Thursday 14 August 2014

TUNDU LISSU ATANGAZA HADHARANI NIA YAKE YA KUWA RAIS WA TANZANIA,ATAKA KUMFUNDA MWIGULU NCHEMBA UONGOZI

tundu
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

 MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), kwa mara ya kwanza amefunguka na kusema ana nia ya kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 iwapo chama chake kitaridhia.

Ametoa kauli hiyo ikiwa ni miaka miwili tangu Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), alipojitokeza hadharani akisema kwamba hatawania tena ubunge katika jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu ujao na badala yake atajitosa kwenye
Share:

Wednesday 13 August 2014

NECTA:UFAFANUZI WA KUTOKUTUMIKA KWA ALAMA ZA MASOMO YA HIARI KATIKA MATOKEO YA ACSEE 20142014

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA

f UFAFANUZI WA KUTOKUTUMIKA KWA ALAMA ZA MASOMO YA HIARI KATIKA MATOKEO YA ACSEE 2014

Baadhi ya wadau wamekuwa wakitaka kujua utaratibu uliotumika kukokotoa pointi za madaraja katika matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita (ACSEE) 2014. Hii imetokana na kuona kuwa kuna baadhi ya masomo hayakujumuishwa katika kupata idadi ya pointi kwa watahiniwa wa Tanzania Bara na wale wa Zanzibar.

Baraza la Mitihani la Tanzania linapenda kuwajulisha wadau wote kuwa ukokotoaji wa pointi za madaraja kwa watahiniwa wa Mtihani wa Kidato cha Sita huzingatia masomo ya Tahasusi (Subject Combinations) aliyoyasoma mtahiniwa kama ilivyobainishwa katika Kanuni za Mitihani (The Examinations Regulations) Toleo la mwaka 2013 kifungu cha 23(1) kinachosomeka:
Share:

Tuesday 12 August 2014

ORODHA YA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KOZI MBALIMBALI 2014/2015 CHETI NA DIPLOMA -SAUT

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                         
Share:

ORODHA YA MAJINA YA WANAFUNZI KIDATO CHA 4 WALIOCHAGULIWA UDOM-2014/2015-DIPLOMA UALIMU

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

THE UNIVERSITY OF DODOMA
COLLEGE OF EDUCATION
SELECTED CANDIDATES TO JOIN INTO DIPLOMA IN PRIMARY TEACHER EDUCATION
S/N
FIRST NAME
Middle Name
SURNAME
SEX
FORM IV INDEX No
1
Izengo

PAULO
M
S0138/0080/1999
2
Mary
S
JOACHIM
F
S0806/0055/2005
3
Neema
W
CHODOTA
F
S312/68/1987
4
 Ibrahim

MOHAMED
M
S0666/0036/1998
5
Ally
M
KYUTA
M
S0413/0092/2001
6
 Philimon

MPALANZI
M
S0652/0071/1996
7
Lenson

MKOFU
M
S0109/0071/2008
8
Daudi

GREGORY
M
S1018/0014/2002
9
Jenifer

MILANZI
F
S0215/0032/1999
10
Lilian
P
KOMBE
F
S0205/0102/1995
11
Ally

MOHAMED
M
S0108/0057/1998
12
Modesta

JANUARY
F
P1151/0042/2002
13
 Lightness
L
KIMARO
F
S0627/0032/2006
14
Flora
J
KESSY
F
S0306/0043/2006
15
Oliva
E
TARIMO
F
S0236/0038/2005
READ MORE
KHASANTE KWA KUTEMBELA MASWAYETU BLOG
kwa maoni ushauri piga 0768260834 thanks.
Share:

ORODHA YA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA VYUO VYA KILIMO CHETI NA DIPLOMA 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Habari yenu wadau wa blog hii pendwa ya maswayetu exclusive blogspot,Leo tena kama kawaida yetu kuwapa kitu roho inapenda.
Tumewaletea majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya kilimo katika vyuo mbalimbalimbali vya kilimo hapa tanzania kwa mwaka wa masomo 2014/2015.
Kama kawaida yetu tutaoa huduma kwa yule ambaye atataka kuangaliziwa jina lake kama amechaguliwa kujiunga na vyuo vya kilimo.
Utaratibu wa kuangaliziwa ni kwamba utatum jina lako ,taja shida yako kwa njia ya SMS baada ya hapo tuma na Tsh.100 kama unatumia vodacom,kwa Airtel na Tigo nawaomba mtume vocha ya mia tano ili muangaliziwe(lakini kama utapata voda tuma Tsh.100).
 Utatuma ujumbe wako kwenda namba
Share:

Monday 11 August 2014

MAJINA YA WALIMU NGAZI YA CHETI NA DIPLOMA 2014 MUJIBU WA SHERIA NA VIKOSI WALIVYOPANGIWA WATAKAORIPOTI KUANZIA TAREHE 04SEPTEMBA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                             vijana_2.jpg
                                                        
MAJINA YA WALIMU NGAZI YA DIPLOMA 2014 MUJIBU WA SHERIA NA VIKOSI WALIVYOPANGIWA WATAKAORIPOTI KUANZIA TAREHE 04SEPTEMBA

WALIMU-DIPLOMA KWENDA VIKOSI MBALIMBALI

Share:

FIESTA MWANZA:ANGALIA JINSI DIAMOND PLATNUMZ, WEMA SEPETU, AUNT EZEKIEL WALIVYOITEKA MWANZA KWENYE FIESTA JANA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Share:

MCHUNGAJI MTIKILA AANZA UKOFOFI !!! AKUKUSANYA SAINI ZA WATANZANIA ILI KUFUNGUA KESI MAHAKAMANI KUPINGA BUNGE MAALUM LA KATIBA MPYA KUENDELEA MJINI DODOMA.

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

 Mwenyekiti wa Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila.       


Dar/Arusha. Joto la kushinikiza kusitishwa kwa Bunge Maalumu la Katiba (BMK), linazidi kupanda nchini baada ya wabunge na vyama vya siasa kuendelea kusisitiza kuwa Bunge hilo halina tija kwa taifa.

Mwenyekiti wa Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila amesema ameanza kukusanya saini za Watanzania wanaopinga kuendelea kwa Bunge hilo ili kufungua kesi Mahakama Kuu ya Tanzania, kusitisha vikao vinavyoendelea mjini Dodoma.
Share:

Sunday 10 August 2014

TANGAZO VIJANA MUJIBU WA SHERIA 2014 (,KIDATO CHA SITA ,WALIMU CHETI NA DIPLOMA)

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                                          

JESHI LA KUJENGA TAIFA LINAWATANGAZIA VIJANA WOTE WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA JKT KWA MUJIBU WA SHERIA KUWA WANATAKIWA KURIPOTI KWENYE MAKAMBI WALIYOPANGIWA KUANZIA TAREHE 04 SEPTEMBA 2014 NA MAFUNZO YATAANZA RASMI TAREHE 11 SEPTEMBA 2014.
AIDHA JKT LINAKANUSHA UVUMI UNAOSAMBAZWA KWA KUTUMIA UJUMBE MFUPI KWA NJIA YA SIMU "SMS" NA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII KUWA MAFUNZO HAYO HAYATAKUWEPO. TAARIFA HII SI YA KWELI BALI NI UZUSHI NA UPOTOSHAJI.
INASISITIZWA KUWA KUJIUNGA NA JKT MUJIBU WA SHERIA NI LAZIMA, ATAKAYESHINDWA KURIPOTI ATAKUWA AMEVUNJA SHERIA NA ATACHUKULIWA HATUA ZA KISHERIA.
VIJANA WANAOTAKIWA KURIPOTI NI KAMA IFUATAVYO:-
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger