Wednesday 4 June 2014

ANGALIA MWANAMITINDO HUYU ATOA FASHENI MPYA INAYOONESHA "UKE WA MWANAMKE"


                            


kweli dunia ya urembo lakin hii lol...this is too much...
Share:

NAULI DALADALA: DAR YAPANDA TSH 800

  atimaye picha halisi ya gharama ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) awamu ya kwanza, imeonesha nauli ya basi kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam kwenda na kurudi vituo vikubwa vikiwemo vya Kariakoo na Posta, itapanda kutoka nauli ya chini ya Sh 400 ya sasa mpaka Sh 700 na Sh 800 kwa ruti moja.

Share:

PICHA:MAMA ZITO AKIWA NA MWANAE ENZI ZA UHAI WAKE KABLA YA MAUTI


Bi. Shida Salum Mohamed enzi ya uhai wake.
Share:

DENTI ALIYESUBIRI KIFO, AFARIKI

NASWAYETU BLOG

Share:

DEVOTHA ATOA WOSIA WA KIFO CHAKE


WAKATI vifo mfululizo vikitokea Mei mwaka huu miongoni mwa wasanii maarufu nchini, nyota wa filamu Bongo, Devotha Mbaga ameibuka na kusema endapo ataaga dunia, hahitaji kufanyiwa mbwembwe wakati wa msiba na mazishi yake kama wasanii wengine walivyofanyiwa.
Share:

BADO SIKU TISA KOMBE LA DUNIA



SA_8fb8b.jpg
Je unafahamu kuwa...
Share:

ANGALIA TEMBO HUYU ALIVYOULIWA



Ndugu zangu,
Ujangili umeendelea kushika kasi nchini Tanzania, hasa wa tembo, licha ya jitihada
Share:

UKATILI WA KUTISHA!!..MTOTO AUWAWA KWA KUFUNGWA PLASTA MDOMONI NA PUANI...ZICHEKI PICHA HAPA!!


Mtoto aliyekutwa amefariki baada ya kutupwa eneo la Kawe-Beach na kufungwa plasta mdomoni na puani.
Share:

Polisi FEKI watiwa mbaroni mkoani Iringa


1

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhan Mungi akiwaonyesha maaskari  feki ambao walikuwa wakifanya utapeli katika mikoa ya Iringa na Morogoro. Kulia ni Brazil Nyakunga ambaye ni mwalimu akiwa na sare za polisi na katikati ni bosi wake Goodluck Mbehale.
Share:

MAMBO YA CHUMBANI... Jinsi ya Kumridhisha Mwanamke Kimapenzi: Mambo matano (5) anayohitaji Mwanamke kutoka kwa Mwanaume


Wanaume hatimaye kutambua kwamba hawapo peke yao kitandani na kwamba kumridhisha mwanamke ni muhimu katika kudumisha uhusiano wa kimapenzi! Kuchukua hii kutoka
Share:

WAKUBWA TU:: JE WAJUA KWA NINI WANAWAKE WENGI AWAPENDI KUTUMIA CONDOM

kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya
Share:

MAITI YA "MTOTO WA BOSKI" YAGOMBANIWA

MVUTANO mkubwa umeibuka juu ya wapi azikwe marehemu Nasra Mvungi, mtoto aliyeishi ndani ya boksi kwa miaka minne baada ya kufariki dunia hivi karibuni katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam.
Mwili wa mtoto Nasra Mvungi ukishushwa kwenye gari ndani ya Uwanja wa Jamhuri Morogoro kuagwa.XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX
Share:

Tuesday 3 June 2014

SELECTION ZA KIDATO CHA TANO 2014/2015


                                    
UONGOZI WA BLOG HII UNAKUOMBA KULIKE PAGE YETU KWA AJILI YA KUJUA SELECTION ZAKO MARA TU ZITAKAPOTANGAZWA.
Share:

MAZISHI YA MTOTO NASRA ALIEFICHWA KWENYE BOKSI KWA MIAKA 4




Mazishi  ya mtoto Nasra Rashid (4) aliyefichwa katika boksi tangu akiwa na umri wa miezi tisa, yanatarajiwa kufanyika leo katika makaburi ya Kola mkoani Morogoro.
Share:

TANGAZO LA KAZI-SEKRETARIETI YA AJIRA



THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
PRESIDENT’S OFFICE
PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT
Ref. Na EA.7/96/01/G/23
02ndJune, 2014
VACANCIES ANNOUNCEMENT
On behalf of Tanzania Food and Nutrition Centre (TFNC) and Ministry of Lands,
Housing and Human Settlement Development, Public Service Recruitment Secretariat
invites qualified Tanzanians to fill 2 vacant posts in the above Public Institutions.
i.....
Share:

VICKY KAMATA:AFARIJIWA NA WANAWAKE WENZAKE BAADA YA NDOA KUKWAMA



Wabunge wanawake wenye muda mrefu bungeni pamoja na mke wa waziri mkuu, Mama Tunu Pinda juzi walimuandalia sherehe ya kumfariji mbunge wa viti maalum (CCM), Vicky Kamata baada ya harusi aliyotarajia kufunga wiki iliyopita, kukwama.
Share:

WAHINDI 14 WAMEKAMATWA DAR, WAMEINGIA KUFANYA BIASHARA HARAMU


                  

Askari wa uhamiaji wamewakamata watu 14 katika maeneo ya Msasani jijini Dar es Salaam kutoka nchini India na Nepal ambao ni wahanga wa biashara haramu ya usafirishaji wa binadamu ambapo watu hao wameingia nchini kinyume na taratibu za uhamiaji.
Kati ya watuhumiwa 14 watuhumiwa 12 ni wasichana ambao waliletwa nchini kwa lengo la kufanya maonyesho ya nyimbo za asili lakini wakajikuta wakingizwa katika biashara zingine ikiwemo kucheza muziki katika nyumba za burudani.
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger