIWA KUHAMA VYUO VIKUU 2014/2015
Habari yenu kama kawaida yetu BLOG HII PENDWA YA MASWAYETU EXCLUSIVE BLOG Inawaletea majina yote ya wanafunzi 1265 waliofanikiwa kuhama vyuo baada ya kujaza form maalum.
Kama kawaida yetu maswayetu BLOG tunaendelea kutoa huduma ya kuangalizia majina kwa wale wote mtakaotaka kuangaliziwa jina lako kama limefanikiwa,Ili kujua kama umefanikiwa kuhama fanya yafuatayo;
1.TUMA JINA LAKO KWENDA NAMBA 0768260834 mfano 
   JUMA PAUL(TRANSFER).
2.Huduma hii itakugharimu tshs.800 tu ambayo utaituma kwa
    mpesa.
3.Kama unatumia tigo tuma kwa tigo pesa kwenda namba
    0653791475
4.UTGAJIBIWA TU MARA TUTAKAPOPOKEA PESA YAKO.
5.Mpe taarifa mwenzako.
Share:

Friday 17 October 2014

BOYMPYA:DOWNLOAD TEACHING TIMETABLE KWA WANAFUNZI WA UDOM-COLLEGE OF HEALTH SCIENCE,COED,COES,CIVE 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER
Up

Teaching timetable

College of Health Sciences
CHSS TEACHING TIMETABLE FIRST SEMESTER 2014_2015 [FINAL]
COES TEACHING TIMETABLE
 
Share:

BREAKING NEEWZ:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOFANIKIWA KUHAMA KOZI NA KOZI WALIZOHAMIA 2014/2015-KWA KOZI ZA AFYA TU.

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Habari zenu wadau pendwa wa blog hii ya MASWAYETU Yafuatayo ni majina ya wanafunzi waliofanikiwa kuhama kozi kama walivyoomba kupitia TCU mwaka wa masomo 2014/2005.
Kama kawaida yetu MASWAYETU BLOGSPOT TEAM tunaendelea kutoa huduma hiyo kwa Kukuangalizia kama umefanikiwa kuhama kozi na chuo au hujafanikiwa.
Ili kuangaliziwa jina lako na kozi unayohamia fanya yafuatayo;

1.Tuma jina lako kwenda namba 0768260834 mfano PAUL
    PAUL(medical-Transfer).

2.Tutakujibu nadni ya dk.2 tu ,pia huduma hii itakugharimu tsh,800
    tu ambayo utaituma kwa mpesa kwenda namba 0768260834.

3.Kama unatumia TIGO tuma kwa tigo pesa kwenda namba
   0653791475.

Share:

Saturday 11 October 2014

BREAKING NEWZ:HAYA HAPA MAJINA YA VYUO VYOTE KWA WANAFUNZI WALIOPATA MKOPO 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                        
Hatimae bodi ya mikopo Tanzania imetangaza majina ya wanafunzi wa elimu ya juu waliopata mikopo mwaka wa masomo 2014/2015 kwa vyuo vyote Tanzania.
MASWAYETU BLOG TEAM Inaendelea kutoa huduma kwa wale wote watakaotaka kuangaliziwa majina yao;endapo utahitaji huduma yetu tafadhali fanya yafuatayo;
1.tuma jina lako na exam number ,mwaka uliomaliza kwenda namba 0768260834 mfano.peter
   james(ANDIKA CHUO CHAKO)

2.Huduma hii itakugharimu tshs.1000 tu ambayo utaituma kabla ya
   kujibiwa kwenda namba 0768260834.

3.Kama unatumia tigo tuma kwa tigo pesa kwenda namba
   0653791475(usitume jina lako kwenye hii namba)

4.Tutakujibu ndani ya muda,nakuomba utuamini pia tumwombe
    mungu matatizo kama umeme usikatike au mtandao.
Share:

Friday 10 October 2014

BREAKING NEEEWZ:WALE WA DUCE MAJINA YOTE YA WALIOPATA ROOM/HOSTEL NA VYUMBA WALIVYOPANGWA 2014/2015 HAYA HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
DUCE MAJINA YA WALIOPATA ROOMS 2014/2015 HAYA HAPA
Kama kawaida yetu maswayetu blog tunatoa huduma ya kungalizia watu majina yao kama umepata room 2014/2015
 ;huduma yetu utatozwa tshs.500 tu ambayo utaituma kwa mpesa. 
1.Tuma  jina lako kamili.mfano(john paul-DUCE) 
2.Tuma kwenda namba 0768260834. 
 3.Tutakujibu ,NAOMBA UTUAMINI  
 4.Hutajibiwa hadi utume pesa.
 5.PESA ZOTE ZITUMWE VODA KWA MPESA 0768260834 TIGO PESA 0653791475
BONYEZA HAPO CHINI KUANGALIA JINA LAKO;
Share:

BREAKING NEWZ:HAYA HAPA MAJINA YA ST.JOHN UNIVERSITY WALIOPATA MKOPO 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                                                  Kama kawaida yetu tunaendelea kutoa huduma ya kuangalizia kama umepata mkopo tafdhali fanya yafuatay
1.TUMA JINA LAKO KWENDA NAMBA 0768260834 mfano john mussa(ST.JOHN )

2.Huduma hii itakugharimu tshs.1000 tu amabyo utaituma kwa 
mpesa.
3.Tutakujibu ndani ya dk.2 tu.
4.KAMA UNATUMIA TIGO TUMA PESA KWENDA NAMBA
0653791475
PAYMENT OF TUITION FEES AND DIRECT COSTS FOR 2014-2015
Share:

NEWS:WANAFUNZI WALIOPATA MKOPO ST.JOSEPH 2014/2015 HAYA HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
ST.JOSEPH MAJINA YOTE WALIOPATA MKOPO 2014/2015 
 HAYA HAPA ;
Kama kawaida yetu tunaendelea kutoa huduma ya 

kuangalizia kama umepata mkopo tafdhali fanya yafuatayo;

1.TUMA JINA LAKO KWENDA NAMBA 0768260834 mfano john 

mussa(ST.JOSEPH )

2Huduma hii itakugharimu tshs.1000 tu amabyo utaituma kwa 

mpesa.

3.Tutakuji
bu ndani ya dk.2 tu.
4.KAMA UNATUMIA TIGO TUMA PESA KWENDA NAMBA
Share:

BREAKING NEEEWZ:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WA UDMS NA BAGAMOYO WALIOPATA MKOPO 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
MAJINA UDMS  WALIOPATA MKOPO 2014/2015
Habari yenu yafuatayo ni majina ya wanafunzi mwaka wa kwanza UDSM waliopata mkopo 2014/2015
Kama kawaida yetu tunaendelea kutoa huduma ya kuangalizia kama umepata mkopo tafdhali fanya yafuatayo;
1.TUMA JINA LAKO KWENDA NAMBA 0768260834 mfano john mussa(udsm )
2Huduma hii itakugharimu tshs.1000 tu amabyo utaituma kwa mpesa.
3.Tutakujibu ndani ya dk.2 tu.
Share:

UPDATED OCTOBER 10 2014 :HIVI NDIVYO VYUO VILIVYOTOA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOPATA MIKOPO MWAKA WA MASOMO 2014/2015,MZUMBE,SUA,SEKOMU,MUM,MUCE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                       
MUM,SUA,SEKOMU,MZUMBE NA MUCE
 Habari yenu wadau wapendwa wa BLOG hii pendwa 

ya MASWAYE EXCLUSIVE BLOGSPOT  Haya hapa chini majina ya wanafunzi waliopata mkopo chuo kikuu cha MUCE,MZUMBE,SUA,MUM,SEKOMU mwaka wa masomo 2014/2015.
Maswayetu blog tunaendelea kutoa huduma kukuangalizia wewe uliyechaguliwa sua Umepata mkopo kiasi gani.
Ili kuangaliziwa jina lako fanya yafuatayo;

1.TUMA JINA LAKO KWENDA NAMBA 0768260834 mfano 
Tuma heter (muce)

2.HUDUMA HII UTATOZWA TSH.1000 TU AMBAYO UTAITUMA KWA MPESA.

3KAMA UNATUMIA  TIGO TUMA KWA TIGO PESA KWENDA NAMBA 0653791470
 
4.TUTAKUJIBU NDANI YA DK.2 TU.TUMA PESA KWANZA NDO UJIBIWE.
ENDELEA KUTEMBELEA MASWAYETU BLOG
Share:

RUHUSA KUHAMA VYUO KWA WALIOCHAGULIWA KUPITIA NACTE: APPLICATION FOR TRANSFER THROUGH NACTE 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                                                      
APPLICATION FOR TRANSFER 
(Undergraduate Students with Diploma Qualification)
 
Kindly be informed that, application for transfer from one institution to another for undergraduate students will be done by downloading application form below.
NOTE:
  1. The Council will ONLY accept duly filled-in transfer application form;
  2. The Council will work on transfer applications  lodged from 8th – 20th October 2014;
Share:

Thursday 9 October 2014

KAMA WEWE ULIOMBA UDOM AU MZUMBE KUPITIA NACTE MAJINA YOTE HAYA HAPA 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
WALIOOMBA UDOM NA MZUMBE KUPITIA NACTE MAJINA YOTE HAYA HAP 2014/2015.
Tafadhali bonyeza hapo chini kuangalia majina hayo.Endapo utaihitaji MASWAYETU blog ikuangalizie jina lako tafadhali tuma jina lako kwenda namba 0768260834 tutakujibu ndani ya dk.2 tu.Mfano andika juma titi(nacte-udom au nacte-mzumbe).
Huduma tajwa hapo juu itakugharimu tshs.800 tu ambayo utaituma kwa mpesa kwenda namba 0768260834.
HUTAJIBIWA HADI UTUME PESA. THANKS.
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger