
MSANII maarufu wa sinema za Kibongo,
Rose Ndauka amesema kuwa watu wasiwe na wasiwasi kwani kwa mipango ya
Mungu atafunga ndoa na mzazi mwenzake Maliki Bandawe hivi karibuni.“Si
muda mrefu mambo yatakuwa mazuri tulikuwa tunaendelea kujuana, nadhani
sasa tunafahamiana vizuri hivyo watu...