INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), kwa mara ya kwanza amefunguka na kusema ana nia ya kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 iwapo chama chake kitaridhia.
Ametoa
kauli hiyo ikiwa ni miaka miwili tangu Mbunge wa Kigoma Kaskazini,
Zitto Kabwe (Chadema), alipojitokeza hadharani akisema kwamba hatawania
tena ubunge katika jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu ujao na badala yake
atajitosa kwenye