Monday, 28 April 2014

ROSE NDAUKA "NDOA YANGU SOON!"

MSANII maarufu wa sinema za Kibongo, Rose Ndauka amesema kuwa watu wasiwe na wasiwasi kwani kwa mipango ya Mungu atafunga ndoa na mzazi mwenzake Maliki Bandawe hivi karibuni.“Si muda mrefu mambo yatakuwa mazuri tulikuwa tunaendelea kujuana, nadhani sasa tunafahamiana vizuri hivyo watu...
Share:

DIAMOND ANATAFUTWA CHINA,KISA MADAWA YA KULEVYA

 STAA  wa  muziki  wa  bongo  fleva  nchini, Abdul  Nassib  "Diamond"  ametakiwa  kutokanyaga  kabisa  nchini  China  na  kwamba  akitokeza  pua  yake  nchini  humo  asahau ...
Share:

BASI LA RATCO LAPATA AJALI KIBAHA, PWANI

 Wananchi wakitoka kwenye gari kupitia madirishani.  Aha! kila mmoja akichomoka kujiokoa bila kusahau kipimajoto mkononi... Basi la RATCO linalofanya safari zake Dar es Salaam kwenda Tanga limepata ajali eneo la Kibaha, Pwani leo jioni Aprili 27, 2014. Kwa mujibu...
Share:

BATULI AKUBALI KUIGIZA NUSU UTUPU

MWANADAFADA mkali wa Bongo Movies, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amefunguka kuwa kwa sasa yupo tayari kuigiza nusu utupu kwa sinema za nje ya nchi. Mwanadafada mkali wa Bongo Movies, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’. Akipiga stori mbili-tatu na kona hii, Batuli alisema kuwa muvi nyingi Bongo huwa zinafungiwa...
Share:

NAY WA MITEGO ASAKWA KWA KUTISHIA KUUA

KIMENUKA! RB namba KT/RB/1178/2014-KUTISHIA KUUA KWA NJIA YA MTANDAO inamsaka staa wa Ngoma ya Nakula Ujana, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ kwa tuhuma ya kutishia kumuua mdogo wake aliyetajwa kwa jina la Amani Shija, Ijumaa Wikienda limeinyaka. Staa wa Ngoma ya Nakula Ujana, Emmanuel Elibariki...
Share:

MKE NUSURA APEWE TARAKA BAADA YA MUME KUTUMIWA PICHA ZA MKEWE BBM NA RAFIKI YAKE,...

...
Share:

JOKATE, NATURE NDANI YA BIFU KUBWA

PASUA jipu!  awili wenye majina makubwa Bongo, mwanamitindo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ na Mbongo-Fleva Juma Kasim ‘Juma Nature’ wanadaiwa kuacha mshangao kwa wasanii wenzao baada ya kutifuana, Ijumaa Wikienda limeng’atwa sikio. Mkali wa Bongo Fleva, Juma Kasim ‘Juma Nature’. Pamoja na...
Share:

Sunday, 27 April 2014

Some Useful Nokia Codes & How To Format/Reset Ur Phone

SOME OF THESE CODES MIGHT NOT WORK FOR YOUR PHONE CUZ SOME WORK WITH S60 PHONES ONLY AND SOME FOR S60V3.On the main screen type in*#06# for checking the IMEI (International Mobile Equipment Identity).*#7780# reset to factory settings.*#67705646# This will clear the LCD display(operator logo).*#0000# To view software version.*#2820# Bluetooth device address.*#746025625# Sim clock allowed status.#pw+1234567890+1#...
Share:

All Samsung Hard Reset Codes

[Q]What does a Samsung Hard reset really means? [Answer] What does a hard reset really means? it means to reset your phone to the settings and features which were accompanied from the company or at firmware update instant. There are actually two codes you can use to reset the password and phone setting. Below are these codes. Type them in the phone and this should solve your problem....
Share:

Samsung Galaxy Pocket S5300 hard reset

Warning :  by performing the hard reset will erase all fo personal data in internal storage, e.g. contact, message, reminder etc. Please do full backup first. To perform the hard reset on Samsung Galaxy Pocket GT-S5300, there's two methodes : - First, input secret...
Share:

UKAWA wamjibu Kikwete

Na Hudugu Ng'amilo SIKU moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kuwataka wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) warudi bungeni akidai hawana sababu ya kwenda kushitaki kwa wananchi kwa sababu watawacheka na kuwasikitikia, umoja huo umemjibu wakisema wapo tayari kuchekwa. ...
Share:

Wastaafu wamteka JK

Na Hudugu Ng'amilo RAIS Jakaya Kikwete amehujumiwa na viongozi wakuu wastaafu waliomlazimisha kuachana na msimamo wa muundo wa muungano wa serikali tatu na kukumbatia serikali mbili zilizopendekezwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Taarifa kutoka...
Share:

(CCM) kimepanga mkakati wa kuengua wataka urais wanaume

(CCM) kimepanga mkakati wa kuengua wataka urais wanaume. Na Hudugu Ng'amilo CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimepanga mkakati mpya wa kuengua wataka urais wanaume kwa kuingiza hisia za kijinsia kama walivyofanya kumdhibiti aliyekuwa Spika...
Share:

Waziri mkuu nchini Korea Kusini ajiuzulu

Waziri mkuu nchini Korea Kusini ajiuzulu Waziri mkuu nchini Korea Kusini amejiuzulu kutokana na vile serikali yake ilivyolichukulia swala lote la ferry iliozama siku kumi na moja zilizopita. Chung...
Share:

Viongozi wa Dini Mikoa ya Lindi na Mtwara kuhudhuria mafunzo ya gesi asilia na mafuta nchini Thailand

Viongozi wa Dini Mikoa ya Lindi na Mtwara kuhudhuria mafunzo ya gesi asilia Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.  Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Wizara ya Nishati, Bw.Mrimia Mchomvu (kushoto)...
Share:

HUYU NDIYE MBUNGE MDOGO KULIKO WOTE MWENYE MIAKA 21 TU AMBAYE YUPO BUNGE LA KATIBA??? MFAHAMU HAPA

Mbunge Teddy Ladislaus Patrick (21), ndiyo mbunge mdogo kulioko wote katika bunge maalum la katiba. Mwenyekiti wa Bunge Maalum Mh. Samuel Sitta akimuapisha Theddy L. Patrick kuwa mbune wa Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma. Picha na Deusdedit Moshi wa Globu ya Jamii, Kanda ya Kati. ...
Share:

Saturday, 26 April 2014

SHEREHE ZA KILELE CHA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR ZAFANA JIJINI DAR ES SALAAM

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mkono wananchi waliohudhuria sherehe za miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zilizofanyika kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali wa ndani na nje ya nchi.  Rais...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger